Madrid86
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,328
- 692
Umenena vyema mkuu.Kwa yeyote mzoefu, atapingana kwa kiasi flani na ajenda hii.
Mtu umefanya kazi yenye kukuingizia kipato cha wastani na unajiwekea malengo, lakini hakuna ulichoambulia, bado unaishi pangoni, what do you expect?
Pata hela ya mkupuo jenga, hamia.
Madeni yana msimu yataisha na utabaki na njengo wako.
Kukopa na kufanya biashara yahitaji uzoefu pia, hilo silishauri kwa kuwa sina uzoefu nalo.
Kuna watu wamejenga nyumba zao kwa pesa zao wenyewe. But wakaona waende bank wakope kwaajili ya biashara na kuweka hati ya nyumba kama dhamana. Biashara imekufa na nyumba imeenda. Maisha hayana formula ni kujpanga na kujua uwezo wako unafika wapi.