Kudai Katiba Mpya alikofanya Mbowe ndiyo ambacho Rais Samia anakiita kuvunja sheria za nchi?

Kudai Katiba Mpya alikofanya Mbowe ndiyo ambacho Rais Samia anakiita kuvunja sheria za nchi?

Mystery

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2012
Posts
15,843
Reaction score
31,057
Nimemsikiliza kwa makini Sana, Rais Samia Suluhu Hassan, Katika hotuba yake kwa Baraza la vyama, akijibu hoja aliyopewa na Kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, aliyeomba Mwenyekiti wa Chadema Mbowe afutiwe kesi ya ugaidi inayomkabili.

Alijibu hoja hiyo kuwa kusamehe kupo, lakini Mbowe inabidi aheshimu sheria!

Nimejiuliza maswali kadhaa, hivi kumbe Rais Samia, ndiye aliyeamuru Mbowe akamatwe,na kufunguliwa mashitaka ya ugaidi, kwa madai ya kuwa anavunja sheria kwa kudai Katiba mpya?

Hivi ina maana gani kuwa kiongozi wa chama cha upinzani nchini?

Maana yake ni kukosoa yale yanayofanyika na serikali kwa nia ya kuliletea maendeleo makubwa zaidi nchi yetu.

Tumeshuhudia ushahidi ukitolewa kwa watuhumiwa wakidai kuwa maelezo yanayodaiwa kuwa waliyatoa wao Katika kituo cha Central, wakikana kuwa kamwe hawakuyatoa kwa hiyari yao, kwani waliteswa Sana na maelezo hayo yaliandikwa na mapolisi Katika kituo cha Mbweni na wao kulazimishwa kuyassini, ambapo ni kinyume cha Haki za mtuhumiwa.

Kwa namna Rais Samia, alivyoielezea Kesi hiyo, nimebaini kuwa hata kama Mbowe atatoka kwa msamaha wa Rais, itabidi aipiganie Katiba mpya kwa kasi zaidi na ari zaidi, kwa manufaa ya kizazi kijacho, kwa kuwa kwa mfumo uliopo sasa, ambao Katiba imempa mamlaka ya ki-mungu mtu, Rais wa nchi, ndiyo tatizo kubwa linafanya mfumo wa kiuongozi, umpe kiburi cha kupitiliza Rais wa nchi hii.
 
Hii Katiba mbovu tuliyonayo inayompa Rais madaraka kama malkia ndio inayofanya Samia amuone Mbowe amevunja sheria kwa kutofuata matakwa yake, ajabu sana, tumegeuzwa taifa la kusubiri kauli ya Rais badala ya kuangalia sheria.

Rais anasema wakifanya mikutano wanafanya fujo ndio maana amezuia, najiuliza kama hiyo ndio sababu ya kweli polisi kazi yao ni nini? au kaamua kuwalipa polisi mishahara ya bure bila kazi?
 
Hii Katiba mbovu tuliyonayo inayompa Rais madaraka kama malkia ndio inayofanya Samia amuone Mbowe amevunja sheria kwa kutofuata matakwa yake, ajabu sana, tumegeuzwa taifa la kusubiri kauli ya Rais badala ya kuangalia sheria.

Rais anasema wakifanya mikutano wanafanya fujo ndio maana amezuia, najiuliza kama hiyo ndio sababu ya kweli polisi kazi yao ni nini? au kaamua kuwalipa polisi mishahara ya bure bila kazi?
Kwanza jiulize ni lini ambapo wapinzani wamefanya mkutano wao wa kisiasa na wakavunja vioo vya magari kama alivyodai Rais Samia?

Hivi kuna haja gani ya kuendelea na Katiba hii mbovu, ambayo inampa mamlaka Rais ya kuudanganya umma wa watanzania na kusiwepo mtu yeyote wa kuhoji alichoongea Rais na hata akitokea Mwananchi ambaye atauvaa ujasiri wa kukosoa alichoongea Rais, anabambikiwa Kesi ya ugaidi?
 
Kwanza jiulize ni lini ambapo wapinzani wamefanya mkutano wao wa kisiasa na wakavunja vioo vya magari kama alivyodai Rais Samia?

Hivi kuna haja gani ya kuendelea na Katiba hii mbovu, ambayo inampa mamlaka Rais ya kuudanganya umma wa watanzania na kusiwepo mtu yeyote wa kuhoji alichoongea Rais na hata akitokea Mwananchi ambaye atauvaa ujasiri wa kukosoa alichoongea Rais, anabambikiwa Kesi ya ugaidi!
Matokeo yake Rais anatengeneza kesi ya uongo kwa mpinzani wake, anateuliwa jaji wa kusikiliza kesi mwenye maelekezo ya kile Rais anachotaka [ refer kauli ya Jaji Mkuu kuhusu maamuzi ya mahakama yawafurahishe mihimili mingine], ndio maana kila siku tunamuona jaji Liganga akifanya mambo ya ajabu mahakamani, kumbe yote ni kusudi lengo bovu la kumfunga Mbowe litimie.
 
Matokeo yake Rais anatengeneza kesi ya uongo kwa mpinzani wake, anateuliwa jaji wa kusikiliza kesi mwenye maelekezo ya kile Rais anachotaka [ refer kauli ya Jaji Mkuu kuhusu maamuzi ya mahakama yawafurahishe mihimili mingine], ndio maana kila siku tunamuona jaji Liganga akifanya mambo ya ajabu mahakamani, kumbe yote ni kusudi lengo bovu la kumfunga Mbowe litimie.
Jaji wa michongo......

Mawakili wa michongo.......

Na mashahidi wa michongo!
 
Nimemsikiliza kwa makini Sana, Rais Samia Suluhu Hassan, Katika hotuba yake kwa Baraza la vyama, akijibu hoja aliyopewa na Kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, aliyeomba Mwenyekiti wa Chadema Mbowe afutiwe kesi ya ugaidi inayomkabili.

Alijibu hoja hiyo kuwa kusamehe kupo, lakini Mbowe inabidi aheshimu sheria!

Nimejiuliza maswali kadhaa, hivi kumbe Rais Samia, ndiye aliyeamuru Mbowe akamatwe,na kufunguliwa mashitaka ya ugaidi, kwa madai ya kuwa anavunja sheria kwa kudai Katiba mpya?

Hivi ina maana gani kuwa kiongozi wa chama cha upinzani nchini?

Maana yake ni kukosoa yale yanayofanyika na serikali kwa nia ya kuliletea maendeleo makubwa zaidi nchi yetu.

Tumeshuhudia ushahidi ukitolewa kwa watuhumiwa wakidai kuwa maelezo yanayodaiwa kuwa waliyatoa wao Katika kituo cha Central, wakikana kuwa kamwe hawakuyatoa kwa hiyari yao, kwani waliteswa Sana na maelezo hayo yaliandikwa na mapolisi Katika kituo cha Mbweni na wao kulazimishwa kuyassini, ambapo ni kinyume cha Haki za mtuhumiwa.

Kwa namna Rais Samia, alivyoielezea Kesi hiyo, nimebaini kuwa hata kama Mbowe atatoka kwa msamaha wa Rais, itabidi aipiganie Katiba mpya kwa kasi zaidi na ari zaidi, kwa manufaa ya kizazi kijacho, kwa kuwa kwa mfumo uliopo sasa, ambao Katiba imempa mamlaka ya ki-mungu mtu, Rais wa nchi, ndiyo tatizo kubwa linafanya mfumo wa kiuongozi, umpe kiburi cha kupitiliza Rais wa nchi hii.
Kwa akili za ki CCM, kukubalika ni kuvunja sheria, kushinda upinzani ni kuleta vurugu.
 
Tatizo la Mbowe alikua na haraka sijui ya kazi gani, katiba kenya wame badilisha hata haija wasaidia, katiba isipo fatwa haina maana. Angempa mama muda tena alikua na nia nzuri tu, wange anza na tume ya ucha guzi tuwe na bunge imara hayo mengine yange fata
 
Tatizo la Mbowe alikua na haraka sijui ya kazi gani, katiba kenya wame badilisha hata haija wasaidia, katiba isipo fatwa haina maana. Angempa mama muda tena alikua na nia nzuri tu, wange anza na tume ya ucha guzi tuwe na bunge imara hayo mengine yange fata
Umejuaje katiba mpya ya Kenya haijawasaidia?
 
Tatizo la Mbowe alikua na haraka sijui ya kazi gani, katiba kenya wame badilisha hata haija wasaidia, katiba isipo fatwa haina maana. Angempa mama muda tena alikua na nia nzuri tu, wange anza na tume ya ucha guzi tuwe na bunge imara hayo mengine yange fata
UNAHAKIKA KENYA KATIBA MPYA HAIJA WASAIDIA?


MUNGU TUSAIDIE
 
Tatizo la Mbowe alikua na haraka sijui ya kazi gani, katiba kenya wame badilisha hata haija wasaidia, katiba isipo fatwa haina maana. Angempa mama muda tena alikua na nia nzuri tu, wange anza na tume ya ucha guzi tuwe na bunge imara hayo mengine yange fata
Unachokielezea hapa umekifanyia uchunguzi au umeleta mawazo yako. Jitafakari.
 
Nimemsikiliza kwa makini Sana, Rais Samia Suluhu Hassan, Katika hotuba yake kwa Baraza la vyama, akijibu hoja aliyopewa na Kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, aliyeomba Mwenyekiti wa Chadema Mbowe afutiwe kesi ya ugaidi inayomkabili.

Alijibu hoja hiyo kuwa kusamehe kupo, lakini Mbowe inabidi aheshimu sheria!

Nimejiuliza maswali kadhaa, hivi kumbe Rais Samia, ndiye aliyeamuru Mbowe akamatwe,na kufunguliwa mashitaka ya ugaidi, kwa madai ya kuwa anavunja sheria kwa kudai Katiba mpya?

Hivi ina maana gani kuwa kiongozi wa chama cha upinzani nchini?

Maana yake ni kukosoa yale yanayofanyika na serikali kwa nia ya kuliletea maendeleo makubwa zaidi nchi yetu.

Tumeshuhudia ushahidi ukitolewa kwa watuhumiwa wakidai kuwa maelezo yanayodaiwa kuwa waliyatoa wao Katika kituo cha Central, wakikana kuwa kamwe hawakuyatoa kwa hiyari yao, kwani waliteswa Sana na maelezo hayo yaliandikwa na mapolisi Katika kituo cha Mbweni na wao kulazimishwa kuyassini, ambapo ni kinyume cha Haki za mtuhumiwa.

Kwa namna Rais Samia, alivyoielezea Kesi hiyo, nimebaini kuwa hata kama Mbowe atatoka kwa msamaha wa Rais, itabidi aipiganie Katiba mpya kwa kasi zaidi na ari zaidi, kwa manufaa ya kizazi kijacho, kwa kuwa kwa mfumo uliopo sasa, ambao Katiba imempa mamlaka ya ki-mungu mtu, Rais wa nchi, ndiyo tatizo kubwa linafanya mfumo wa kiuongozi, umpe kiburi cha kupitiliza Rais wa nchi hii.
Pale mtu anapoamini hisia zake bila kuwa na uhakika
 
Nimemsikiliza kwa makini Sana, Rais Samia Suluhu Hassan, Katika hotuba yake kwa Baraza la vyama, akijibu hoja aliyopewa na Kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, aliyeomba Mwenyekiti wa Chadema Mbowe afutiwe kesi ya ugaidi inayomkabili.

Alijibu hoja hiyo kuwa kusamehe kupo, lakini Mbowe inabidi aheshimu sheria!

Nimejiuliza maswali kadhaa, hivi kumbe Rais Samia, ndiye aliyeamuru Mbowe akamatwe,na kufunguliwa mashitaka ya ugaidi, kwa madai ya kuwa anavunja sheria kwa kudai Katiba mpya?

Hivi ina maana gani kuwa kiongozi wa chama cha upinzani nchini?

Maana yake ni kukosoa yale yanayofanyika na serikali kwa nia ya kuliletea maendeleo makubwa zaidi nchi yetu.

Tumeshuhudia ushahidi ukitolewa kwa watuhumiwa wakidai kuwa maelezo yanayodaiwa kuwa waliyatoa wao Katika kituo cha Central, wakikana kuwa kamwe hawakuyatoa kwa hiyari yao, kwani waliteswa Sana na maelezo hayo yaliandikwa na mapolisi Katika kituo cha Mbweni na wao kulazimishwa kuyassini, ambapo ni kinyume cha Haki za mtuhumiwa.

Kwa namna Rais Samia, alivyoielezea Kesi hiyo, nimebaini kuwa hata kama Mbowe atatoka kwa msamaha wa Rais, itabidi aipiganie Katiba mpya kwa kasi zaidi na ari zaidi, kwa manufaa ya kizazi kijacho, kwa kuwa kwa mfumo uliopo sasa, ambao Katiba imempa mamlaka ya ki-mungu mtu, Rais wa nchi, ndiyo tatizo kubwa linafanya mfumo wa kiuongozi, umpe kiburi cha kupitiliza Rais wa nchi hii.

1639634719217.png
 
Nimemsikiliza kwa makini Sana, Rais Samia Suluhu Hassan, Katika hotuba yake kwa Baraza la vyama, akijibu hoja aliyopewa na Kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, aliyeomba Mwenyekiti wa Chadema Mbowe afutiwe kesi ya ugaidi inayomkabili.

Alijibu hoja hiyo kuwa kusamehe kupo, lakini Mbowe inabidi aheshimu sheria!

Nimejiuliza maswali kadhaa, hivi kumbe Rais Samia, ndiye aliyeamuru Mbowe akamatwe,na kufunguliwa mashitaka ya ugaidi, kwa madai ya kuwa anavunja sheria kwa kudai Katiba mpya?

Hivi ina maana gani kuwa kiongozi wa chama cha upinzani nchini?

Maana yake ni kukosoa yale yanayofanyika na serikali kwa nia ya kuliletea maendeleo makubwa zaidi nchi yetu.

Tumeshuhudia ushahidi ukitolewa kwa watuhumiwa wakidai kuwa maelezo yanayodaiwa kuwa waliyatoa wao Katika kituo cha Central, wakikana kuwa kamwe hawakuyatoa kwa hiyari yao, kwani waliteswa Sana na maelezo hayo yaliandikwa na mapolisi Katika kituo cha Mbweni na wao kulazimishwa kuyassini, ambapo ni kinyume cha Haki za mtuhumiwa.

Kwa namna Rais Samia, alivyoielezea Kesi hiyo, nimebaini kuwa hata kama Mbowe atatoka kwa msamaha wa Rais, itabidi aipiganie Katiba mpya kwa kasi zaidi na ari zaidi, kwa manufaa ya kizazi kijacho, kwa kuwa kwa mfumo uliopo sasa, ambao Katiba imempa mamlaka ya ki-mungu mtu, Rais wa nchi, ndiyo tatizo kubwa linafanya mfumo wa kiuongozi, umpe kiburi cha kupitiliza Rais wa nchi hii.
Shida yake ya kuwa na uwezo mdogo wa kutawala ndio huo,anasema anajenga nchi?ukiangalia ni kukopa tu bila kujua hiyo pesa wanafanyia nini.
Toka awamu ya 4 mpka hii ya 5 wamejenga madarasa walimu hakuna,anatumia pesa za kodi kuendesha kesi ya michongo,ccm ni chama cha hovyo bila policeccm kisingekuepo
 
Nimemsikiliza kwa makini Sana, Rais Samia Suluhu Hassan, Katika hotuba yake kwa Baraza la vyama, akijibu hoja aliyopewa na Kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, aliyeomba Mwenyekiti wa Chadema Mbowe afutiwe kesi ya ugaidi inayomkabili.

Alijibu hoja hiyo kuwa kusamehe kupo, lakini Mbowe inabidi aheshimu sheria!

Nimejiuliza maswali kadhaa, hivi kumbe Rais Samia, ndiye aliyeamuru Mbowe akamatwe,na kufunguliwa mashitaka ya ugaidi, kwa madai ya kuwa anavunja sheria kwa kudai Katiba mpya?

Hivi ina maana gani kuwa kiongozi wa chama cha upinzani nchini?

Maana yake ni kukosoa yale yanayofanyika na serikali kwa nia ya kuliletea maendeleo makubwa zaidi nchi yetu.

Tumeshuhudia ushahidi ukitolewa kwa watuhumiwa wakidai kuwa maelezo yanayodaiwa kuwa waliyatoa wao Katika kituo cha Central, wakikana kuwa kamwe hawakuyatoa kwa hiyari yao, kwani waliteswa Sana na maelezo hayo yaliandikwa na mapolisi Katika kituo cha Mbweni na wao kulazimishwa kuyassini, ambapo ni kinyume cha Haki za mtuhumiwa.

Kwa namna Rais Samia, alivyoielezea Kesi hiyo, nimebaini kuwa hata kama Mbowe atatoka kwa msamaha wa Rais, itabidi aipiganie Katiba mpya kwa kasi zaidi na ari zaidi, kwa manufaa ya kizazi kijacho, kwa kuwa kwa mfumo uliopo sasa, ambao Katiba imempa mamlaka ya ki-mungu mtu, Rais wa nchi, ndiyo tatizo kubwa linafanya mfumo wa kiuongozi, umpe kiburi cha kupitiliza Rais wa nchi hii.
Tukifuatiilia maana ya democrasia ya kitanzania, kuwa democrasia inaendana na mazingira , tamaduni na Hali ya uchumi na kuwa haiko imara maana yake kuwa inayumbayumba kutagemeana na hali na wakati, binafsi napata shida kuwa kitanzania democrasia ni siasa/sii hasa tusaidiane hapa hii democrasia ya kitanzania ni ya nanna Gani?
 
Tatizo la Mbowe alikua na haraka sijui ya kazi gani, katiba kenya wame badilisha hata haija wasaidia, katiba isipo fatwa haina maana. Angempa mama muda tena alikua na nia nzuri tu, wange anza na tume ya ucha guzi tuwe na bunge imara hayo mengine yange fata
Bila katiba kuyaainisha haya unayoyasema itawezekana vipi ?!. Katiba kwanza mengine yatakuwemo humo humo.
 
Back
Top Bottom