Raha ya maisha sio lazma uwe umejenga nyumba,,raha ya maisha ni kufanikisha mengi ambayo unayataman,na kuyaishi,sio kila mtu ana taman kua na nyumba,mi naamin yyte anaejua kutafuta hela na mwenye maono ya mbali nyumba sio kipaumbele chao.. Nyumba ni kitu cha mwsho kuwa nacho,ila unaweka mikondo ya hela ili hela ianze kukufanyia kaz baada ya wewe kutumia muda mwngi na akili na nguvu zako kuitafuta sasa inafiki kipind hela inakutumikia wewe.. Unaiamuru na inakupa majibu mubashara, mi namtetea mtu ambae anaweza kupanga laki sita kwa mwez kwenye appaintment then chin ana gar ya milion30-40,huyu akiamua kujenga anajenga tu lakin kujenga sio kipambele chake..
Narudia nyumba inakusaidia nn kama umewekeza nguv zako zote kwenye kujenga halaf kula kwako kumekua kwa shida? Nyumba ina maana gan kama umekopa ukajenga na mshahara wako unakatwa unabaki kulalamikia serikali? Kujenga kuna maana gan kama unalala njaa? Wekeza hela akilini ili akili ikujazie hela mfukoni hapo unaweza nunua cchte ukipendacho. Bado nasema siwalaumu wanaokopa kwa ajili ya ujenzi