Kudate na wanafunzi wa vyuo vikuu ni sawa na kujivika baruti kwenye moyo wako

Kudate na wanafunzi wa vyuo vikuu ni sawa na kujivika baruti kwenye moyo wako

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Daah salamu zenu wadau.

Kuna hili balaa la kudate na mademu wq vyuo vikuu ni kama kujipaka upupu wa hiari na kujilipua nq baruti ya moyo.

Hawa viumbe kwanza nadhani hata hamu au hisia hawana inaonekana hizi meseji za Tiktok zimewaharibu.

Videmu vina wanaume kwa uchache saana watatu ila kwao kawaida kwanzia watano hadi 15 kawaida sana.

Naachana na hii milipuko nimekoma dadadadeki.

Ni hayo tu

Wadiz a.k.a Baharia
 
Ni ubatili na kujilisha upepo. Maana hakuna jipya chini ya jua kwa kuwa sio kila mwenye mbio ndio anashinda .
 
Hivyo vitoto ili ufaidi mbususu zao inatakiwa uwe una mda wa kuchezea na visenti kidogo vya kuhonga. Utavila sana ila vingi vina gono.
Akichoma sindano ya syphilis lazima anyooke sindano inauma kuliko jehanam
 
Back
Top Bottom