Kuchukua mkopo benki na kujengea nyumba ni jambo jema lakini hasara yake ni kubwa

Kwa kuongezea tu... biashara ni ajira pia sasa ukiwa mtumishi na unafanya biashara maana yake ww una ajira mbili.. tatizo zaidi linaweza kuwa kwenye ajira ya pili kwakuwa itakuwa na vipindi virefu vya uyatima(ombwe la usimamizi)
Lkn ukimudu kupangilia Mambo vizur unaweza kufurahia
 
Kweli mkuu ishi vzuri hata ka kupanga watoto wasome vizuri mambo mengine yatafuata huko ulaya umeona nani anajenga?
Ulaya hawajengi si kwa sababu hawataki Ila kuna watu wa real estate wanajenga mwananchi anakopeshwa na anailipia kidogo kidogo Wahindi walijenga sana Tanzania ila lilipokuja azimio la Arusha nyumba zao zilitaifishwa.hiyo Risk hawaibebi Tena sababu ya Historia hata hizo nyumba za NHC ni za kwao walijenga babu zao.
Kujenga muhimu na biashara muhimu pia
 
Huu ni uzoefu wako au umetoa wapi habari hii, kabla wengine hatujaanza ubishi. Tusije kuanza kubishana kumbe tunajibishana na kijana mwanafunzi kula kulala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa maoni yangu kukopa kwaajili ya kumalizia kujenga nyumba ili uweze kuhamia ni jambo jema kabisa. Lkn kukopa kwaajili ya kuanza kujenga nyumba ambayo haijaanzwa siwezi mshauri mtu kamwe labda awe na uhakika kuwa mkopo huo utakamilisha nyumba kiasi cha kuruhusu yeye kuishi kwenye nyumba hiyo na kuachana kabisa na kupanga. Kukopa halafu unajenga nyumba halafu hela inaisha na nyumba haijakamilika sishauri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mikopo ya nyumba pia ambayo inalipwa kwa miaka mpaka 20,, .
Sent using Jamii Forums mobile app
 
RIBA NI RIBA TU. LAANA YAKE IPO PALE PALE. JENGA NAYO, LIMA NAYO, PIGA NAYO KAZI, BIASHARA NK UTAKAVYO... LAKINI HAUTACHUKUA ROUND UTAONJA UNACHOSTAHILI
 
Ume Umeongea point mkuu...Ni vema mtu akapiga hesabu zake vizuri nyumba za kupanga Zina kero na kumiliki nyumba Ni Jambo la msingi na ndoto ya wengi..But maisha ya kila siku Ni muhimu unakuta mtu kafika kwake lakini makato ya Bank yanamuachia pesa kiduchu kula kwake na familia kunaanza kuwa tabu tupu.... Mikopo Ni njia nzuri na short cut lakini bila kupiga hesabu inageuka maumivuu...
 
Huu uzi mzuri sana,wanaojua wapi kuna mikopo kwa watumishi yenye riba nafuu tuambizane....
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji122][emoji122]
 
Hivi ndivyo nilivyofanya mimi mwaka huu
 
Congrats,
Namm nilimuugaga kwa sasa sikosi 700K per month kama Kodi. Makato ya loan bado yako juu Ila after 3 yrs makato yanaisha nabaki na nyumba zangu
 
Kama huna biashara ya uhakika huwezi kudunduliza ukajenga. Ujenzi ni wa gharama sana na kadiri unavyojenga kidogo kidogo ndivyo na gharama za ujenzi zinavyokuwa kubwa. Hivyo ni heri kukokapa na kujenga ndani ya muda mfupi. Then ndani ya miaka 4 unavumilia kulipa deni la benki. Baada ya hapo nyumna inakuwa mali yako halali.
 
Congrats,
Namm nilimuugaga kwa sasa sikosi 700K per month kama Kodi. Makato ya loan bado yako juu Ila after 3 yrs makato yanaisha nabaki na nyumba zangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…