Kudondosha risiti ya huduma ya choo kumeniponza

Kudondosha risiti ya huduma ya choo kumeniponza

Wakuu habari za humu jukwaani
Leo wakati nikiwa safarini naenda maeneo Fulani huko tarime nilipita stand ya musoma niliingia chooni kutoka nikalipia nikapewa list ya sh mia tatu hatua mbili nikaindondosha ile list [emoji24] [emoji24] [emoji24] tatizo sio kudondosha list tatizo nikashikwa kwa kuchafua mazingira ya stand [emoji35] [emoji35] [emoji35] hawa wakurya jomoni kidogo waniue bure ilibidi niwabembeleze nikawapa 30000 kwa hiyo nimeenda chooni kwa 30300[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
0b0c9083d0ddf601cb5c3a32796ac60b.jpg
wale wadai picha, picha hiyo hapo

the great
WEWE NI HUYU ULIYEBEBA KIROBA?
 
Lakini naona kama Moshi inapoteza usafi wake wa zamani, sijui ni wageni wengi au wenyeji nao wameanza 'uswahili'. Moshi ya sasa si kama ya zamani kwa usafi
Mara ya mwisho kuja moshi ni lini mkuu!!?? cz mimi nipo huku right now na tokea nimefika leo ni siku ya 30 na sijakumbana hata na ganda la vocha hapa mjini hata kwa bahati mbaya.
 
Pole sana. Ila utunzaji mazingira ni wetu sote. Sio hapo tu hata sehemu nyingine jizoweshe kutunza uchafu wako mpaka utakapokutana na sehemu ya kutupa uchafu.
 
Mara ya mwisho kuja moshi ni lini mkuu!!?? cz mimi nipo huku right now na tokea nimefika leo ni siku ya 30 na sijakumbana hata na ganda la vocha hapa mjini hata kwa bahati mbaya.
Nimetoka huko Tar 14 August ya mwaka huu
 
Ndio nyumbani mkuu
Sasa Mangi, unaamini Moshi ilivyokuwa miaka ya '90 na kabla yake ni sawa na ilivyo sasa? Sijasema pamekuwa pachafu ila usafi wa Moshi wa zamani si sawa na sasa kataa kubali mkuu
 
Sasa Mangi, unaamini Moshi ilivyokuwa miaka ya '90 na kabla yake ni sawa na ilivyo sasa? Sijasema pamekuwa pachafu ila usafi wa Moshi wa zamani si sawa na sasa kataa kubali mkuu
Hujajibu maswali yangu bali naona unaongea mambo ya kusadikika. Anyway mchana mwema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom