Kuchukua mkopo benki na kujengea nyumba ni jambo jema lakini hasara yake ni kubwa

Kuchukua mkopo benki na kujengea nyumba ni jambo jema lakini hasara yake ni kubwa

Kuna mdada moja alikuwa anatufundisha fom 5 alitokea uswizi alituuliza kila moja malengo na ndoto zetu za badaye wengi wetu walikua wanasema nikimalize niajiliwe kisha nioe -nijenge nyumba yangua ys kuisihi na nininie gari langi la kutembela.yule dada alishangaa sana kwanza akauliza kwa nini wengi wenu ndoto zenu zinafanana na akashangaa akauliza kwani huku ni rahisi kujenga hadi kila mtu anataka awe na nyumba??
Hamna aliyesema anataka aanzishe kampuni,hamna aliyesema anataka kuwa mwanasiasa,hamna aliyesema anataka aanzishe mradi fulani aajili watu kwa kweli yule dada alishangaa sana!
 
Mimi nasoma hapa nasikitika sana, nimeishia kuwa omba omba na mwaka haujaisha sasa. Hadi nimalize mitano nitakuwa nimenyooka. Unafika muda unawaza kwa nini Mungu asichukue roho yako? Maisha ni magumu asikwambie mtu. Ila Magufuli ndo amenitonesha zaidi kidonda kwa kuongeza hiyo asilimia za makato ya bodi ya mkopo
 
Kuna mdada moja alikuwa anatufundisha fom 5 alitokea uswizi alituuliza kila moja malengo na ndoto zetu za badaye wengi wetu walikua wanasema nikimalize niajiliwe kisha nioe -nijenge nyumba yangua ys kuisihi na nininie gari langi la kutembela.yule dada alishangaa sana kwanza akauliza kwa nini wengi wenu ndoto zenu zinafanana na akashangaa akauliza kwani huku ni rahisi kujenga hadi kila mtu anataka awe na nyumba??
Hamna aliyesema anataka aanzishe kampuni,hamna aliyesema anataka kuwa mwanasiasa,hamna aliyesema anataka aanzishe mradi fulani aajili watu kwa kweli yule dada alishangaa sana!
Maisha ni nyumba......
 
Mimi nasoma hapa nasikitika sana, nimeishia kuwa omba omba na mwaka haujaisha sasa. Hadi nimalize mitano nitakuwa nimenyooka. Unafika muda unawaza kwa nini Mungu asichukue roho yako? Maisha ni magumu asikwambie mtu. Ila Magufuli ndo amenitonesha zaidi kidonda kwa kuongeza hiyo asilimia za makato ya bodi ya mkopo
miaka mitano sio mingi mkuu siku hazigandi, lakini nyumba si imeisha?
 
Nilikuwa napanga Nyumba nalipa 400000 kwa mezi,nimokopa nikajenga Nyumba nanimehamia sina shida kabisa uache uongo we we,kukopa kunasaidia sana tu
Mkuu usisemee uogo ...bali sema inategemea na kipato chako....Kama ulikuwa unawezo wa kulipa kodi kwa mwezi sh laki 4.Maana mshahara wako au kipato chako kikubwa.Pia mtoa post amezungumzia tabaka la chini TGS A,B,C, D na F. kma wewe mambo safi hii mada si rafiki kwako......
 
Pole mkuu hii hali ilitupata 2012 tuliwekeza kwenye vitunguu kwa hela ya mkopo aiseee tulikula loss ya hatari machozi yalitutoka tuliyumba mnoooo ila Mungu ni mwema na ww utavuka
Nashukuru sana kwa kunipa nguvu maana inafika muda unaona maisha hayana thamani kwako.
 
Umesema vema sana,,,na ushahidi nauona kwa watu kadhaa wanaonizunguka.. Ila ni vzr kukopa ukazalisha kuliko kukopa ukajenge,,, mm hua nakopa tena sana tu ila sikop kama sina hela,nikitaka kununua kitu labda cha 5m. Nahakikisha hiyo hela ninayo,then naenda kukopa ile ile 5m,baadae nanunua nachotaka then ile hela niliyonayo naiweka kwenye mzunguko inalipa deni,,sijawah kujuta kutumia njia hii
Nimekusoma sana mkuu kando ya mistari
 
Watu wengu sana wanaadhirika kutokana na mikopo hiyo ya benk hasa pale inapotumika kununua fixed ambazo hazigenerate income ya kufidia kile kinachopunguzwa na benki
 
Wazo lako zuri lakini ktk uhalisia wachache wanaweza,biashara pia ni risk taking kama kununua gari.
Yaani kwa mtumishi aliyebanwa na mazingira hayamruhusu kufanya biashara hamna jinsi,lazima akope ili awe na nyumba. Kuwa na nyumba kutamsaidia asipange au kupangisha hiyo nyumba apate kodi. Lasivyo atastaafuu bado amepanga kama hakujenga.
Mkopo mbaya ni wa gari ya kutembelea hatari,kama umekopa naamini hata kuilipia bima comprehasive na mikopo ya gari imewaingiza loss vijana sana maintanance si mchezo.
Nimeongelea hasa watumishi. Kutunza fedha nayo ni kipaji,maana fedha ni shetani ikiingia inataka kutoka.[emoji28] [emoji28]
umeongea kitu cha msingi sana.,kwamba ukiwa kama mfanyakazi wa serikali na karibu kila siku unatakiwa uwe kazini karibu siku nzima,mambo ya pesa sio ya kumkabidhi mtu aendeshe unatakiwa ww mwenyewe uwepo fizkal
 
Back
Top Bottom