Kuchukua pesa za watu benki si kitu cha kawaida, Inawezekana nchi imefilisika!

Yule alikuwa zaidi ya laana
 
Jiwe alikuwa laana kwa Taifa, yaani bora Mungu alimwondosha
 
Lini serikali imesema tozo zinajenga hospitali?
 
Lini serikali imesema tozo zinajenga hospitali?
Mbona tuliambiwa mpaka vituo vya Afya na shule zilizojengwa kutokanaa na tozo, hata hizi utafahamishwa tu, lakini pia utaona namna nchi yetu inavyobadilika na kusonga mbelee kimaendeleo, hata hiyo Elimu bure mpaka kidato Cha sita zitakwenda kugharamia huko, hata ongezeko la mikopo ya Elimu ya juu zitakwenda Huko pia , kwa hiyo Ni kupitia tozo hizi utaendeleaa kuona mabadiliko chanya kila sehemu
 
mpumbavu ww
 
Usitusemee bna.Mi ntamchagua,labda waweke sampuli ya mwenda zake
We jamaa ni wa ovyo kinoma....2025 mkimuweka Samia jiandaeni kuiba kura maana watakaomchagua ni nyinyi tu walamba asali HakunA mwananchi wa kawaida atoke kwake akampigie kura huyu maza
 
Yawezekana Mzee wa Nazaleti alikuwa sahihi..... πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰
 

Tumekuwa wapole sana na kama ulivyosema hata hili litapita...... huyu tumvizie atuambie pesa zinaenda wapi ( mwigulu)
 
Mungu ameondoa mkono wake kuilinda serikali hii.

ameiacha kwa sababu imejishikamanisha na nguvu za shetani kama eneo lao la kujikomboa. Waendelee kutoa makafara ya damu lakini kuanguka kupitia sanduku la kura hakuko mbali
 
Mwigulu anajaribu kujenga Uchumi wa nchi kwa kuwapora wananchi..... mbaya sana hii kitu. Afu CCM wanachekelea tu madudu haya !!

Na ndiyo maana sisi wachache wenye akili tunadai KATIBA MPYA.
 
CCM ni janga la kitaifa kama mungu akishuka Leo na akasema taja watu gani unataka waende motoni aisee nitasema CCM wote motoni yaan kwa jinsi nilivyofikia hapa nikiona neno CCM au mtu kavaa makofia au masuruali au maflana ya CCM aisee huwezi kuamini nahisi kutapika natamani nimzabe kibao au makofi kama tv natoa kama katika daladala nimepanda na mtu kava maCCm nahama siti kama msikitini au kanisani natoka karibu nae toka nimekuwa mpaka hivi sioni kama kuna dalili ya kuendelea kazi yao kumsifia tu raisi hata katika upumbavu na ujinga wlaaaniwe CCM wote milele na milele ameen
 
Tumekuwa Walpole sana na kama ulivyosema hata hili litapita...... huyu tumvizie atuambie pesa zinaenda wapi ( mwigulu)
Hii ni nchi pekee ambayo watu wake wapo kwenye comfort zone hata uwape mateso gani ya kimaisha, na ndiyo maana CCM hawana wasiwasi - wanajua 2025 watamaliza uchaguzi salama na wataingia madarakani tena na tena.

Kwa hiyo kutawala nchi kama Tanzania ni rahisi mno kuliko kumeza tonge, mtu unalimwa mshahara double taxations ila unacheka cheka tu - mzima kweli wewe.
 

Icho unachosema umethibitisha mkuu? Una uhakika pesa huko ndipo zinapokwenda?
 

Acha shobo jamaa! Raisi wako na nani? Watz gani unawaongelea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…