Kudai Katiba Mpya alikofanya Mbowe ndiyo ambacho Rais Samia anakiita kuvunja sheria za nchi?

Kudai Katiba Mpya alikofanya Mbowe ndiyo ambacho Rais Samia anakiita kuvunja sheria za nchi?

Sasa mfumo wa kukosoana umekuwepo nchini kwa ajili ya nini ?! Mitego au
Wazee wa michongo bambikizi wanajipanga tu, ila najua Mzee chuma na ni msimamia ukweli na haki, anathibitisha hakuwa jaji wa michongo enzi zake.
 
Wazee wa michongo bambikizi wanajipanga tu, ila najua Mzee chuma na ni msimamia ukweli na haki, anathibitisha hakuwa jaji wa michongo enzi zake.
Shida ya watu kama kina Warioba , Nyerere, Polepole, Lowasa, Sumaye etc. Wamekuja kuuona ubovu wa katiba wakiwa nje ya mfumo. Hivyo hata maoni yao ktk swala la katiba linakosa impact . Hawa walikuwa na nafasi ya kuishauri serikali wakiwa madarakani siyo baada ya kutoka au kutolewa. Kwani waliopo wanaufaidi ubovu wenyewe huu wa kimungumutu.
 
Shida ya watu kama kina Warioba , Nyerere, Polepole, Lowasa, Sumaye etc. Wamekuja kuuona ubovu wa katiba wakiwa nje ya mfumo. Hivyo hata maoni yao ktk swala la katiba linakosa impact . Hawa walikuwa na nafasi ya kuishauri serikali wakiwa madarakani siyo baada ya kutoka au kutolewa. Kwani waliopo wanaufaidi ubovu wenyewe huu wa kimungumutu.
Ila angalao mmoja wao amekuwa na ujasiri na utayari wa kurekebisha mapungufu hayo, ila ccm michongo wamekuwa kikwazo🤔.
 
Tatizo la Mbowe alikua na haraka sijui ya kazi gani, katiba kenya wame badilisha hata haija wasaidia, katiba isipo fatwa haina maana. Angempa mama muda tena alikua na nia nzuri tu, wange anza na tume ya ucha guzi tuwe na bunge imara hayo mengine yange fata
Hivi wewe hujaona namna muhimili wa Mahakama ulivyo Huru Kenya, ukilinganisha na TZ ambako muhimili huo unapata maelekezo ya namna ya kushughulikia masuala ya utoaji wa Haki nchini?
 
Analiwa timing tu, je ulisha muuliza kama anapata mafao yake kikamilifu🏃.
Warioba kama angekuwa hapati mafao yake sawa sawa angeshasema in public. Yule mzee hana roho ya kuweka vitu. All retired PM are well cared off:
Msuya Clepa
Sumaye Fredric
Salim Ahemd Salim
Warioba
WANAKULA WANASAZA
 
Nimemsikiliza kwa makini Sana, Rais Samia Suluhu Hassan, Katika hotuba yake kwa Baraza la vyama, akijibu hoja aliyopewa na Kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, aliyeomba Mwenyekiti wa Chadema Mbowe afutiwe kesi ya ugaidi inayomkabili.

Alijibu hoja hiyo kuwa kusamehe kupo, lakini Mbowe inabidi aheshimu sheria!

Nimejiuliza maswali kadhaa, hivi kumbe Rais Samia, ndiye aliyeamuru Mbowe akamatwe,na kufunguliwa mashitaka ya ugaidi, kwa madai ya kuwa anavunja sheria kwa kudai Katiba mpya?

Hivi ina maana gani kuwa kiongozi wa chama cha upinzani nchini?

Maana yake ni kukosoa yale yanayofanyika na serikali kwa nia ya kuliletea maendeleo makubwa zaidi nchi yetu.

Tumeshuhudia ushahidi ukitolewa kwa watuhumiwa wakidai kuwa maelezo yanayodaiwa kuwa waliyatoa wao Katika kituo cha Central, wakikana kuwa kamwe hawakuyatoa kwa hiyari yao, kwani waliteswa Sana na maelezo hayo yaliandikwa na mapolisi Katika kituo cha Mbweni na wao kulazimishwa kuyassini, ambapo ni kinyume cha Haki za mtuhumiwa.

Kwa namna Rais Samia, alivyoielezea Kesi hiyo, nimebaini kuwa hata kama Mbowe atatoka kwa msamaha wa Rais, itabidi aipiganie Katiba mpya kwa kasi zaidi na ari zaidi, kwa manufaa ya kizazi kijacho, kwa kuwa kwa mfumo uliopo sasa, ambao Katiba imempa mamlaka ya ki-mungu mtu, Rais wa nchi, ndiyo tatizo kubwa linafanya mfumo wa kiuongozi, umpe kiburi cha kupitiliza Rais wa nchi hii.
wote tumeshangaa
 
Tatizo ni kutojua matokeo ya sentensi: Mahojiano ya BBC yalionyesha kwamba mbowe ana makosa wakati mahakama haijathibitisha. Kwenye hotuba ya jana aliendelea kusema atasamehe, swali ni kwamba anasamehe kwa kosa gani wakati mahakama haijathibitisha kwamba kuna mtu ana kosa?
Kwa hiyo anayekataza kufanya makosa ya ki-katiba ndo anavunja sheria lakini haoni hilo kwa sababu anaona yuko juu ya sheria.
 
Tatizo la Mbowe alikua na haraka sijui ya kazi gani, katiba kenya wame badilisha hata haija wasaidia, katiba isipo fatwa haina maana. Angempa mama muda tena alikua na nia nzuri tu, wange anza na tume ya ucha guzi tuwe na bunge imara hayo mengine yange fata

Viroboto, matapeli na wahuni wakifungua tu midomo yao wanajulikana.
 
Shida yake ya kuwa na uwezo mdogo wa kutawala ndio huo,anasema anajenga nchi?ukiangalia ni kukopa tu bila kujua hiyo pesa wanafanyia nini.
Toka awamu ya 4 mpka hii ya 5 wamejenga madarasa walimu hakuna,anatumia pesa za kodi kuendesha kesi ya michongo,ccm ni chama cha hovyo bila policeccm kisingekuepo
Umesema vema, walimu ni muhimu sana kwani huwajenga watu ambao watajenga nchi. Ukikosea hapo unabomoa nchi. Wajenge madarasa lakini wasisahau walimu na ualimu.

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Hivi wewe hujaona namna muhimili wa Mahakama ulivyo Huru Kenya, ukilinganisha na TZ ambako muhimili huo unapata maelekezo ya namna ya kushughulikia masuala ya utoaji wa Haki nchini?
Juzi kabla ya uamuzi mchongo bosi wake kubwa alipiga mkera kumsafishia njia mtoa uamuzi mchongo🏃.
 
UNAHAKIKA KENYA KATIBA MPYA HAIJA WASAIDIA?


MUNGU TUSAIDIE
Ime wasaidia nini nchi iko kwenye campaign mode muda wote. Ni kulaghai wazungu tu na kujiona bora
Hivi wewe hujaona namna muhimili wa Mahakama ulivyo Huru Kenya, ukilinganisha na TZ ambako muhimili huo unapata maelekezo ya namna ya kushughulikia masuala ya utoaji wa Haki nchini?
fatilia siasa za kenya hakuna chochote cha maajabu kilicho badilika
 
Nimemsikiliza kwa makini Sana, Rais Samia Suluhu Hassan, Katika hotuba yake kwa Baraza la vyama, akijibu hoja aliyopewa na Kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, aliyeomba Mwenyekiti wa Chadema Mbowe afutiwe kesi ya ugaidi inayomkabili.

Alijibu hoja hiyo kuwa kusamehe kupo, lakini Mbowe inabidi aheshimu sheria!

Nimejiuliza maswali kadhaa, hivi kumbe Rais Samia, ndiye aliyeamuru Mbowe akamatwe,na kufunguliwa mashitaka ya ugaidi, kwa madai ya kuwa anavunja sheria kwa kudai Katiba mpya?

Hivi ina maana gani kuwa kiongozi wa chama cha upinzani nchini?

Maana yake ni kukosoa yale yanayofanyika na serikali kwa nia ya kuliletea maendeleo makubwa zaidi nchi yetu.

Tumeshuhudia ushahidi ukitolewa kwa watuhumiwa wakidai kuwa maelezo yanayodaiwa kuwa waliyatoa wao Katika kituo cha Central, wakikana kuwa kamwe hawakuyatoa kwa hiyari yao, kwani waliteswa Sana na maelezo hayo yaliandikwa na mapolisi Katika kituo cha Mbweni na wao kulazimishwa kuyassini, ambapo ni kinyume cha Haki za mtuhumiwa.

Kwa namna Rais Samia, alivyoielezea Kesi hiyo, nimebaini kuwa hata kama Mbowe atatoka kwa msamaha wa Rais, itabidi aipiganie Katiba mpya kwa kasi zaidi na ari zaidi, kwa manufaa ya kizazi kijacho, kwa kuwa kwa mfumo uliopo sasa, ambao Katiba imempa mamlaka ya ki-mungu mtu, Rais wa nchi, ndiyo tatizo kubwa linafanya mfumo wa kiuongozi, umpe kiburi cha kupitiliza Rais wa nchi hii.

This time ataacha mambo ya katiba mpya, atakaa asubiri mamlaka itasema nn
 
Nimemsikiliza kwa makini Sana, Rais Samia Suluhu Hassan, Katika hotuba yake kwa Baraza la vyama, akijibu hoja aliyopewa na Kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, aliyeomba Mwenyekiti wa Chadema Mbowe afutiwe kesi ya ugaidi inayomkabili.

Alijibu hoja hiyo kuwa kusamehe kupo, lakini Mbowe inabidi aheshimu sheria!

Nimejiuliza maswali kadhaa, hivi kumbe Rais Samia, ndiye aliyeamuru Mbowe akamatwe,na kufunguliwa mashitaka ya ugaidi, kwa madai ya kuwa anavunja sheria kwa kudai Katiba mpya?

Hivi ina maana gani kuwa kiongozi wa chama cha upinzani nchini?

Maana yake ni kukosoa yale yanayofanyika na serikali kwa nia ya kuliletea maendeleo makubwa zaidi nchi yetu.

Tumeshuhudia ushahidi ukitolewa kwa watuhumiwa wakidai kuwa maelezo yanayodaiwa kuwa waliyatoa wao Katika kituo cha Central, wakikana kuwa kamwe hawakuyatoa kwa hiyari yao, kwani waliteswa Sana na maelezo hayo yaliandikwa na mapolisi Katika kituo cha Mbweni na wao kulazimishwa kuyassini, ambapo ni kinyume cha Haki za mtuhumiwa.

Kwa namna Rais Samia, alivyoielezea Kesi hiyo, nimebaini kuwa hata kama Mbowe atatoka kwa msamaha wa Rais, itabidi aipiganie Katiba mpya kwa kasi zaidi na ari zaidi, kwa manufaa ya kizazi kijacho, kwa kuwa kwa mfumo uliopo sasa, ambao Katiba imempa mamlaka ya ki-mungu mtu, Rais wa nchi, ndiyo tatizo kubwa linafanya mfumo wa kiuongozi, umpe kiburi cha kupitiliza Rais wa nchi hii.
Kitu usichokijua ni bora unyamaze tu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kuna haja ya 2025 tujitafakari kama Taifa ili tuweze kuwa na kiongozi wa kutupeleka mbele badala ya mipasho!
 
Back
Top Bottom