Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #41
Sawa bro.Muhubiri 7: 1
Jina ni bora kuliko mafuta mazuri, na siku ya kufa kuliko siku ya kuzaliwa kwa mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa bro.Muhubiri 7: 1
Jina ni bora kuliko mafuta mazuri, na siku ya kufa kuliko siku ya kuzaliwa kwa mtu
Sawa mkuuHe was nobody to somebody
Yes mkuuJKN teacher
Kwahiyo Zanzibar inatawaliwa na M bara?Mwinyi ,Kisarawe mkoa wa Pwani.
Ulitakiwa kusema "mtu wa bara" na sio M baraKwahiyo Zanzibar inatawaliwa na M bara?
Kumbuka hakuna kufa bila kuzaliwa kwanzaUkiwa hai utasheherekewa siku yako ya kuzaliwa... Ukishakufa, unakumbukwa kwa siku yako ya kufa...
Cc: mahondaw
Si unasemaga wewe ni mmarekani? Sasa utakuwaje mmarekani kisha ukajifananisha na North Korea?Tunaenda kivyetuvyetu kama North Korea.
Mimi Mmarekani. Sivutiwi na soka.
Niliiacha old world huko.
Waaaapi wewe acha zakoTunaenda kivyetuvyetu kama North Korea.
Utanipa zako?Waaaapi wewe acha zako
Una hela wewe?Utanipa zako?
Kumbe unauza?Una hela wewe?
Ndio ninauza? Unaitaka? Taaamu hiyo hatareeeKumbe unauza?
Itume tuioneNdio ninauza? Unaitaka? Taaamu hiyo hatareee
Nakuja PMItume tuione
Nina matatizo ya kifalsafa katika kununua ulichopewa bure.Ndio ninauza? Unaitaka? Taaamu hiyo hatareee
Wenye hela zao wanafaidi sio kama wewe bahiliNina matatizo ya kifalsafa katika kununua ulichopewa bure.
Nimetoka kusaidia watoto yatima jana na kuna watu wako hapahapa nimewaanzishia biashara nzuri tu.Wenye hela zao wanafaidi sio kama wewe bahili