Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Andaa mabuti na ujiandae kwenda shamba kwa huyo wa SUA 😂.Naanzaje kuhama Dodoma, sema kunq kadent ka mzumbe hakapokei simu jana kametaka nije Moro niwe nako samaki samaki. Ngojq nivute subra, kama ntaingia tagged nicheki yoyote ya SUA
Za Udom na mipango ushazimaliza?