Elections 2015 Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...

Elections 2015 Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...

Mkuu rodrick alexander , hii dhana ya kudhani adui mkubwa wa Chadema ni CCM, is a wrong concept!.
Ukienda vitani, kama hunjui adui yako, Huwezi kushinda vita maana hujui umlenge Nani.

Enzi za bandiko hili, website ya CCM ilionyesha CCM ina wanachama milioni 6. Watu walijiandikisha kupiga kura ni watu milioni 20, wakiwemo wale milioni 6 wa CCM. Watu waliojitokeza kupiga kura ni watu milioni 8. Mshindi anashinda kwa kura milioni 5!. Kuna watu milioni 12 ambao walijiandikisha kupiga kura na hawakujitokeza. Adui yenu mkubwa sio wale watu milioni 5 walioichagua CCM, kati ya wanachama wake milioni 6, bali ni wale milioni 12 ambao hawajui thamani ya kura Yao!. Chadema needs to invest in people, mass mobilization and reaching out strategies kuwafikia wale milioni 12. Hao ndio ilikuwa wawe targeted, na 2015 ilikuwa Chadema waingie Ikulu. Adui wa Chadema aliyeikosesha Chadema Ikulu sio CCM, ni ...

Mfano sasa kwa haya madudu na maroroso yanayoendekea ndani ya Chadema, kuna chama cha kuipa ikulu yetu.
P
inawezekana neno adui si sahihi nachomaanisha ccm ndio wenye maamuzi ya mwisho wanajidanganya kuwa samia anaweza kuwapa tume huru au katiba mpya hicho hakiwezekani kwa sababu ccm hawataki kutoka madarakani.
Chadema sio tu wanahitaji kumobilize watu bali pia wanahitaji kuwapa mafunzo ya itikadi ya chama chao ili wajitambue kama sehemu ya chama na sio sehemu ya mtu ndani ya chama.
Pia wanatakiwa waandae watu wao kwa ajili ya uchaguzi unaokuja na sio kusubiri wagombea walioshindwa ccm kwenye kura za maoni.
 
Wanabodi,

Katika thread moja humu jukwaani, nimekutana na mchango wa mwana jf huyu



Kutokana na kauli hiyo, nimekuwa inspired kuandika kidogo kuhusu adui mkuu wa Tanzania wengi wakidhani ni CCM, kumbe sio, bali adui mkuu wa Watanzania ni huyu nimtajae hapa chini na headline imejielekeza kwa Chadema, simply because ndicho chama pekee cha upinzani huku bara, chenye kuonyesha mwelekeo wa matumaini ya uwezekano wa kulipatia taifa letu la Tanzania, ule ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania!.

Mkuu Jogi, japo umeniomba "Nikubaalie japo mara hii tu kuwa, tatizo linalotumaliza ni zimwi CCM". Samahani sana, sikukubalii, kwa maoni yangu, japo ni kweli CCM ni zimwi, adui sio zimwi, bali wale wanaolifuga hili zimwi na kulipa chakula ili liendelee kuishi!.

1. Tatizo kubwa la Watanzania au adui mkubwa wa Tanzania sio CCM, CCM is just the vehicle, haikujiweka hapo ilipo, imewekwa, hivyo tatizo sio CCM iliyowekwa, bali tatizo ni wale walioiweka CCM hapo ilipo!. That simply means, tatizo ni sisi Watanzania tulioiweka CCM madarakani and it plays games on us again and again na sisi tukiendelea kuiweka madarakani again and again and again na sitashangaa kama hata 2015, tukairudisha tena CCM ikulu ya Magogoni!.

2. Hii dhana ya kudhania adui mkubwa wa Tanzania ni CCM, is a wrong concept, na hili ndilo kosa kubwa la wapinzani, wakiwemo Chadema, katika chaguzi zote za nyuma wapinzani wanaelekeza nguvu nyingi concentration kubwa ya mashambulizi yote kwa CCM wakibeza tuu CCM haikufanya hiki au kile, huku wakijihesabu CCM ndie adui yao mkubwa, hivyo ku miss the real target ya adui halisi ni nani!. Adui sio CCM, adui ni watu wanaoiweka CCM hapo ilipo.

5. CUF baada ya kujaribu mara 3 ikashindwa, ikaamua kutumia principle ya "if you can't beat them, join them", kwa mara ya 4 katika uchaguzi wa 2010, ikakubali yaishe, ikawajoin ndani ya SUK katika ndoa ya kukubali kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM, at the same time, its fighting from within, and it is expected to be hitting them very hard from within, kwa mtindo wa "kikulacho" na kikundi cha "uamsho" ni matokeo chanya ya kipigo hicho kwa serikali ya SUK from within, hivyo kwa 2015 upande wa Zanzibar CUF ni njia nyeupe!.

6. Kwa sasa, angalau Chadema, kupitia M4C, imeshagundua adui halisi anayewakosesha ushindi, na sasa imejielekeza kwa wananchi ambao ndio wenye maamuzi ya mwisho na wamekuwa wakiichagua CCM kwa mazoea tuu, hivyo concentration ikiwekwa kwenye "changing the mindset ya wenye maamuzi, kuacha kuchagua kwa mazoea tuu, bali kuchagua kwa sababu. Wananchi, watafunguka macho, na hawatakuwa na sababu tena ya kuendelea kuichagua CCM!.

7. Ili hili liwezekane, wapinzani wasiwe ni watu wa kulalamika na kulaumu tuu kuhusu CCM, bali sasa wajikite kueleza where CCM does wrong, lakini wao wakiingia, watafanya nini tofauti na CCM, na kitabadilisha nini, ili wale wanaoichagua CCM kwa mazoea tuu, wapate sababu za msingi za kutoichagua CCM na kuwachagua wapinzani.

8. Mara baada ya uchaguzi wa 2010 na mafanikio makubwa upande wa Chadema, kwenye ile mada yangu ya "CCM Imechokwa, Chadema Haijajipanga", niliwaeleza kuwa wapinzani bado wako kiuana harakati zaidi, bado hawajipanga mkao wa kushika dola, lakini kwa kwa sasa kupitia M4C, Chadema wanaonyesha dalili za kujipanga japo bado wanakabiliwa na madhaifu haya na yale, yakiwemo, lile koti la ukanda, udini, ukabila na ubinafsi wa "umimi" etc.

9. Kwa leo naomba nisiingie tena kwenye udini, ukanda na ukabila wa Chadema, bali naomba nijikite kwenye ubinafsi au "umimi" kwa Chadema kujiamini kupita kiasi kuwa peke yao wataweza!, nilisema peke yao hawawezi, na leo nasema te na na tena, "Chadema peke yenu hamuwezi Kuiondoa CCM Madarakani" kwa sababu hili CCM ni dubwana kubwa sana ambalo haliwezi kung'oka bila umoja ambao ni nguvu ya Watanzania wote wenye kuliutakia mema taifa hili.

10. Kabla ya kauli ya majuzi ya Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Pinda kule bungeni, nilikuwa najua ma RC na ma DC ni watendaji wakuu wa serikali mikoani na wilayani baada ya kutenganisha zile kofia mbili za chama kushika hatamu za kuiongoza serikali, kumbe wamevua tuu hizo kofia na kutovaa sare, lakini kiutendaji kumbe wako pale kuhakikisha CCM inatawala milele!, hivyo bila joint foces, hakuna jinsi ya kuipumzisha CCM na ni kweli itatawala milele!.

11. Chadema na wapinzani wengine wote wa ukweli, ni lazima wa join forces kutafuta the common working grounds na wenzenu wengine wote mu work together towards a common enemy hata na nyinyi wenyewe kwa wenyewe lazima mkubali kushirikiana kwa kukubali kutokubaliana kwa hayo madogo madogo lakini lazima mkubaliane kwenye kubwa la msingi kwa kukubali "umoja ni nguvu" vinginevyo matokeo ya 2015 yatakuwa ni yale yale ya, vyama vile vile, na watu wale wale!.

12. Mfano, japo CUF ni mke wa CCM kwa upande wa Zanzibar, hiyo ni "marriage of convinience", hivyo inavunjika wakati wowote "conveniences" zikimalizika, hivyo Chadema inacho kibarua kigumu cha kum..ngoza huyu mke wa mtu kwa kumhakikishia akikubali kutoka nje ya ndoa, yeye sasa hatakuwa mke tena, bali atageuka mume na 2015 ni yeye sasa ndie atageuka kidume na kumuoa huyo mume aliyenae sasa kwa sababu mume huyo ategeuzwa mke!.

13. Hakuna ubishi kuhusu nguvu ya CUF kule Zanzibar na Chadema itake isitake, ipende isipende, ili kujihakikishia njia nyeupe ya kuwa mpangaji wa magogoni kwa 2015, ni lazima ikubali kuisupport ya CUF kwa upande Zanzibar ili CUF nao wakubali kuisupport Chadema huku bara!. Chadema wakae chini na CUF, waainishe maeneo ya strong holds za kila mmoja na kuachiana maeneo hayo ili 2015, kuepuka kumfaidisha kunguru kwa vita vya panzi!.

14. Voting statistics


Tanzania: 2010 Presidential election results
Updated January 2010

The United Republic of Tanzania elections for parliament and the presidency were held on 31 October 2010.


Voting statistics
Registered Voters 20 137 303
Total votes 8 626 283
% Turnout 42.84
Valid votes 8 398 394
Spoilt votes 227 889
% Spoilt votes 2.64

Table source
Commonwealth 2010, 31.

Results
Candidate Party Votes % Vote
Jakaya Kikwete Chama Cha Mapinduzi (CCM) 5 276 827 62.83
WP Slaa Chama Cha Demokiasia na Maendeleo (CHADEMA) 2 271 941 27.05
Ibrahim Lipumba Civic United Front (CUF) 695 667 8.28
Peter Mziray Kuga Progressive Party of Tanzania (PPT-MAENDELEO) 96 933 1.15
Rungwe Hashim Spunda National Convention for Construction and Reform (NCCR-Mageuzi) 26 388 0.31
Muttamwega Bhatt Mgaywa Tanzania Labour Party (TLP) 17 462 0.21
Yahmi Nassoro Dovutwa United People's Democratic Party (UPDP) 13 176 0.16
Total
8 398 394 99.99

Table source
Commonwealth 2010, 31.

References
COMMONWEALTH 2010 Report of the Commonwealth Observer Group: Tanzania General Elections 31 October 2010.

15. Kwa mujibu wa data hizo, JK amechaguliwa kura milioni 5 tuu kati ya watu milioni 40!. Waliojiandikisha ni milioni 20, lakini waliopiga kura ni milioni 8 tuu!, hii inamaanisha kuna watu milioni 12, ambao walijiandikisha lakini hawakupiga kura kwa sababu mbalimbali, ikiwemo wale waliokata tamaa na kuona kupiga kura ni wastage of time, hata upige vipi kura, matokeo ni yale yale lazima CCM ishinde, hivyo kuliko kupoteza muda wakaachana kabisa na kupiga kura!

16. Suppose 2015, Watanzania tutakuwa Milioni 50 wenye sifa za kupiga kura ni milioni 35, hawa wote wakihamasishwa kujiandikisha na kujitokeza kupiga kura, mgombea wa CCM atajipatia kura zao zile milioni 6 za wanachama wao kwa mujibu wa tovuti ya CCM, halafu hizo kura milioni 29 zimuangukie mgombea wa upinzani, hata NEC ya CCM, wachakachue vipi, there will be no way out!, hivyo adui yetu mkubwa sio CCM, bali ni Watanzania wanaipigia kura CCM!.

17. Sasa ili kuwafikia Watanzania wote na kuwaamsha waliolala, Chadema haiwezi kuwafikia Watanzania wote kwa kutegemea mikutano ya hadhara na mass media za wengine. Chadema lazima wawe na mass media yake ambayo ita propagate the message of changing the mindset ya Watanzania. Chadema wana all the resource kumiliki media yake lakini very unfortunately they are myopic, hawana vision ya kuona mbali kuangalia nje ya box and see a bigger picture. Hawajui kupanga priorities zao. Bei ya gari moja tuu la M4C linatosha kununua transmitter ya Digital ya redio na TV. Chadema bila media yake, ni kutwanga maji kwenye kinu, CCM ina media yake na TV yake TBCCM, radio zake na magazeti yake, Chadema bila media yake, ikulu wataendelea kuisikia tuu kwenye bomba, 2015 ni CCM tena! .

Wasalaam.

Paskali


NB. Paskali, sasa ni mwanachama, mfuasi na mshabiki wa chama fulani cha siasa, in fact ni kada!. Lakini ni kada Mzalendo mwenye kutanguliza mbele utaifa na maslahi ya taifa ndio maana licha ya kuwa kada wa chama kingine bado anawashauri vyama vingine the right thing to do.
Na mimi nasisitiza...ukiwa na akili timamu huwezi kuishabikia CCM, full stop. Eti deep thinking! Deep thinking na UCCM ni kama mwanga na giza.

Adui mkubwa wa taifa hili ni CCM na hadi siku Watanzania watakapozinduka na kulielewa hilo, taifa la Tanzania halitafanikiwa lolote chini ya hilo genge, CCM.

Vitisho havisaidii kitu, vitisho havitakuondoa kwenye tope la ujinga na vitisho vinazidi tu kukuanika tu usivyo na akili na kwa CCM hiyo ni sifa ya kutwaa uongozi!
Mkuu Mag3, with due respect, wewe ni GT humu, you can't be missing the point hivi kudhani adui mkubwa wa taifa hili ni CCM, CCM haikujiweka yenyewe imewekwa!. CCM haijichagui yenyewe, inachaguliwa hivyo adui mkubwa sio kilichowekwa bali aliyekiweka!. Adui mkubwa sio CCM kilichochaguliwa bali yule aliyekichagua!.
Karibu pande hizi umjue adui yenu halisi ni nani
P
 
Wanabodi,

17. Sasa ili kuwafikia Watanzania wote na kuwaamsha waliolala, Chadema haiwezi kuwafikia Watanzania wote kwa kutegemea mikutano ya hadhara na mass media za wengine. Chadema lazima wawe na mass media yake ambayo ita propagate the message of changing the mindset ya Watanzania. Chadema wana all the resource kumiliki media yake lakini very unfortunately they are myopic, hawana vision ya kuona mbali kuangalia nje ya box and see a bigger picture. Hawajui kupanga priorities zao. Bei ya gari moja tuu la M4C linatosha kununua transmitter ya Digital ya redio na TV. Chadema bila media yake, ni kutwanga maji kwenye kinu, CCM ina media yake na TV yake TBCCM, radio zake na magazeti yake, Chadema bila media yake, ikulu wataendelea kuisikia tuu kwenye bomba, 2015 ni CCM tena! .

Wasalaam.

Paskali
Siku zinakwenda, mambo mengi yanabadilika, watanzania wanabadilika lakini hatari ni kwamba mifumo na miongozo ya vyama vingi vya siasa inabaki ileile ya kufanya mambo kwa mazoea.
Mkuu mama D , naunga mkono hoja, umeshauri jambo kubwa sana la msingi.
Hivi, viongozi wa vyama vya siasa pinzani mlishawahi kujiuliza ni nini kipya mnaweza ambia wananchi au kufanya ili kuongeza thamani ya vyama vyenu huku mitaani? Mlishawahi kufanya tafiti kujua ni vitu gani wananchi wakipata watakua loyal kiasi cha kusimama kidedea na kuwalinda viongozi wao kwa hali na gharama yoyote na kuhakikisha msukumo wa kushinda uchaguzi unatoka kwao na sio kwenu?
Naunga mkono hoja, they have to come with something new
Badala ya kutenga budget ya kwenda kutembea na kuwapa wananchi maneno matupu huko majimboni ili mjinufaishe nyie na familia zenu kwa hizo per diem, nufaikeni kidogo na wananchi mnaowatembelea wanaufaike kidogo. Mkono mtupu haulambwi. Watanzania wala hawataki mambo makuuuubwa, wnataka mambo madogomadogo yenye muendelezo
Naunga mkono hoja, kahutubieni lakini jengeni local capacity ili hayo mnayohubiri yawe na muendelezo, sustainable, hivyo hata excuse ni umasikini wa chama, tugawane tuu hivyo hivyo huo umasikini, ruzuku ya Chadema ni zaidi ya TZS 100m monthy, then tugawane umasikini!.
Msikurupuke makaendelea kufanya vitu vilivyokwishafanyika, sera zenu zinaweza kuwa nzuri sana ila sasa wekeni mipango itakayowapa wananchi imani kwamba sera zenu zinatekelezeka either kwa kuwashirikisha kwa vitendo au kuwapa connections muhimu au miongozo itakayogusa maisha yao.
Hii inaitwa SMART politics ni hoja zinazotekelezeka, with smart objectives.
Hakuna nchi nyepesi kuongoza na ngumu kuongoza kama Tanzania, ila kizuri na rahisi ni kwamba wepesi wa kuwaongoza watanzania unatokana na mahusiano ya kidugu mtakayokuwa mmeyajenga .
Hili neno!.
Msikurupuke mkawageza chama tawala CCM. Wenzangu hawa wana pa kusimamia tena sio padogo.... hawa wana cha kusemea sababu ndio wenye serikali na ndio watekelezaji wa mipango ya serikali.
Hili ni somo kubwa sana kwa wapinzani, CCM sio wenzao, CCM ndio wenye nchi na ukifika wakati wa uchaguzi, CCM wana cha kuonyesha, hili nililisema ile 2020 Oktoba 28 ni mashindano kati ya Reality vs Ahadi Hewa? Je, Watanzania watachagua nini kati ya visible, tangible Deliverables vs The Empty Promises? halafu huyu mtu mwenye empty promises asiye na chochote cha kuonyesha, anashindwa, anawahamasisha wafuasi wake kuwa alishinda akaibiwa ushindi!, hivyo hawakubali matokeo, hawamtambui rais, hawalitambui Bunge, hawapeleki majina ya viti maalum!. Mashujaa 19 wakagomea ujinga huu, majina yakapelekwa. Ikawa taabu!
Ingieni gharama kujenga vyama vyenu leo na baadae vyama hivi vitawajenga ninyi.
Ushauri huu niliwapa ile 2010 kwenye CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga! niliwashauri

Hakuna ubishi, Chadema imenyanyuka, toka wabunge 5 mpaka 22 wa kuchaguliwa tena majimbo ya haja yenye impact ikiwemo kuyashika majiji makubwa katika mikoa the big five!, huku sio kukua bali ni kupaa, tatizo kubwa la Chadema, bado hawajipanga mkao wa kichama tawala, ili kikabidhiwe nchi, kitawale, Chadema bado kimekaa kichama harakati, hivyo kuna wengi wanakiona kama bado hakijakomaa kiasi cha kukabidhiwa ikulu yetu!.

Kichama, wanachadema mkubali msikubali, chama chenu kwa sasa japo kipo juu, lakini bado hamjakomaa kufikia kiwango cha kukabidhiwa nchi, bado mko kiuana harakati zaidi kuliko ki chama tawala, na hamjajipanga kwa sura ya kitaifa na utayari wa kutawala nchi.

Kwa vile CCM imechokwa na imekaa mkao wa kifo, hii ndio opportunity yenu Chadema kuongeza offensive ili kuisindikiza CCM kaburini, kwa kujipanga kimkakati ili muwe na sura ya kitaifa, kwa kuonyesha Watanzania kuwa mmekomaa na mko tayari kutawala, hivyo Watanzania watawamini watawakabidhi nchi mwaka 2015.

Sehemu muhimu kabisa kwa Chadema to keep watch kuhakikisha hamuiachii ni hiyo Kanda ya Ziwa ambayo imeipokonya CCM na kuishika, hii ndio Kanda determinant ya nani anakuwa rais wa nchi hii. Aliyeishika Kanda ya Ziwa ndio rais wa Tanzania. Hivyo CCM imeumia sana kupoteza Kanda ya Ziwa na wataelekeza all it might powers to reclaim what it has lost, hivyo Chadema itumie uwezo wake wote kulinda what it has!.

Kwa upande wa Chadema, lazima kibadilike, first and foremost, anzeni na Mwenyekiti wenu Freeman Mbowe, he should go!. Ajiuzulu uenyekiti, ampishe more able person kama Dr. Slaa kwenye usukani wa chama, Katibu Mkuu mpeni Zitto strategically, hii itaifuta ile dhana ya nepotisim kwenye chama chenu, na kulivua lile koti la ukanda na ukabila ili walioichoka CCM wawafungulie mikono kwa kujitokeza kwa wingi kuwapigia kura 2015 kwa kujionyesha Chadema ni chama cha wote, dini zote na kanda zote.

Kupumzishwa kwa Freeman Mbowe sio kuwa hafai no, anafaa sana lakini kwa background yake na nature ya kazi zake, as a businessman, hapo alipoifikisha Chadema amaishafanya kazi kubwa na kufikia mwisho wa uwezo wake. Kwa background yake ya a former DJ na sasa ni mfanyabiashara, focus ya wafanyabiashara kote dunia nzima ni maximisation of profits, hivyo Mbowe atahitaji ruzuku ya Chadema itumike kuivest kwenye assets, kwenye vitu vya kuonekanika yaani assets kama magari, mavazi, etc

Ili Chadema kiweze kushika nchi 2015, it has to invest on people na sio ku invest kwenye vitu. Chadema must invest kwenye mass mobilisation na sio kutegemea mikutano ya hadhara na maandamano. Chadema needs to have able people kuiwezesha kushika dola five years to come kwa kutumia reaching out mechanism kuwafikia the mases kwa kumiliki media yake yenyewe. Chadema lazima ifanye recruitment ya able people, watakaokuja kuendesha serikali ya Chadema. Mbowe hawezi kukubali ruzuku ya Chadema itumike to invest on people, it's a loss making venture kwa mfanyabiashara na kuivest kwenye mass media sio profitable investment kwa business man ambaye ni in for profit making. Dr.Slaa na Zitto sio wafanyabiashara hawa ni ma technocrats. Chama kishikwe na wanasiasa watendaji sio wanasiasa wafanyabiashara. Chadema iwekeze kwenye watu na kupanua mtandao wake hadi vijijini, ili kwenda kuiongoa CCM kuanzia kule chini kabisa kwenye mizizi yake ambako ni kule kwenye mashina. Chadema imiliki media yake yenyeshe for mass mobilization na sio kutegemea mikutano na maandamano, huko ni kuendeleza uanaharakati, Chadema inatakiwa kukaa mkao wa kutawala, ikitangaza kitu, kinafika Tanzania nzima!.
Paskali
Halafu msilalamike kwamba hamna pesa ya kufanya mambo ya msingi sababu hata hayati Mwalimu Nyerere na Karume hawakuwa na pesa lakini walieweza kujenga vyama imara vilivyowaondoa wakoloni na vinavyowasumbua wapinzani hadi leo
Hili neno!
Kama kweli mko kwaajili ya maendeleo ya taifa Amkeni ndugu zangu. Mkiendelea kufanya kilekile kinachowakoseshaga kila uchaguzi mtaendelea kukosa ushindi milele.
Hili neno!
Rais wetu na mwenyekiti wa chama tawala ameshawaambia msisubirie msisubirie 2025 anzeni sasa. Mkumbuke pia na yeye ameshaanza kutetea kiti

Upinzani kwa afya ya taifa💥

Mungu ibariki Tanzania😍🇹🇿🤝
Naunga mkono hoja, Chadema wana mtindo wa kupuuza ushauri!, labda sasa watakusikia na kuzingatia ushauri
Hongera sana kuwashauri wapinzani.
P
 
Mkuu mama D , naunga mkono hoja, umeshauri jambo kubwa sana la msingi.

Naunga mkono hoja, they have to come with something new

Naunga mkono hoja, kahutubieni lakini jengeni local capacity ili hayo mnayohubiri yawe na muendelezo, sustainable, hivyo hata excuse ni umasikini wa chama, tugawane tuu hivyo hivyo huo umasikini, ruzuku ya Chadema ni zaidi ya TZS 100m monthy, then tugawane umasikini!.

Hii inaitwa SMART politics ni hoja zinazotekelezeka, with smart objectives.

Hili neno!.

Hili ni somo kubwa sana kwa wapinzani, CCM sio wenzao, CCM ndio wenye nchi na ukifika wakati wa uchaguzi, CCM wana cha kuonyesha, hili nililisema ile 2020 Oktoba 28 ni mashindano kati ya Reality vs Ahadi Hewa? Je, Watanzania watachagua nini kati ya visible, tangible Deliverables vs The Empty Promises? halafu huyu mtu mwenye empty promises asiye na chochote cha kuonyesha, anashindwa, anawahamasisha wafuasi wake kuwa alishinda akaibiwa ushindi!, hivyo hawakubali matokeo, hawamtambui rais, hawalitambui Bunge, hawapeleki majina ya viti maalum!. Mashujaa 19 wakagomea ujinga huu, majina yakapelekwa. Ikawa taabu!

Ushauri huu niliwapa ile 2010 kwenye CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga! niliwashauri



Hili neno!

Hili neno!

Naunga mkono hoja, Chadema wana mtindo wa kupuuza ushauri!, labda sasa watakusikia na kuzingatia ushauri
Hongera sana kuwashauri wapinzani.
P


Tumekuelewa pascal Mayalla💯✔✅✔✅

Wahusika hawataki kutoka jasho kujenga vyama vyao.

Hawajui CCM ilijengwa kwenye misingi imara kiasi kwamba huwezi kuipindua kwa mipango yao hii ya zimamoto
 
1. Tatizo kubwa la Watanzania au adui mkubwa wa Tanzania sio CCM, CCM is just the vehicle, haikujiweka hapo ilipo, imewekwa, hivyo tatizo sio CCM iliyowekwa, bali tatizo ni wale walioiweka CCM hapo ilipo!. That simply means, tatizo ni sisi Watanzania tulioiweka CCM madarakani and it plays games on us again and again na sisi tukiendelea kuiweka madarakani again and again and again na sitashangaa kama hata 2015, tukairudisha tena CCM ikulu ya Magogoni!.

2. Hii dhana ya kudhania adui mkubwa wa Tanzania ni CCM, is a wrong concept, na hili ndilo kosa kubwa la wapinzani, wakiwemo Chadema, katika chaguzi zote za nyuma wapinzani wanaelekeza nguvu nyingi concentration kubwa ya mashambulizi yote kwa CCM wakibeza tuu CCM haikufanya hiki au kile, huku wakijihesabu CCM ndie adui yao mkubwa, hivyo ku miss the real target ya adui halisi ni nani!. Adui sio CCM, adui ni watu wanaoiweka CCM hapo ilipo.

7. Ili hili liwezekane, wapinzani wasiwe ni watu wa kulalamika na kulaumu tuu kuhusu CCM, bali sasa wajikite kueleza where CCM does wrong, lakini wao wakiingia, watafanya nini tofauti na CCM, na kitabadilisha nini, ili wale wanaoichagua CCM kwa mazoea tuu, wapate sababu za msingi za kutoichagua CCM na kuwachagua wapinzani.

9. Kwa leo naomba nisiingie tena kwenye udini, ukanda na ukabila wa Chadema, bali naomba nijikite kwenye ubinafsi au "umimi" kwa Chadema kujiamini kupita kiasi kuwa peke yao wataweza!, nilisema peke yao hawawezi, na leo nasema te na na tena, "Chadema peke yenu hamuwezi Kuiondoa CCM Madarakani" kwa sababu hili CCM ni dubwana kubwa sana ambalo haliwezi kung'oka bila umoja ambao ni nguvu ya Watanzania wote wenye kuliutakia mema taifa hili.

11. Chadema na wapinzani wengine wote wa ukweli, ni lazima wa join forces kutafuta the common working grounds na wenzenu wengine wote mu work together towards a common enemy hata na nyinyi wenyewe kwa wenyewe lazima mkubali kushirikiana kwa kukubali kutokubaliana kwa hayo madogo madogo lakini lazima mkubaliane kwenye kubwa la msingi kwa kukubali "umoja ni nguvu" vinginevyo matokeo ya 2015 yatakuwa ni yale yale ya, vyama vile vile, na watu wale wale!.

13. Hakuna ubishi kuhusu nguvu ya CUF kule Zanzibar na Chadema itake isitake, ipende isipende, ili kujihakikishia njia nyeupe ya kuwa mpangaji wa magogoni kwa 2015, ni lazima ikubali kuisupport ya CUF kwa upande Zanzibar ili CUF nao wakubali kuisupport Chadema huku bara!. Chadema wakae chini na CUF, waainishe maeneo ya strong holds za kila mmoja na kuachiana maeneo hayo ili 2015, kuepuka kumfaidisha kunguru kwa vita vya panzi!.

17. Sasa ili kuwafikia Watanzania wote na kuwaamsha waliolala, Chadema haiwezi kuwafikia Watanzania wote kwa kutegemea mikutano ya hadhara na mass media za wengine. Chadema lazima wawe na mass media yake ambayo ita propagate the message of changing the mindset ya Watanzania. Chadema wana all the resource kumiliki media yake lakini very unfortunately they are myopic, hawana vision ya kuona mbali kuangalia nje ya box and see a bigger picture. Hawajui kupanga priorities zao. Bei ya gari moja tuu la M4C linatosha kununua transmitter ya Digital ya redio na TV. Chadema bila media yake, ni kutwanga maji kwenye kinu, CCM ina media yake na TV yake TBCCM, radio zake na magazeti yake, Chadema bila media yake, ikulu wataendelea kuisikia tuu kwenye bomba, 2015 ni CCM tena! .

Wasalaam.

Paskali
Kama Chadema wangefuata ushauri huu, saa hizi zamani wangekuwa wako Ikulu ya Magogoni!.
You’re not honest my friend. Anyone can clearly see that you’re on a one track mission to bring CHADEMA down on its knees before the might of the state. For exactly what gratification OR how many “pieces of silver”? That remains to be seen.
Mkuu Drifter, honest and genuineness ya mtu inakaa ndani yake, ila pia ni kama ilivyo justice, must not only be done, but must be seen to be done!.

Ushauri honest and bonafide genuine must be seen with naked eyes.
Kama mtu anaye toa ushauri kama huu, unauona ni ushauri wa ki Yuda Eskariote na kuniulizia how many “pieces of silver”?, then naomba niheshimu mawazo yako kwasababu watu hatufanani, and we don't think the same!.

P
 
Wanabodi,
.
1. Tatizo kubwa la Watanzania au adui mkubwa wa Tanzania sio CCM, CCM is just the vehicle, haikujiweka hapo ilipo, imewekwa, hivyo tatizo sio CCM iliyowekwa, bali tatizo ni wale walioiweka CCM hapo ilipo!. That simply means, tatizo ni sisi Watanzania tulioiweka CCM madarakani and it plays games on us again and again na sisi tukiendelea kuiweka madarakani again and again and again na sitashangaa kama hata 2015, tukairudisha tena CCM ikulu ya Magogoni!.

2. Hii dhana ya kudhania adui mkubwa wa Tanzania ni CCM, is a wrong concept, na hili ndilo kosa kubwa la wapinzani, wakiwemo Chadema, katika chaguzi zote za nyuma wapinzani wanaelekeza nguvu nyingi concentration kubwa ya mashambulizi yote kwa CCM wakibeza tuu CCM haikufanya hiki au kile, huku wakijihesabu CCM ndie adui yao mkubwa, hivyo ku miss the real target ya adui halisi ni nani!. Adui sio CCM, adui ni watu wanaoiweka CCM hapo ilipo.

Paskali
CCM ndiyo tatizo no moja
Mkuu Ben, Benjamini Netanyahu , karibu pande hizi ili ujue that is where you go wrong and miss the target!.
P
 
Wanabodi,

Kuna msemo usemao numbers don't lie, hili ni bandiko la numbers na data, kama sio mzuri wa mathematics na arithmetics nakushauri bandiko hili lipitie mbali and save your time.

Katika thread moja humu jukwaani, nimekutana na mchango wa mwana jf huyu Mkuu jogi,

Kutokana na kauli hiyo, ya Mkuu Jogi, nimekuwa inspired kuandika kidogo kuhusu adui mkuu wa Tanzania wengi wakidhani ni CCM, kumbe adui yetu Mkuu sio CCM, bali adui mkuu wa Watanzania ni huyu nimtajae hapa chini na headline imejielekeza kwa Chadema, simply because ndicho chama pekee cha upinzani huku bara, chenye kuonyesha angalau angalau mwelekeo wa matumaini ya posibility ya uwezekano wa kuwezekanika wa kulipatia taifa letu la Tanzania, ule ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania!.

Mkuu Jogi, japo umeniomba "Nikubaalie japo mara hii tu kuwa, tatizo linalotumaliza ni zimwi CCM". Samahani sana, sikukubalii, kwa maoni yangu, japo ni kweli CCM ni zimwi, adui sio zimwi, bali wale wanaolifuga hili zimwi na kulipa chakula ili liendelee kuishi!.

1. Tatizo kubwa la Watanzania au adui mkubwa wa Tanzania sio CCM, CCM is just the vehicle, haikujiweka hapo ilipo, imewekwa, hivyo tatizo sio CCM iliyowekwa, bali tatizo ni wale walioiweka CCM hapo ilipo!. That simply means, tatizo ni sisi Watanzania tulioiweka CCM madarakani and it plays games on us again and again na sisi tukiendelea kuiweka madarakani again and again and again na sitashangaa kama hata 2015, tukairudisha tena CCM ikulu ya Magogoni!.

2. Hii dhana ya kudhania adui mkubwa wa Tanzania ni CCM, is a wrong concept, na hili ndilo kosa kubwa la wapinzani, wakiwemo Chadema, katika chaguzi zote za nyuma wapinzani wanaelekeza nguvu nyingi concentration kubwa ya mashambulizi yote kwa CCM wakibeza tuu CCM haikufanya hiki au kile, huku wakijihesabu CCM ndie adui yao mkubwa, hivyo ku miss the real target ya adui halisi ni nani!. Adui sio CCM, adui ni watu wanaoiweka CCM hapo ilipo.

5. CUF baada ya kujaribu mara 3 ikashindwa, ikaamua kutumia principle ya "if you can't beat them, join them", kwa mara ya 4 katika uchaguzi wa 2010, ikakubali yaishe, ikawajoin ndani ya SUK katika ndoa ya kukubali kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM, at the same time, its fighting from within, and it is expected to be hitting them very hard from within, kwa mtindo wa "kikulacho" na kikundi cha "uamsho" ni matokeo chanya ya kipigo hicho kwa serikali ya SUK from within, hivyo kwa 2015 upande wa Zanzibar CUF ni njia nyeupe!.

6. Kwa sasa, angalau Chadema, kupitia M4C, imeshagundua adui halisi anayewakosesha ushindi, na sasa imejielekeza kwa wananchi ambao ndio wenye maamuzi ya mwisho na wamekuwa wakiichagua CCM kwa mazoea tuu, hivyo concentration ikiwekwa kwenye "changing the mindset ya wenye maamuzi, kuacha kuchagua kwa mazoea tuu, bali kuchagua kwa sababu. Wananchi, watafunguka macho, na hawatakuwa na sababu tena ya kuendelea kuichagua CCM!.

7. Ili hili liwezekane, wapinzani wasiwe ni watu wa kulalamika na kulaumu tuu kuhusu CCM, bali sasa wajikite kueleza where CCM does wrong, lakini wao wakiingia, watafanya nini tofauti na CCM, na kitabadilisha nini, ili wale wanaoichagua CCM kwa mazoea tuu, wapate sababu za msingi za kutoichagua CCM na kuwachagua wapinzani.

8. Mara baada ya uchaguzi wa 2010 na mafanikio makubwa upande wa Chadema, kwenye ile mada yangu ya "CCM Imechokwa, Chadema Haijajipanga", niliwaeleza kuwa wapinzani bado wako kiuana harakati zaidi, bado hawajipanga mkao wa kushika dola, lakini kwa kwa sasa kupitia M4C, Chadema wanaonyesha dalili za kujipanga japo bado wanakabiliwa na madhaifu haya na yale, yakiwemo, lile koti la ukanda, udini, ukabila na ubinafsi wa "umimi" etc.

9. Kwa leo naomba nisiingie tena kwenye udini, ukanda na ukabila wa Chadema, bali naomba nijikite kwenye ubinafsi au "umimi" kwa Chadema kujiamini kupita kiasi kuwa peke yao wataweza!, nilisema peke yao hawawezi, na leo nasema te na na tena, "Chadema peke yenu hamuwezi Kuiondoa CCM Madarakani" kwa sababu hili CCM ni dubwana kubwa sana ambalo haliwezi kung'oka bila umoja ambao ni nguvu ya Watanzania wote wenye kuliutakia mema taifa hili.

10. Kabla ya kauli ya majuzi ya Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Pinda kule bungeni, nilikuwa najua ma RC na ma DC ni watendaji wakuu wa serikali mikoani na wilayani baada ya kutenganisha zile kofia mbili za chama kushika hatamu za kuiongoza serikali, kumbe wamevua tuu hizo kofia na kutovaa sare, lakini kiutendaji kumbe wako pale kuhakikisha CCM inatawala milele!, hivyo bila joint foces, hakuna jinsi ya kuipumzisha CCM na ni kweli itatawala milele!.

11. Chadema na wapinzani wengine wote wa ukweli, ni lazima wa join forces kutafuta the common working grounds na wenzenu wengine wote mu work together towards a common enemy hata na nyinyi wenyewe kwa wenyewe lazima mkubali kushirikiana kwa kukubali kutokubaliana kwa hayo madogo madogo lakini lazima mkubaliane kwenye kubwa la msingi kwa kukubali "umoja ni nguvu" vinginevyo matokeo ya 2015 yatakuwa ni yale yale ya, vyama vile vile, na watu wale wale!.

12. Mfano, japo CUF ni mke wa CCM kwa upande wa Zanzibar, hiyo ni "marriage of convinience", hivyo inavunjika wakati wowote "conveniences" zikimalizika, hivyo Chadema inacho kibarua kigumu cha kum..ngoza huyu mke wa mtu kwa kumhakikishia akikubali kutoka nje ya ndoa, yeye sasa hatakuwa mke tena, bali atageuka mume na 2015 ni yeye sasa ndie atageuka kidume na kumuoa huyo mume aliyenae sasa kwa sababu mume huyo ategeuzwa mke!.

13. Hakuna ubishi kuhusu nguvu ya CUF kule Zanzibar na Chadema itake isitake, ipende isipende, ili kujihakikishia njia nyeupe ya kuwa mpangaji wa magogoni kwa 2015, ni lazima ikubali kuisupport ya CUF kwa upande Zanzibar ili CUF nao wakubali kuisupport Chadema huku bara!. Chadema wakae chini na CUF, waainishe maeneo ya strong holds za kila mmoja na kuachiana maeneo hayo ili 2015, kuepuka kumfaidisha kunguru kwa vita vya panzi!.

14. Voting statistics


Tanzania: 2010 Presidential election results
Updated January 2010

The United Republic of Tanzania elections for parliament and the presidency were held on 31 October 2010.


Voting statistics
Registered Voters 20 137 303
Total votes 8 626 283
% Turnout 42.84
Valid votes 8 398 394
Spoilt votes 227 889
% Spoilt votes 2.64

Table source
Commonwealth 2010, 31.

Results
Candidate Party Votes % Vote
Jakaya Kikwete Chama Cha Mapinduzi (CCM) 5 276 827 62.83
WP Slaa Chama Cha Demokiasia na Maendeleo (CHADEMA) 2 271 941 27.05
Ibrahim Lipumba Civic United Front (CUF) 695 667 8.28
Peter Mziray Kuga Progressive Party of Tanzania (PPT-MAENDELEO) 96 933 1.15
Rungwe Hashim Spunda National Convention for Construction and Reform (NCCR-Mageuzi) 26 388 0.31
Muttamwega Bhatt Mgaywa Tanzania Labour Party (TLP) 17 462 0.21
Yahmi Nassoro Dovutwa United People's Democratic Party (UPDP) 13 176 0.16
Total
8 398 394 99.99

Table source
Commonwealth 2010, 31.

References
COMMONWEALTH 2010 Report of the Commonwealth Observer Group: Tanzania General Elections 31 October 2010.

15. Kwa mujibu wa data hizo, JK amechaguliwa kura milioni 5 tuu kati ya watu milioni 40!. Waliojiandikisha ni milioni 20, lakini waliopiga kura ni milioni 8 tuu!, hii inamaanisha kuna watu milioni 12, ambao walijiandikisha lakini hawakupiga kura kwa sababu mbalimbali, ikiwemo wale waliokata tamaa na kuona kupiga kura ni wastage of time, hata upige vipi kura, matokeo ni yale yale lazima CCM ishinde, hivyo kuliko kupoteza muda wakaachana kabisa na kupiga kura!

16. Suppose 2015, Watanzania tutakuwa Milioni 50 wenye sifa za kupiga kura ni milioni 35, hawa wote wakihamasishwa kujiandikisha na kujitokeza kupiga kura, mgombea wa CCM atajipatia kura zao zile milioni 6 za wanachama wao kwa mujibu wa tovuti ya CCM, halafu hizo kura milioni 29 zimuangukie mgombea wa upinzani, hata NEC ya CCM, wachakachue vipi, there will be no way out!, hivyo adui yetu mkubwa sio CCM, bali ni Watanzania wanaipigia kura CCM!.

17. Sasa ili kuwafikia Watanzania wote na kuwaamsha waliolala, Chadema haiwezi kuwafikia Watanzania wote kwa kutegemea mikutano ya hadhara na mass media za wengine. Chadema lazima wawe na mass media yake ambayo ita propagate the message of changing the mindset ya Watanzania. Chadema wana all the resource kumiliki media yake lakini very unfortunately they are myopic, hawana vision ya kuona mbali kuangalia nje ya box and see a bigger picture. Hawajui kupanga priorities zao. Bei ya gari moja tuu la M4C linatosha kununua transmitter ya Digital ya redio na TV. Chadema bila media yake, ni kutwanga maji kwenye kinu, CCM ina media yake na TV yake TBCCM, radio zake na magazeti yake, Chadema bila media yake, ikulu wataendelea kuisikia tuu kwenye bomba, 2015 ni CCM tena! .

Wasalaam.

Paskali


NB. Paskali, sasa ni mwanachama, mfuasi na mshabiki wa chama fulani cha siasa, in fact ni kada!. Lakini ni kada Mzalendo mwenye kutanguliza mbele utaifa na maslahi ya taifa ndio maana licha ya kuwa kada wa chama kingine bado anawashauri vyama vingine the right thing to do.
Nani amekuambia watanzania ndo huwa wanairudisha ccm madarakani,ccm huwa haihitaji kura yako kurudi madarakani au kutawala nchi bali nikupitia vyombo vya dola,wakurugenzi tiss,madc
 
Mifumo ovu ya nchi ndiyo tatizo na CCM ndiyo wanatake advantage
Mifumo ni kisingizio tuu, it's the numbers that matters, the numbers that counts.
Uchaguzi wetu kura zinapigwa vituoni na kuhesabiwa vituoni, CCM wote wako just 6 million only, jee upinzani ungevuna 20 million votes, hata uibe vipi utaibaje.
P
 
Mifumo ni kisingizio tuu, it's the numbers that matters, the numbers that counts.
Uchaguzi wetu kura zinapigwa vituoni na kuhesabiwa vituoni, CCM wote wako just 6 million only, jee upinzani ungevuna 20 million votes, hata uibe vipi utaibaje.
P
Kwanini mkuu tusitumie mifumo kupiga kura kama Marekani? yaani nikipiga kura niione kura yangu kabisa kwamba imeenda kwa nani
 
nimekuwa inspired kuandika kidogo kuhusu adui mkuu wa Tanzania wengi wakidhani ni CCM, kumbe adui yetu mkuu sio CCM, bali adui mkuu wa Watanzania ni huyu nimtajae hapa chini
1. Tatizo kubwa la Watanzania au adui mkubwa wa Tanzania sio CCM, CCM is just the vehicle, haikujiweka hapo ilipo, imewekwa, hivyo tatizo sio CCM iliyowekwa, bali tatizo ni wale walioiweka CCM hapo ilipo ili waendelee kuilea na kuitunza!. That simply means, tatizo sio CCM bali ni sisi Watanzania tulioiweka CCM madarakani and let it plays games of mind on us again and again na sisi Watanzania tukiendelea kuiweka madarakani again and again and again na sitashangaa kama hata 2015, tukairudisha tena CCM ikulu ya Magogoni kwasababu hakuna mbadala wa CCM, bora shetani unayemjua kuliko shetani usiye mjua!, (better a devil you know than a devil you don't know).

2. Hii dhana ya kudhania adui mkubwa wa Tanzania ni CCM, is a wrong concept, na hili ndilo kosa kubwa la wapinzani, wakiwemo Chadema, katika chaguzi zote za nyuma wapinzani wanaelekeza nguvu nyingi na concentration kubwa ya mashambulizi yote kwa CCM wakibeza tuu CCM haikufanya hiki au kile, huku wakijihesabu CCM ndie adui yao mkubwa, hivyo ku miss the real target ya adui halisi ni nani!. Adui sio CCM, adui ni watu wanaoiweka CCM hapo ilipo!.
..mkimaliza mkumbuke kwamba adui yetu sote ni CCM.
Mkuu JokaKuu karibu mitaa hii.
You are very wrong kudhani adui yetu mkuu ni CCM!.
P
 
Mkuu JokaKuu karibu mitaa hii.
You are very wrong kudhani adui yetu mkuu ni CCM!.
P

..tuko pamoja.

..Ccm sio mimi, wewe, au yule.

..Ccm ni wale walioiweka madarakani.

..wengine wote ni VICTIMS wa Ccm.

..hata wewe uliyelazimika kujitoa akili kutetea, na kujikomboa kwa Ccm, ni victim.

..You were supposed to be free in your thinking, and not look over your shoulder every time you give your opinions.
 
..tuko pamoja.

..Ccm sio mimi, wewe, au yule.

..Ccm ni wale walioiweka madarakani.

..wengine wote ni VICTIMS wa Ccm.

..hata wewe uliyelazimika kujitoa akili kutetea, na kujikomboa kwa Ccm, ni victim.

..You were supposed to be free in your thinking, and not look on your shoulder every time you give your opinions.
Duh...!.
Hili sio bandiko la thinking, ni bandiko la numbers and it says "numbers don't lie "
Haya bana
P
 
Duh...!.
Hili sio bandiko la thinking, ni bandiko la numbers and says "numbers don't lie "
Haya bana
P

..ndio, " numbers dont lie, " kwamba Ccm ni kikundi cha watu wachache sana wanaoitafuna nchi.

..Je, wewe uko ktk kikundi hicho exclusive, au unavizia makombo tu?
 
....Adui sio CCM, adui ni watu wanaoiweka CCM hapo ilipo!....
Hao Wapinzani walishajua mapema kuwa 'adui' Yao (naively) ni wananchi wa nchi hii ndiyo maana bila huruma, walipiga mbiu ili nchi ikose misaada na mikopo kutoka kwa development partners wetu!!! Ili sisi wananchi tunyanyasike kimasikini.

Halafu bila aibu eti wanakuja kutuomba kura! Hivi wanatuonaje?
 
..Je, wewe uko ktk kikundi hicho exclusive, au unavizia makombo tu?
Mkuu JokaKuu , mimi ni katika wale tulioingia enzi zile za chama kimoja, we had no options you have to join it, hivyo tulipoanza mfumo wa vyama vingi, we had options lakini ukweli ni kuwa chama kwa maana halisi ya chama, chama ni kimoja tuu, the one and only CCM! .
Mimi kozi mwana mandanda, kulala njaa kupenda, sivizii makombo, ni kama kuku tuu wa kienyeji, nachakura.
P
 
Back
Top Bottom