Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
umeteleza
Sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeteleza
Google plzSielewi nisaidie surgery ya peacemaker hii huwa ikoje au inafanyiwa eneo lipi la mwili
Peacemaker ndiyo kibiriti chenyeweHio ndio aliyowekewa mtukufu wetu pamoja na kaberti?
Mgugu hizo ni dalili za uchochezi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hio ndio aliyowekewa mtukufu wetu pamoja na kaberti?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mbona mi thijamchochea yoyote jamani.Mgugu hizo ni dalili za uchochezi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chris mapafu yakijaa damu huwa wanawekewa cathetre ina drain damu taratibu, kama ni pulmonafy oedema.
Ubongo ni sehemu ya mwili ambayo inafanya kazi 24/7, ubongo ndio unaamrisha mwili upumue, uamke usingizini ili ukojoe ect. Ubongo unahitaji oxygen 24/7 , oxygen hii hupelekwa kwa damu safi inayotoka kwenye mapafu.Kwani Stroke huwa inafanya nini ?
Asante mkuuWanaita *hemothorax* - blood in the chest/lungs
Pnemothorax - air in the chest/lungs
Pulmonary oedema - fluid collection in the chest/lungs
Aina: Acute - ghafla; Chronic - ya muda mrefu (inayotokea taratibu)
Chanzo: Ugonjwa, madawa ama sumu, ajali, shambulio la kifua etc
Tiba: Acute ni medical emergency ambayo isipodhitiwa haraka uwezekano wa kupoteza maisha ni mkubwa. Mgonjwa anashindwa kupumua. Chronic - inatibiwa taratibu na madawa.
Angalizo: Bila kufahamu historia ya mgonjwa (kwa maana ya historia ya ugonjwa wenyewe) Ni vigumu kidogo kusema shida inayosababisha mauti. Wakati mwingine kinachosemwa kimeleta mauti ni secondary factor, primary ama precursor ya hizi secondary factors huwa zinaonekana baada ya review ya medical hx ama postmortem analysis ama vyote.
c.c Honey Money Penny
Yaani natamani betri ya ka karimoti ketu ka azam ikufe ili tukatupe na karimoti kenyewe, maana haka karimoti siku hizi hata hakaeleweki ukitaka kupunguza sauti kenyewe kanajiongeza yaani sasa hivi nyumba nzima wanakachukia haka karimoti.Peacemaker ndiyo kibiriti chenyewe
Bibi kwani unaundugu na dokta Ndodi? Maana unavyotiririka kwa ufasaha utafikiri umetoka kumeza kitabu cha baioloji cha fom tu.Ubongo ni sehemu ya mwili ambayo inafanya kazi 24/7, ubongo ndyo unaamrisha mwili upumue, uamke usingizini ili ukojoe ect. Ubongo unahitaji oxygen 24/7 , oxygen hii hupelekwa kwa damu safi inayotoka kwenye mapafu.
Stroke huzuia supply ya damu kwenda kwenye ubongo iwe kwa mirija ya damu kiziba au kupasuka.
Nimekopi kwa dr Ndondi 😂Bibi kwani unaundugu na dokta Ndodi? Maana unavyotiririka kwa ufasaha utafikiri umetoka kumeza kitabu cha baioloji cha fom tu.
😃 Hanashida huyo ni mtani wangu tunajuana kwa vilemba[emoji23][emoji23][emoji23] ndicho ulichokuwa unataka hiki bila shaka hii thread umeileta kumuingiza kingi daktari wetu [emoji23]
Kwaiyo mjomba mbwembwe zote na mikwara kibao kumbe nae anacho iko kidude pumbavu sanaAngalia Michoro hiyo. Ujue Binaadamu sio kitu mbele ya MwenyeziMungu.
Sky Eclat Ujue unapenda sana utani mtu akiwa serious unakuwa mtani, kwanza ww kabila gani si ajabu nachati na mtani wangu halafu ikawa kitu kingina eti
Kama kweli ni mpare nifungulie inbox nikawmbie kitu kama sio mpare usifungueItakuwa mpare mwenzio
Acha kamba wewe sema kama unataka TigoSky Eclat Ujue unapenda sana utani mtu akiwa serious unakuwa mtani, kwanza ww kabila gani si ajabu nachati na mtani wangu halafu ikawa kitu kingina eti