Elections 2015 Kuelekea 2015: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...!

Elections 2015 Kuelekea 2015: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...!

Mkuu Mshikachuma, usinione kimya ukadhania nimekula chocho, napitia kwa makini michango, huku nikitafakari,"I'll leave no stone unturned"!.
Better not leave any stone unturned!

Ujumbe wangu kwa wapenda mabadiliko,nitaanzisha thread ikihitajika!Lakini musimjibu ndugu zomba kwa namna ambayo itaonekana kana kwamba mnadharau imani za wengine!nakuombeni sana,kuliko kuijibu posti yake,basi muignore!lengo lao yeye na mafisadi wenzake, ni kuhakikisha mnatoa majibu ambayo wataya attribute kuwa ndo maoni ama mwelekeo wa chadema.Tafadhalini sana,igonre zomba whenever you can!Ni ombi!wana wafuasi wengine pia,tafadhali soma btn the lines,na kamwe msitukane ama kudhalilisha imani ya wengine no matter how the provocation is!chadema ni ya watanzania wote!Kama unakubaliana na ujumbe huu,waeleze na wapenda mabadiliko wote!God willing!Inshalah!WE WILL BE VICTORIOUS!
 
Last edited by a moderator:
pasco upo busy kutafuta posting ya kurukia ili kuondoka?nataka search results.Au internet yako imegeuka na kuanza chukua mwendo wa konokono?
Nico, ni kweli niko busy ila nimekusoma na nitakujibu!.
 
Better not leave any stone unturned!

Ujumbe wangu kwa wapenda mabadiliko,nitaanzisha thread ikihitajika!Lakini musimjibu ndugu zomba kwa namna ambayo itaonekana kana kwamba mnadharau imani za wengine!nakuombeni sana,kuliko kuijibu posti yake,basi muignore!lengo lao yeye na mafisadi wenzake, ni kuhakikisha mnatoa majibu ambayo wataya attribute kuwa ndo maoni ama mwelekeo wa chadema.Tafadhalini sana,igonre zomba whenever you can!Ni ombi!wana wafuasi wengine pia,tafadhali soma btn the lines,na kamwe msitukane ama kudhalilisha imani ya wengine no matter how the provocation is!chadema ni ya watanzania wote!Kama unakubaliana na ujumbe huu,waeleze na wapenda mabadiliko wote!God willing!Inshalah!WE WILL BE VICTORIOUS!
Mkuu J Mushi, asante kwa angalizo, naendelea kupitia na kutafakari ndipo niweze kuwajibu vizuri tuu wewe na Nico.
 
where are you pasco?tupe searche results from (google and Amazon)..kwa hizo red hapo juu.Tuwekee previews.Inaelekea CCM mna udini sana.Mbaya mnawatumia wale muwatukanao.
Nico, nipo sana tuu, muda wangu wa ku search ukifika nita search, meanwhile naendelea kusoma na kutafakari!.
 
Hekima na busara ni kitu muhimu sana katika safari hii ya kuelekea 2015. Maombi yako yamesikika Mkuu jmushi1


😛eace:😛eace:😛eace:😛eace:😛eace:

Alutta continua! continua!

Better not leave any stone unturned!

Ujumbe wangu kwa wapenda mabadiliko,nitaanzisha thread ikihitajika!Lakini musimjibu ndugu zomba kwa namna ambayo itaonekana kana kwamba mnadharau imani za wengine!nakuombeni sana,kuliko kuijibu posti yake,basi muignore!lengo lao yeye na mafisadi wenzake, ni kuhakikisha mnatoa majibu ambayo wataya attribute kuwa ndo maoni ama mwelekeo wa chadema.Tafadhalini sana,igonre zomba whenever you can!Ni ombi!wana wafuasi wengine pia,tafadhali soma btn the lines,na kamwe msitukane ama kudhalilisha imani ya wengine no matter how the provocation is!chadema ni ya watanzania wote!Kama unakubaliana na ujumbe huu,waeleze na wapenda mabadiliko wote!God willing!Inshalah!WE WILL BE VICTORIOUS!

 
sasa huoni unachoka sana na utazijibu kwa mpangilio gani?
Nilipanga kutumia ule utaratibu, "wa mwisho atakuwa wa kwanza, na wa kwanza atakuwa wa mwisho, nimejikuta najibu za mwisho tuu bila kufika mbali, hivyo sasa nitazijibu very fair, first come, first served, hivya sasa nitaanza za mwanzo mpaka nimalize za mwisho.
 
Nico, nipo sana tuu, muda wangu wa ku search ukifika nita search, meanwhile naendelea kusoma na kutafakari!.

suppose unataka wajibu wote halafu mnaanza dialogue,watu watafuatiliaje discussion za watu wengi?
 
suppose unataka wajibu wote halafu mnaanza dialogue,watu watafuatiliaje discussion za watu wengi?
Nitajibu tuu post zenye maswali kwangu na hakutakuwa na discussion kwa sababu wa mwazo wote hawapo tena na nyie wamisho mtakuta majibu yenu wakati hampo. Mimi sio member wa kujibishana humu bali humwaga nondo na kutoa majibu na sio majibishano.
 
Hekima na busara ni kitu muhimu sana katika safari hii ya kuelekea 2015. Maombi yako yamesikika Mkuu jmushi1


😛eace:😛eace:😛eace:😛eace:😛eace:

Alutta continua! continua!



Mkuu kwa mara ya kwanza sioni a "like button" kwenye smart phone yangu!tuko pamoja!I will do the needful as soon as I see the button...Tuko pamoja,let's stay on the message.
 
Mkuu J Mushi, asante kwa angalizo, naendelea kupitia na kutafakari ndipo niweze kuwajibu vizuri tuu wewe na Nico.

Ok mkuu nasubiri,like I've said before,ntakulima like nikiiona button!much respect!let's stay true to ourselves and others.
 
LoL! Hata mie hiyo ya kutaka kutoa "like" halafu kibutton hukioni imewahi kunitokea nadhani mara mbili. Unakitafuta si kinakaa hapa 🙂 mbona sikioni.... Weekend njema Mkuu.

Mkuu kwa mara ya kwanza sioni a "like button" kwenye samrt phone yangu!tuko pamoja!I will do the needful as soon as I see the button...Tuko pamoja,let's stay on the message.
 
LoL! Hata mie hiyo ya kutaka kutoa "like" halafu kibutton hukioni imewahi kunitokea nadhani mara mbili. Unakitafuta si kinakaa hapa 🙂 mbona sikioni.... Weekend njema Mkuu.
Shukran kamanda wangu!Alah/God bless you!nikishaona button nitakupa what you deserve!A "like" because you're the one of the great thinkers!nchi inahitaji ukombozi!tunataka nchi yetu iwe kama ulaya ili kila mmojawetu arudi!we're responsible if and ONLY if we want changes!We will get it!God willing/Inshallah!WE WILL BE VICTORIOUS!
 
nchi inahitaji ukombozi!tunataka nchi yetu iwe kama ulaya ili kila mmojawetu arudi!we're responsible if and ONLY if we want changes!We will get it!God willing/Inshallah!WE WILL BE VICTORIOUS!
Mkuu J Mushi, hiki ndicho nilichokisema, ili Chadema kilete Changes zinazotarajiwa, lazima kwanza chenyewe ki Change kwa kuwaambia Watanzania licha ya Change ya serikali kutoka serikali ya CCM kwenda serikali ya Chadema, wategemee Changes gani tofauti za zile ambazo CCM wameshindwa!. Hili la kusema Elimu Bure mpaka chuo kikuu, hospitali bure, na kuondoa umasikini, Chadema has to do "things right" na kwa wale ambao mmejiridhisha kuwa "Chadema is doing the right thing on the right way at the right time!" mkitegemea 2015 ni straight to Magogoni, "hope for the best!, but get prepared for the worst!".

Sasa hizo "things right" ambazo inabidi Chadema mbadilike, "imeshaonyeshwa", "imeshaambiawa", "mmeshaimbiwa", tena keke hizo sasa ni kama "hit single", kilichobaki ni Chadema to start "dancing to the tune", 2015 ndipo kweli atakuwa the new tenant wa ile nyumba nyeupe pale magogoni!.

Kwa vile mimi sio mwanachama, mshabiki, wala mfuasi wa Chadema, naombeni msiniulize mimi, ni "changes" gani hizo zinazotakiwa ziwe changed!, ninachosema kwenye thread hii ni Chadema isikie mwito wa changes na ikubali kubadilika!, thats all!. Kama imejiridhisha doing the right thing alone is enough, then keep on doing what you are doing the same way you do, and lets see the outcome of 2015!, ila please please please, "mkilizwa"!, "msilie"!

Pasco.
 
Pasco umetumia neno "Hakuna ubishi" kama tayari umeshafanya research ya kutosha, ikiwa hivyo ni kheri.

Lakini ukweli ni huu, kwa miaka mingi CCM imejaribu kujenga matumaini ya maisha bora kwa watanzania bila mafanikio. Jambo hili ndiyo ambalo limekuwa chukizo kubwa kwa wapiga kura wa rika zote. Kwa mantiki hiyo, kazi inayofanywa na CDM ni mazalia ya matendo ya CCM toka miaka mingi kuongoza nchi pasi kuwa na malengo serious.

Lakini huo ni upande wa mmoja, upande wa pili ili CDM iweze kuingia 2015 madarakani ni kuomba upepo wa kusiasa uvume vizuri mpaka 2014 - 2015 ambapo wapiga kura wengi watakuwa wameshatoa maamuzi ya chama gani kishinde.

Lakini naona CCM nao wamejipanga vya kutosha kuhakikisha hilo nalo halitokei kwa kuanza kukipaka CDM matope kuwa ni chama cha vurugu na mauaji!!!!!

Zaidi ya hapo CCM ipo nyuma ya Jeshi la Polisi kuhakikisha mambo hayaendi mrama.
Hayo ni maoni yangu.

Kuingia CDM 2015 madarakani itategemea na karata wabunge wake watavyozichanga vizuri mpaka 2015 nakujiandalia mazingira mazuri ya kushinda.
Mkuu Mzee wa Rula, hiki ndicho ninachokipigania humu, Chadema kupitia M4C is doing a good job kuwafungua macho Watanzania kile ambacho CCM imeshindwa kukifanya, sasa ili kuingia madarakani kwa uhakika zaidi, Chadema haiwezi kutegemea kura za hisani za kuutegemea upepo wa kisiasa uvume on its favour, upepo huo wa kisiasa lazima uvumishwe on specific direction!, wapiga kura wapewe "reasons" ya kuichagua Chadema, besides sababu ya "CCM Haikufanya hiki na kile!", Chadema pia iseme itafanya nini and how, tofauti na CCM!. Hivyo sasa Chadema ndio atakuwa anaucontroll huo upepo na kuuelekeza uvumie upande gani!.

Pasco.
 
Ningependa kujua wabadilike from what to what.
Mkuu Jasusi, hayo mabadiliko ni mambo ya ndani, mimi ni mtu wa nje, nimesikia watu wa ndani, wakikitaka chama kibadilike kwenye "mambo flani", lengo la thread yangu ni kuwaambia tuu "wasikilize, watende, wabadilike"!.
"Chadema should "listen, act, change"!.
 
Mimi kama Muhusika (Mwanachama hai) hujanishirikisha naona kama hunitakii mema, tubadirike nini plz?
Mkuu Mvaa Tai, mimi sio Chadema, viongozi wako wao wanajua mbadilike nini, na wao ndio wenye jukumu la kukushirikisha wewe, nilichofanya hapa ni kuwasisitiza tuu kuwa "Nyie Chadema, sikilizeni mnachoambiwa!, tekelezeni!, badilikeni ili muweze sio kuibadili CCM kwenye kutawala, bali kuibadili Tanzania as well!.
 
Better not leave any stone unturned!

Ujumbe wangu kwa wapenda mabadiliko,nitaanzisha thread ikihitajika!Lakini musimjibu ndugu zomba kwa namna ambayo itaonekana kana kwamba mnadharau imani za wengine!nakuombeni sana,kuliko kuijibu posti yake,basi muignore!lengo lao yeye na mafisadi wenzake, ni kuhakikisha mnatoa majibu ambayo wataya attribute kuwa ndo maoni ama mwelekeo wa chadema.Tafadhalini sana,igonre zomba whenever you can!Ni ombi!wana wafuasi wengine pia,tafadhali soma btn the lines,na kamwe msitukane ama kudhalilisha imani ya wengine no matter how the provocation is!chadema ni ya watanzania wote!Kama unakubaliana na ujumbe huu,waeleze na wapenda mabadiliko wote!God willing!Inshalah!WE WILL BE VICTORIOUS!

Mkuu Mushi, asante kwa angalizo. Hata hivyo, kuna issue hapa: huyu jamaa (zomba) hayuko peke yake humu JF bali ni mob au syndicate fulani kwa ajili ya kuchafua hali ya hewa kadiri inavyowezekana. Hivyo, usishangae wakaanzisha thread wenyewe kwa ID tofauti tofauti huku wakiji-pretend pro-Chadema halafu humo humo ndani ya mob wakaanza kuutukana uislam ili kutimiza malengo yao ya kisiasa. Hii ni changamoto nyingine.
 
Mkuu Mzee wa Rula, hiki ndicho ninachokipigania humu, Chadema kupitia M4C is doing a good job kuwafungua macho Watanzania kile ambacho CCM imeshindwa kukifanya, sasa ili kuingia madarakani kwa uhakika zaidi, Chadema haiwezi kutegemea kura za hisani za kuutegemea upepo wa kisiasa uvume on its favour, upepo huo wa kisiasa lazima uvumishwe on specific direction!, wapiga kura wapewe "reasons" ya kuichagua Chadema, besides sababu ya "CCM Haikufanya hiki na kile!", Chadema pia iseme itafanya nini and how, tofauti na CCM!. Hivyo sasa Chadema ndio atakuwa anaucontroll huo upepo na kuuelekeza uvumie upande gani!.

Pasco.
Mkuu Pasco nakuunga mkono.Ni lazima wabadilike M4C pekee haitoshi.Kuna mikoa mingine hata ofisi hamna unategemea nn.Watu wa makao makuu hawafanyi kaz yao vizur hamna mawasiliano na viongoz wa mikoani.SHITAMBALA wakati anajiunga CCM alitamka kuhusiana na makao makuu kutofanya kaz na viongoz.
 
Huyu aliandika huu uzi ni CCM, upuuzi mtupu. Tena haijui CDM. Huwezi ukasema hakuna sababu za msingi za kuipenda CDM kama CCM. Ngoja niishie hapo nisipate ban.
Mkuu Communist, you might be right, huu uzi ni upuuzi mtupu!, hili la alieandika uzi huu ni CCM you are very wrong!, hili la kutoijua Chadema uko very right!. Ila pia, uzi huu, hauzungumzii sababu zozote za kuipenda Chadema, unaweza kuipenda kwa pendo lako lote!. Hapa tunazungumzia sababu za kuichagua Chadema na kuikabidhi ikulu yetu mwaka 2015 na sio issue za kuipenda au laa!.

Kwa sasa CCM ndio imeshika nchi, unadhani walioikabidhi CCM, wameikabidhi kwa sababu wanaipenda sana?!. Ukinisoma huku umetulia, nimeeleza kwanini CCM wamekabidhiwa nchi na kushauri Chadema wafanye nini ili sisi wenye nchi, tuwakabidhi nchi 2015!.
 
Back
Top Bottom