Kuchukua mkopo benki na kujengea nyumba ni jambo jema lakini hasara yake ni kubwa

Kuchukua mkopo benki na kujengea nyumba ni jambo jema lakini hasara yake ni kubwa

unaishi maisha ya hofu.. kwa hiyo una react sababu ya hofuuu😀😀.
sipingani na wewe ila tu inategemea status yako, kuna watu bado single au mke na mtoto mmoja bado huwezi ona kero ya kupanga. ila kama unafamilia kubwa sometimes ni extended family, hapo ndo utatamani ukae kwenye nyumba ambayo haijakamilika.
2010 na familia yangu tulihamia kwenye nyumba ina grill tu hata mlango hamna ila kwa kukusanya pesa kidogo kidogo mpaka 2013 familia yangu iliikuwa inaishi kwenye nyumba nzuri kushinda nyumba nyingi sana. na mkopo wa bank ulisababisha kufika hapa nilipo na maisha hayajayumba.
endelea tu kupanga, mara wageni wakizidi mwenye nyumba anakwambia mnajaza choo 🙂 🙂 stupid, unapanga nyumba nzima kwanini ushindwe kujenga!?
 
sipingani na wewe ila tu inategemea status yako, kuna watu bado single au mke na mtoto mmoja bado huwezi ona kero ya kupanga. ila kama unafamilia kubwa sometimes ni extended family, hapo ndo utatamani ukae kwenye nyumba ambayo haijakamilika.
2010 na familia yangu tulihamia kwenye nyumba ina grill tu hata mlango hamna ila kwa kukusanya pesa kidogo kidogo mpaka 2013 familia yangu iliikuwa inaishi kwenye nyumba nzuri kushinda nyumba nyingi sana. na mkopo wa bank ulisababisha kufika hapa nilipo na maisha hayajayumba.
endelea tu kupanga, mara wageni wakizidi mwenye nyumba anakwambia mnajaza choo 🙂 🙂 stupid, unapanga nyumba nzima kwanini ushindwe kujenga!?
.Inawezekana wewe nyumba kwako ni mafanikio makubwa. Sikulaumu sababu you follow the system that keeps you trapped in the same hole..You don't follow your heart..Umeshaaminishwa kwamba kitu cha kwanza ni kuwa na nyumba kabla hujawa na uhakika wa kipato..Sawa umejenga nyumba baada ya hapo nini kitafuata. Unafanya kazi mpaka unastaafu kama Mungu anakupa uhai. The only achievement ukiulizwa unasema nilijenga nyumba. Then your kids go through the same cycle.. They study..They get employed They build a house...😀😀😀..That is real fucking boring life..Jisifie kwa kuacha mali kwa generations zinazokuja....Hiyo cycle ya kufanya kile ambacho society inataka ndo ya asilimia kubwa ya population imekamatiwa humo and you are trapped in that vicious cycle...Yaani you came to thiz world only to build a house? Na unajisifia kabisa hiyo ni accomplishment?😀😀 Acha utani bwana..
 
Mkopo wa kurejesha laki tano kwa mwezi hauzidi m 15 ina maana hiyo m15 nyumba ikamilike na ahamie...Hebu piga mahesabu tena vizuri. Otherwise usem tu aezeke na kuhamia bila hata madirisha 😀😀😀
Hiyo 15m wewe ndo umejipangia mwenyewe. Mm nazungumzia mkopo wa kujenga nyumba wa mda mrefu. Hyo yakwako inamaana mrejesho ni ndani ya 2.5 yrs ndo maana unapewa pesa ndogo.
 
Huyu anajenga nyumba za kupangisha hiyo ni rasilimaliii..Hujamuelewa mtoa mada. Anasema tu nyumba ya kuishi mwenyewe tuu haingizi chochote

Kama umepanga waweza fanya hivo pia, as long as unajenga kutokana na kipato chako!
Mfano, Kuliko kuendelea kulipa ka mtu, ni uendelea kulipa kodi ya laki unusu kwa miaka mi5 ukiwa unakaa kwenye nyumba ya vyumba vi2, ni bora ujenge vyeako kwa 7M ukaanza kukaa na kubaki na kijisehem cha kuotesha matembele au kufugia kuku, wakati huo ukisubiria deni lako liishe ndani ya 4yrs.

Kitu ambacho hakiwi recomended ni kukopa ili ununue gari, au kukopa ili uanzie ujenzi na ujenzi usikamilike.
 
Kama umepanga waweza fanya hivo pia, as long as unajenga kutokana na kipato chako!
Mfano, Kuliko kuendelea kulipa ka mtu, ni uendelea kulipa kodi ya laki unusu kwa miaka mi5 ukiwa unakaa kwenye nyumba ya vyumba vi2, ni bora ujenge vyeako kwa 7M ukaanza kukaa na kubaki na kijisehem cha kuotesha matembele au kufugia kuku, wakati huo ukisubiria deni lako liishe ndani ya 4yrs.

Kitu ambacho hakiwi recomended ni kukopa ili ununue gari, au kukopa ili uanzie ujenzi na ujenzi usikamilike.
Mada ipo kwenye kukopa ndiyo...Na sio kutokujenga nyumba kabisaa..
 
Nenda Wizara ya Ardhi gorofa ya 9, utapata maelezo yote, lazima uwe mfanyakazi wa UMMA. Ni 2% interest only, kuna benefits nyingi sana kwa wafanya kazi!
Nashukuru kwa kunifumbua macho.
 
Afrika watu wanatamani kuwa na nyumba zao wenyewe-sijui kwa nini???? Kila mtu utasikia nataka kuwa na kwangu!
unaokutana nao Africa wamefikia level hio ya kufikiria.
unaokutana nao huko kwingine bado wako chini kifikra japo wewe kwa macho yako unawaona kama wako juu.
Wenyewe wanatamani ila kwa hali za huko kuwa na kwako ni ndoto ngumu zaidi na inahitaji kiwango cha juu zaidi ya ufikiri.
Bahati nzuri huku kwetu wengi wa wenzetu wameshaanza kuwaza hayo mambo.
Ukikuta mtu huko ngambo anawaza kujenga ujue ni tajiri mno au ana urithi wa ardhi.
ukikuta anawaza kununua nyumba wa uwezo wa juu au ni yule wa kiwango cha kati ya juu.
wengi waliobakia wanachumia tumbo. sio masikini ila sio investors, hao wengi wao wakikosa ajira mwaka mzima wanakuwa homeless. au wanahamia kwa ndugu
 
Mikopo tunayokopa benki hapa nchini Tanzania zina riba kubwa sana kitu ambacho hufanya watanzania wengi kutofaidika sana na mikopo hiyo. Kwani kuna benki hutoza riba zenye faida ya asilimia 18%-23%.

Watanzania tulio wengi tukishachukua mikopo hiyo hukimbilia kuninua uwanja na kuanza kujenga nyumba, kisha huishi maisha ya shida sana kwa kipindi cha miaka minne mpk mitano. Wapo wengine hukimbilia kununua gari ili waonekane hapa mjini lakini hata uwanja hawana, mikopo hiyo ya benk ina mambo sana.

Wazo la kukimbilia kujenga nyumba kwa kutumia mkopo ni kujitengenezea maisha ya dhiki sana kwani makato huwa makubwa na kufanya kila siku kukimbizana na madeni yasiyoisha. Ushauri wangu na maoni yangu kama unataka kujenga au kununua gari ni bora ujiwekee mkakati binafsi unaweza amua kila mwezi kujiwekea kiasi fulani ambacho unatumia kwaajiri ya ujenzi, utafanya hivyo bila riba wala hasara yeyote.

Mikopo ya benki ni yakuwekeza katika biashara na ili ziongeze kipato na biashara hiyo irudishe mkopo huo yenyewe bila we kuathiri mapato ya kazi yako.

Kuweka pesa kila mwezi au kila sikunkutokana na maingizo yako inawezekana, kikubwa ni uamuzi thabiti na kujiwekea malengo na kuhakikisha unayafikia malengo yako.

Huu ni ushauri na maoni yangu jinsi ninavyoona namna ya kutumia mkopo wa benk kwa faida, lakini hata kama mtu akajenga nyumba ya biashara ni sahihi lakini nyumba ya kuishi ni safi sana lakini kuna hasara kubwa ndani yake.
Mtoa mada wacha uoga ktk maamuzi.
Mkopo kama mkopo kwa yule anayekopa huwa analengo fulani. Kwa ajili ya kufanikisha kitu fulani.
Sisi watanzania hatujazoea kufanya maamuzi ambayo watakao nufaika ni kizazi chako wala sio wewe.
Lzm ujiulize mkopo unasaidia nini?
Kwa yule aliyechukua mkopo na kujenga nyumba ,faida aliyoipata kutokana na mkopo sio nyumba. Ameokoa muda ktk kufanya maamuzi ya kujenga nyumba.
Ule muda ambao umeusavu ktk kujjijengea nyumba utautumia kufikili kitu kingine cha kufanya ili kukuongezea kipato.
Milioni hamsini unapata kwa siku moja ukichukua mkopo.
Na endapo ungekuwa kila mwezi unaweka laki tano. Itachukua miaka 8 na mwezi moja kutimiza milioni hamsini.
Ndani ya miaka 8 na mwezi mind yako ipo ktk nyumba.
Tuchukulie mwaka huu 2017 ndio umetimiza hiyo pesa baada ya kuichanga kwa kipindi cha miaka 8 na mwezi moja.
Na mimi mwaka 2009 nilichukua mkopo milioni 50 nikajenga nyumba.
Sasa linganisha nyumba yangu niliyoijenga 2009 kwa mkopo .na nyumba yako uliyoijenga kwa kuchanga pesa kwa miaka 8.

Kwanza ili ujenge nyumba utapata plot 20x20 labda kwa milioni 6.
Wakati mimi niliyechukua mkopo 2009 hiyo milioni 6 nina zaidi ya kiwanja cha mpira.
WATU WANASEMA CHEZEA PESA SABABU ZINAKUJA NA KUONDOKA NA KUJA TENA.
USICHEZEE MUDA .
KWA HIYO MKOPO HUOKOA MUDA UKIUTUMIA VIZURI .mfano kujenga nyumba au kujiendeleza kibiashara kama si mfanyakazi
 
Mtoa mada wacha uoga ktk maamuzi.
Mkopo kama mkopo kwa yule anayekopa huwa analengo fulani. Kwa ajili ya kufanikisha kitu fulani.
Sisi watanzania hatujazoea kufanya maamuzi ambayo watakao nufaika ni kizazi chako wala sio wewe.
Lzm ujiulize mkopo unasaidia nini?
Kwa yule aliyechukua mkopo na kujenga nyumba ,faida aliyoipata kutokana na mkopo sio nyumba. Ameokoa muda ktk kufanya maamuzi ya kujenga nyumba.
Ule muda ambao umeusavu ktk kujjijengea nyumba utautumia kufikili kitu kingine cha kufanya ili kukuongezea kipato.
Milioni hamsini unapata kwa siku moja ukichukua mkopo.
Na endapo ungekuwa kila mwezi unaweka laki tano. Itachukua miaka 8 na mwezi moja kutimiza milioni hamsini.
Ndani ya miaka 8 na mwezi mind yako ipo ktk nyumba.
Tuchukulie mwaka huu 2017 ndio umetimiza hiyo pesa baada ya kuichanga kwa kipindi cha miaka 8 na mwezi moja.
Na mimi mwaka 2009 nilichukua mkopo milioni 50 nikajenga nyumba.
Sasa linganisha nyumba yangu niliyoijenga 2009 kwa mkopo .na nyumba yako uliyoijenga kwa kuchanga pesa kwa miaka 8.

Kwanza ili ujenge nyumba utapata plot 20x20 labda kwa milioni 6.
Wakati mimi niliyechukua mkopo 2009 hiyo milioni 6 nina zaidi ya kiwanja cha mpira.
WATU WANASEMA CHEZEA PESA SABABU ZINAKUJA NA KUONDOKA NA KUJA TENA.
USICHEZEE MUDA .
KWA HIYO MKOPO HUOKOA MUDA UKIUTUMIA VIZURI .mfano kujenga nyumba au kujiendeleza kibiashara kama si mfanyakazi
Well said kwa kweli
 
Cha msingi ni kucheza na nafsi yako na kujiwekea commitment ya kujikusanyia pesa mwenyewe over
 
Hongera mkuu kwa uzi mzuri,
mimi binafsi hapa nilikopa nmb nikapolomosha jumba la tamaa, pesa ikaisha na jumba halikuisha nikasubiri tena miaka mitatu baadae, nikakopa crdb pesa ikaisha na nyumba ikaisha ila haina finishing ndogo ndogo, wapangaji nao wanaangalia uzuri wa nyumba basi hapa naugulia maumivu, nisingependa wengine wawe kama mimi.
 
Hongera mkuu kwa uzi mzuri,
mimi binafsi hapa nilikopa nmb nikapolomosha jumba la tamaa, pesa ikaisha na jumba halikuisha nikasubiri tena miaka mitatu baadae, nikakopa crdb pesa ikaisha na nyumba ikaisha ila haina finishing ndogo ndogo, wapangaji nao wanaangalia uzuri wa nyumba basi hapa naugulia maumivu, nisingependa wengine wawe kama mimi.
Usiugue ndugu.
Umefanya kitu cha maana sana japo haijaisha.
Angalia walio kuzunguka jipime .
Wewe unajengo la maana ambalo halijaisha , piga mahesabu ya pesa ambazo umetumia tangu uanze kujenga.
Ukipata hesabu ,itathimini je ingekuwa ndio unayo mfukoni ungeweza kujenga kama hapo ulipo fikia .
Mwenzako nilikuwa kazi yangu ni kununua vijiwanja vijipori. Ndugu zangu walinidharau na kunikebehi kwa nini nisifanye biashara.
Leo mimi ni bosi mwenye viwanja. Sio tena mapoli. Big up ndugu.
 
Watu wengi hawajui maana ya mkopo.
Wanazani mtu kuchukua mkopo wa pesa basi ni kuwa tajili.
Mkopo wa pesa si kukufanya uwe na kipato kikubwa ,mkopo unakupa muda wa ziada ambao uliupoteza au utakaoupoteza ndani ya maisha yako.
Mtoa mada kasema kapata mkopo kajenga nyumba. Basi alichokifanya ni sahihi,ukimchunguza utaona alipoteza muda bila kujenga nyumba,na baada ya kujenga akaingiwa na option nyingine.
Unapoingiza option nyingine hapo unapoteza maana ya mkopo.
 
Back
Top Bottom