Watu wenye mawazo ya pande moja huwa hawaelewi kabisa. Atoe mfano ni taifa gani lililofanya uchaguzi, alieshindwa akaridhika na kupongeza. Aje aseme, hizo ni kelele tu.nadhani umeamua kuchagua kutonielewa na ni vigumu sana kubadilishana mazungumzo na mtu ambaye tayari anaomsimamo wake.
Tuchukue tahadhari kubwa uwepo wa wakenya wanaojichimbia ndani ya chadema.Maana hata 2015 kuna wakenya walikamatwa wamejichimbia pamoja na wanachagadema wakitaka kuingilia uchaguzi wa TZHivi punde mahakama ya juu nchini Kenya imeridhia ombi la Muungano wa NASA kuwa uchaguzi ulivurugwa. Je tujifunze nini na tuboreshe nini kwenye njia za uhesabuji wa kura kwa njia ya kiteknolojia ya electronic ili kosa hili lisitokee ktk nchi nyingine zinazopigia upatu mfumo huu?
Sidhani, hii hukumu ya mahakama ya juu kabisa ambayo ndyo tamko la mwisho lishatoka na hakuna pa kwendaJee hakuna uwezekano wa Uhuru Kenyatta kukata rufaa ??
Sasa nini kifanyike kuzuia udukuzi huoMfumo wa electronic upo vizur sana tatizo ni pale wadukuzi wanapoingilia mawasiliano hayo.
Nafikiri suluhisho la tatizo hili ni tume ya uchaguzi kuwa huru tuu,isiingiliwe na mamlaka yoyote.Sasa nini kifanyike kuzuia udukuzi huo
Kenyata alijua kuwa daima atashinda!.ila ameumbukaHivi punde mahakama ya juu nchini Kenya imeridhia ombi la Muungano wa NASA kuwa uchaguzi ulivurugwa. Je tujifunze nini na tuboreshe nini kwenye njia za uhesabuji wa kura kwa njia ya kiteknolojia ya electronic ili kosa hili lisitokee ktk nchi nyingine zinazopigia upatu mfumo huu?
Uamuzi wa Supreme Court Ni wa MwishoJee hakuna uwezekano wa Uhuru Kenyatta kukata rufaa ??
Jee hakuna uwezekano wa Uhuru Kenyatta kukata rufaa ??