Genius Man
JF-Expert Member
- Apr 7, 2024
- 1,012
- 2,317
Nimesikia baadhi ya waislam wenye uelewa finyu wanapangia watu wengine wasile hadharani kwenye mfungo wao kwanini wao ndio wasifunge hadharani.
Mtu mwenye akili ndogo anazani kufunga kuna husiana na masuala ya chakula tu na ubwabwa inasikitisha sana kwa mtu kuwa na uelewa mdogo hivi.
Mtu mwenye akili timamu sizani kama anaona linaeleweka kwamba kufunga afunge mwengine alafu masharti huje kumuwekea mwengine ambaye sio mfuasi wa imani yako ni kuingilia uhuru wa wengine na sio sawa badilikeni hata lini mtakuwa na uelewa mdogo hivi wa akili.
Mtu mwenye akili ndogo anazani kufunga kuna husiana na masuala ya chakula tu na ubwabwa inasikitisha sana kwa mtu kuwa na uelewa mdogo hivi.
Mtu mwenye akili timamu sizani kama anaona linaeleweka kwamba kufunga afunge mwengine alafu masharti huje kumuwekea mwengine ambaye sio mfuasi wa imani yako ni kuingilia uhuru wa wengine na sio sawa badilikeni hata lini mtakuwa na uelewa mdogo hivi wa akili.