Wazo lako zuri lakini ktk uhalisia wachache wanaweza,biashara pia ni risk taking kama kununua gari.
Yaani kwa mtumishi aliyebanwa na mazingira hayamruhusu kufanya biashara hamna jinsi,lazima akope ili awe na nyumba. Kuwa na nyumba kutamsaidia asipange au kupangisha hiyo nyumba apate kodi. Lasivyo atastaafuu bado amepanga kama hakujenga.
Mkopo mbaya ni wa gari ya kutembelea hatari,kama umekopa naamini hata kuilipia bima comprehasive na mikopo ya gari imewaingiza loss vijana sana maintanance si mchezo.
Nimeongelea hasa watumishi. Kutunza fedha nayo ni kipaji,maana fedha ni shetani ikiingia inataka kutoka.[emoji28] [emoji28]