Kudorora mapokezi ya Rais Samia kutoka Marekani Tatizo limeanzia hapa...

Hata kwenye msiba wake watu walisombwa na matela kama unavyodai?!!

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Ndivyo ilivyokuwa zile promo zilikuwa forced. Maiti ilitembezwa nchi nzima sijui walitaka kuprove nini. Wajinga wangine walienda kujazana huku wamekokota watoto wakafia kwenye msongamano
 
Ndivyo ilivyokuwa zile promo zilikuwa forced. Maiti ilitembezwa nchi nzima sijui walitaka kuprove nini. Wajinga wangine walienda kujazana huku wamekokota watoto wakafia kwenye msongamano
Mjinga ni wewe usiyetaka kuamini kuwa Jpm alikuwa kipenzi Cha watanzania, ule msiba ulikuwa ni ushahidi tosha.

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
Kumchukia kwenu raisi Samia,hakusaidii kupunguza shida zenu za maisha.
 
Hahahahahah kwa sababu imehutubiwa na chief wa kike πŸ˜…
Je kama angekuwa na mkutano wa faraga na Biden, si tungeambiwa tukalale uwanja wa ndege!!sasa JINSI, ndio imekuwa inshu kila kitu mama !!utadhania ndio wa kwanza duniani, na ndio amekuja kumaliza matatizo yetu ya zaidi ya nusu karne!!
 
Mabeberu walimtuma akazungumzie Corona tu
 
Kwan Kwanza hebu eleza unaposema watu was Mikoani hatukumwona Chifu Hangai au kumsikiliza akiwa UN unamaanishaa Nini!
Yaani hotuba muione na muisikilize nyie Waswahili wa Tandale,Manzese ,Mburahaati,Kigogo, ..kwa Kopa,Mnyamani, nk afu itushinde was Mikoani acha dharau bro mnacotuzidi Dar n Mwendokasi,ulaji wa Miguu ya kuku ...Kiel3imu tumewazidi.mbali sanaaana!
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Apokelewe kwani ni Mgeni au hajui anapoenda?. Wazee wetu walimchangia Nyerere alipoenda kuhutubia huko mambele na Dunia ikatisika SASA huyu kubwa aliyofanya ni kupiga picha na Mange.
Hii u- turn uliyopiga sio ya karne hii! Hata wewe mwanamke mwenzako unamsagia kunguni? Naamini Sasa kuwa sisiemu kwisha habari yake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…