Kuchukua pesa za watu benki si kitu cha kawaida, Inawezekana nchi imefilisika!

Kuchukua pesa za watu benki si kitu cha kawaida, Inawezekana nchi imefilisika!

Nimesikia mahali wakijadili kuwa kuna kipindi hapo nyuma tulikopa saana kwenye benki za kibiashara. Kipindi kile tulichokuwa tunaambiwa miradi inajengwa kwa hela za ndani.

Kwa sasa ile mikopo imeiva hivyo sehemu kubwa ya makusanya ya Kodi hutumika kulipa mikopo hiyo! Hakuna mwenye guts za kutuambia huu ukweli! Zaidi tunaumia kwa matokeo ya yule mzee aliyetuambia sisi ni "matajiri kweri kweri"
Yule alikuwa zaidi ya laana
 
Walimnanga Magufuli anachukua hela za watu kwenye akaunti kwa kigezo cha Malimbikizo ya kodi which made alot of sense sababu matajiri wengi walikwepa kodi kipindi cha Jakaya, sasa tuliyenaye kabatiza wizi wa mchana kweupe kwa jina la "Tozo" kikubwa nainjoy sababu hata waliomtukana Magufuli wanainjoy panga linalotembezwa kuanzia bank, kwenye simu hadi magtoni wanakolala.
Jiwe alikuwa laana kwa Taifa, yaani bora Mungu alimwondosha
 
Mbona inaeleweka zinakokwenda kufanya kazi tozo na Kodi zetu, kwani huoni vituo vya Afya, zahanati, shule, huduma za umeme na maji vikisogezwa na kupelekwa Hadi vijijini, kwani huoni namna mwananchi alivyo punguziwa adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma,

Tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu kwa kazi kubwa anayoifanya kuijenga nchi yetu,

Pia tutambue kuwa nchi yetu itajengwa kwa mikono yetu wenyewe, hivyo lazima tuchangie kidogo kutoka katika vipato vyetu kuijenga nchi yetu
Lini serikali imesema tozo zinajenga hospitali?
 
Lini serikali imesema tozo zinajenga hospitali?
Mbona tuliambiwa mpaka vituo vya Afya na shule zilizojengwa kutokanaa na tozo, hata hizi utafahamishwa tu, lakini pia utaona namna nchi yetu inavyobadilika na kusonga mbelee kimaendeleo, hata hiyo Elimu bure mpaka kidato Cha sita zitakwenda kugharamia huko, hata ongezeko la mikopo ya Elimu ya juu zitakwenda Huko pia , kwa hiyo Ni kupitia tozo hizi utaendeleaa kuona mabadiliko chanya kila sehemu
 
Nimesikia mahali wakijadili kuwa kuna kipindi hapo nyuma tulikopa saana kwenye benki za kibiashara. Kipindi kile tulichokuwa tunaambiwa miradi inajengwa kwa hela za ndani.

Kwa sasa ile mikopo imeiva hivyo sehemu kubwa ya makusanya ya Kodi hutumika kulipa mikopo hiyo! Hakuna mwenye guts za kutuambia huu ukweli! Zaidi tunaumia kwa matokeo ya yule mzee aliyetuambia sisi ni "matajiri kweri kweri"
mpumbavu ww
 
Usitusemee bna.Mi ntamchagua,labda waweke sampuli ya mwenda zake
We jamaa ni wa ovyo kinoma....2025 mkimuweka Samia jiandaeni kuiba kura maana watakaomchagua ni nyinyi tu walamba asali HakunA mwananchi wa kawaida atoke kwake akampigie kura huyu maza
 
Yawezekana Mzee wa Nazaleti alikuwa sahihi..... 😉😉😉😉
 
Kuchukua pesa za watu bank si kitu cha kawaida. Hii nchi RAIA wake huwa tunatabia ya kuzoea mambo hata yasiyozoeleka. Huwa tunasema tunamwachia Mungu. Na, hata hili litapita.

Lakini ni bora hata tuambiwe zinaenda wapi? Kama tunalipa madeni tuambieni na kama zinaenda kwenye miradi tuambieni, kama ndo tunajilipa mishahara semeni pia.

Kukaa kimya kama hamsikii malalamiko ya wananchi ni dharau kubwa. Tunahitaji tuambiwe hizi pesa mnazochukua kwenye Acc za watu bank ZINAKWENDA WAPI!?

Tumekuwa wapole sana na kama ulivyosema hata hili litapita...... huyu tumvizie atuambie pesa zinaenda wapi ( mwigulu)
 
Kuchukua pesa za watu bank si kitu cha kawaida. Hii nchi RAIA wake huwa tunatabia ya kuzoea mambo hata yasiyozoeleka. Huwa tunasema tunamwachia Mungu. Na, hata hili litapita.

Lakini ni bora hata tuambiwe zinaenda wapi? Kama tunalipa madeni tuambieni na kama zinaenda kwenye miradi tuambieni, kama ndo tunajilipa mishahara semeni pia.

Kukaa kimya kama hamsikii malalamiko ya wananchi ni dharau kubwa. Tunahitaji tuambiwe hizi pesa mnazochukua kwenye Acc za watu bank ZINAKWENDA WAPI!?
Mungu ameondoa mkono wake kuilinda serikali hii.

ameiacha kwa sababu imejishikamanisha na nguvu za shetani kama eneo lao la kujikomboa. Waendelee kutoa makafara ya damu lakini kuanguka kupitia sanduku la kura hakuko mbali
 
Mwigulu anajaribu kujenga Uchumi wa nchi kwa kuwapora wananchi..... mbaya sana hii kitu. Afu CCM wanachekelea tu madudu haya !!

Na ndiyo maana sisi wachache wenye akili tunadai KATIBA MPYA.
 
CCM ni janga la kitaifa kama mungu akishuka Leo na akasema taja watu gani unataka waende motoni aisee nitasema CCM wote motoni yaan kwa jinsi nilivyofikia hapa nikiona neno CCM au mtu kavaa makofia au masuruali au maflana ya CCM aisee huwezi kuamini nahisi kutapika natamani nimzabe kibao au makofi kama tv natoa kama katika daladala nimepanda na mtu kava maCCm nahama siti kama msikitini au kanisani natoka karibu nae toka nimekuwa mpaka hivi sioni kama kuna dalili ya kuendelea kazi yao kumsifia tu raisi hata katika upumbavu na ujinga wlaaaniwe CCM wote milele na milele ameen
 
Tumekuwa Walpole sana na kama ulivyosema hata hili litapita...... huyu tumvizie atuambie pesa zinaenda wapi ( mwigulu)
Hii ni nchi pekee ambayo watu wake wapo kwenye comfort zone hata uwape mateso gani ya kimaisha, na ndiyo maana CCM hawana wasiwasi - wanajua 2025 watamaliza uchaguzi salama na wataingia madarakani tena na tena.

Kwa hiyo kutawala nchi kama Tanzania ni rahisi mno kuliko kumeza tonge, mtu unalimwa mshahara double taxations ila unacheka cheka tu - mzima kweli wewe.
 
Mbona inaeleweka zinakokwenda kufanya kazi tozo na Kodi zetu, kwani huoni vituo vya Afya, zahanati, shule, huduma za umeme na maji vikisogezwa na kupelekwa Hadi vijijini, kwani huoni namna mwananchi alivyo punguziwa adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma,

Tuendelee kumuunga mkono mh Rais wetu kwa kazi kubwa anayoifanya kuijenga nchi yetu,

Pia tutambue kuwa nchi yetu itajengwa kwa mikono yetu wenyewe, hivyo lazima tuchangie kidogo kutoka katika vipato vyetu kuijenga nchi yetu

Icho unachosema umethibitisha mkuu? Una uhakika pesa huko ndipo zinapokwenda?
 
Mh mama Samia suluhu Hassani ndio Rais wetu mpaka 2030, anakubalika na watanzania na watanzania bado tunamhitaji mh mama Samia suluhu Hassani aendelee kututumikia sisi watanzania

Ameonyesha dhamira ya dhati katika kuleta mabadiliko ya kiuchumi kwa nchi hii, ameonyesha juhudi kubwa katika kutatua kero na matatizo ya wananchi,

Acha shobo jamaa! Raisi wako na nani? Watz gani unawaongelea?
 
Back
Top Bottom