Napata tatizo moja, TANU na baadae CCM wametawala tangu 1961 kufikia mwaka 1995 alipong'atuka Nyerere. Wakati huo hawakuwepo mafisadi, wala rushwa,sijui wauwaji, mikataba mibovu and so and so....na nchi haikuendelea na tumeendelea kuwa masikini. CDM wanachoongelea ni matatizo hayo hapo juu kama kwamba yakiondolewa na umaskini utakwisha. Kwa vile siamini hilo, naomba nifahamishwe CDM itafanya nini cha ajabu hapo 2015 kama wataingia madarakani? Naona sasa haziongelewi sera bali kuondoa mambo yanayotokana na matukio yanayojitokeza...! Nipeni ushawishi niichague CDM hapo 2015. (ila sasa hivi siandamani ng'o niko kwenye kujitafutia riziki
Watanzania tunahitaji kuelimika na sio vyeti sasa mbona majibu unayo hapo juu kwenye maandishi mekundu tena sababu nzuri kabisa