Kuchokonoa pua mbele za watu ni tabia inayochefua

Wazamiaji kivipi wanaopiga deki uvinza au wanaojikuna hadharini?
 
Bora anaechokonoa pua hadharani kuna watu wanachokoa hadi.......
 
Mambo mengi yanayofanyika laiti ungeyaona ungeshangaa.Angalia[emoji117]
 

Attachments

Sio pua tuu kujamba, kutoa mabaki ya cha kula kwenye hadhara inakera sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…