Kudata kwao ndiyo utawakuta wamejazana tele katika Makanisa ya Mwamposa na Mwacha

Kudata kwao ndiyo utawakuta wamejazana tele katika Makanisa ya Mwamposa na Mwacha

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
VIKOBA, Utitiri wa madeni vimeelezwa kuwa chanzo cha ugonjwa wa afya ya akili nchini, huku wanawake wakitajwa kuwa wahanga wakubwa.

Hayo yamesemwa na Daktari bingwa wa Magonjwa ya akili kutoka Hospitali ya Mirembe mkoani Dodoma, Suluma Aslan akizungumza na Waandishi wa Habari leo Agosti 3, 2022
-
Suluma amesema takwimu zilizofanywa na Hospitali ya Mirembe mwanzoni mwa mwezi Julai 2021 zimebaini Tanzania kuna wagonjwa 6,000 hadi 7,000 huku katika kila nane wawili wana ugonjwa wa afya ya akili.
-
“Utafiti tuliofanya Mirembe unaonyesha wanawake ni wahanga wakubwa wa magonjwa ya akili na hii inasababishwa na msogno wa mawazo kutokana na madeni makubwa na vikundi vya vikoba,”amesema Aslan.
-
Amesema tafiti hzo pia zimeonyesha wanawake wanapata zaidi Sonona kuliko wanaume na hiyo inachangiwa pia.

Taarifa: habarileo_tz

Kazi ipo......!!!
 
Toka washindwa kuelewa maana na dhana sahihi ya ule mkutano wa Beijing wanawake wamekuwa watu wa mashindano ya kijinga na wanaume na yatawakuta mengi ni suala la muda tu 50/50,povu ruksa
 
Ni swala la muda issue itakuwa kubwa zaidi. Huu ulimwengu wa kutafuta pesa na kuhangaika na mali si ulimwengu wa kike. Ulimwengu huu uliumbwa kwaajiri ya mwanaume.

Tukiwaambia wanadhania sisi tunawaonea gere au hatutaki watafute kwasababu tunataka kuwatawala. Anyways wacha waisome namba wenyewe.

Nilikuwa nasoma andiko la utafiti ambalo lilihusisha mataifa ya US na UK.

Waliwahoji wanawake katika makundi tofauti,"housewives","wafanyakazi wa viwandani (vibarua)","professionals wa maofisini (9 to 5 jobs au white collar jobs", na "executive women kwenye position kubwa".

Matokeo ya tafiti walifanyiwa comparison na tafiti za nyuma za kisaikolojia za wanawake miaka 1960's huko.

Graph zilionyesha kutoka chini kwenda juu then ikaanza kushuka ila ikashuka zaidi sana kupita ilivyokuwa awali.

Tafsiri ya graphs zile ni kuwa wanawake wa sasa mbali na kuwa na economic freedom, careers, financial freedom, na kuwa nje ya ndoa, ila ikaonyesha walio ndani ya ndoa wana afadhali ukifananisha na waliopo single.

Na ikaonyesha waliopo katika maeneo ya kazi tabaka la kati na juu, wengi wao wanasumbuliwa na insomnia, na wanakuwa diagnosed na mojawapo ya matatizo ya kiakili ambayo huwafanya kuwa antisocial na kushindwa kusocialize na jamii ya kawaida isipokuwa tu makundi maalumu kama marafiki zao, au club maalumu kama strippers, gay clubs, women clubs etc.

So kuna tatizo kiukweli. Wazungu hawakuwa na nia nzuri na zile story zao za haki sawa kwa mataifa haya machanga kama Africa na Asia.

Ukitazama wamewavuruga sana watoto wa kike future halafu wanaachana nao. Umeona wapi kampeni zinazomhusu mwanamke above 50 years. Mwanamke akishafika umri huo kwao sio target group. Wao wanataka kuwavuruga mabinti.

Wasiolewe, wasizae ndani ya ndoa, wasiwe sawa kiafya na kiakili. Ila hili hakuna binti utamuelezea atakuelewa hadi afike 35 kwenda juu ndio mambo yanaanza kumake sense.
 
2 kati ya 8 wana matatizo ya afya ya akili

Aisee very interesting
 
Aise hili tatizo Ni kubwa Sana ..wanawake wanachanganyikiwa.
 
Back
Top Bottom