Kudate na wanafunzi wa vyuo vikuu ni sawa na kujivika baruti kwenye moyo wako

Kudate na wanafunzi wa vyuo vikuu ni sawa na kujivika baruti kwenye moyo wako

Naanzaje kuhama Dodoma, sema kunq kadent ka mzumbe hakapokei simu jana kametaka nije Moro niwe nako samaki samaki. Ngojq nivute subra, kama ntaingia tagged nicheki yoyote ya SUA
Andaa mabuti na ujiandae kwenda shamba kwa huyo wa SUA 😂.

Za Udom na mipango ushazimaliza?
 
Daah salamu zenu wadau.

Kuna hili balaa la kudate na mademu wq vyuo vikuu ni kama kujipaka upupu wa hiari na kujilipua nq baruti ya moyo.

Hawa viumbe kwanza nadhani hata hamu au hisia hawana inaonekana hizi meseji za Tiktok zimewaharibu.

Videmu vina wanaume kwa uchache saana watatu ila kwao kawaida kwanzia watano hadi 15 kawaida sana.

Naachana na hii milipuko nimekoma dadadadeki.

Ni hayo tu

Wadiz a.k.a Baharia
Jamaa ana kitu cha msingi naomba asipuuzwe
 
Hivyo ukipeleka Marry Brown, KFC au Century akapiga picha zake mbili tatu, ukitoka hapo unaenda kupewa utelezi.
 
Baadhi yao wanafanya biashara ya kujiuza tu yote sababu ya tamaa kutaka mambo mazuri haraka, upo under 30 demu anakuacha kisa huna pesa anaenda kwa lijamaa la 45+ hajui hata huyo jamaa alihitaji muda ili awe hapo
 
Ukitaka Kudate na mwanachuo date na 3rd year anayeelekea kuingia mtaani , hao wengi wanakuwa akili zishawakaa ,aisee usidanganywe Kudate na first year au second year ... Kama Una demu ndo anaingia chuo huyo mwache kabisa unless kama Una uwezo wa kumpachika mimba akiwa first year
 
Back
Top Bottom