Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama wachaga waliweza kuwachagulia wabunge iringa,mwanza,dar,arusha,mbeya,singida ninini kitawazuia kuwapa nchi yote?
hizi propaganda hazijawahi kuisaidia ccm bado wewe na ukilaza wako unaendelea kuziamini?
Nitaenda hata somalia kusiko na serikali kama 2015 chadema watashinda?
You could say better than this, na Mzee Mwanakijiji naye ni mtu wa mafumbo?
Hivi chadema itashinda kwa kura za kina nani? wachagga? wako wangapi nchi hii?
Hata makaratasi ya kuyahesabu juu, chini, nje, ndani lakini kura za Urais msahau. Kuna mtu alikumbusha kura za Jimbo la Zitto, ubnge Zitto, Urais Kikwete. Sijui Zitto alimpigia debe Kikwete, maana naona misafara migi wapo pamoja. Hapo sasa.
Mimi niliwashauri zamani na niliwauliza wana kipi cha kuwaahidi Waislaam? Nyuzi ikaishia kufutwa mbio mbio na moderator mwenye mapenzi na chadema, badala ya kujadili, mwenyewe akidhani anaitengenezea chadema kumbe anaiharibia.
Huo ndio ufinyu mkubwa wa hawa watu. "Hawasikii la muadhini wala mteka maji msikitini".
Tumeahidiwa mambo yafuatayoMimi niliwashauri zamani na niliwauliza wana kipi cha kuwaahidi Waislaam? Nyuzi ikaishia kufutwa mbio mbio na moderator mwenye mapenzi na chadema, badala ya kujadili, mwenyewe akidhani anaitengenezea chadema kumbe anaiharibia.
Huo ndio ufinyu mkubwa wa hawa watu. "Hawasikii la muadhini wala mteka maji msikitini".
Try to Grown up hata mtume Mwamedi hajatowa mafundisho ya chuki kiasi chako wewe.Unajidhalilisha.
Na wewe ni mchaga?
Dada Fine,Pasco,
Umenena vema,ni rahisi sana kukosoa na kurekebisha makosa.au niseme ni rahisi sana kutazama boriti lililo ndani ya jicho la mwenzako,LAKINI nivigumu sana kuwa sehemu ya hayo mazuri unayoyafikiria.
Jamani serikali ya CCM haiwachoshi tu bibi,shangazi,na watoto wa wanachama wa chadema.Sote tumepigika,sote Tunaumia,sote tunateseka.NI lini!!!!!!!! kauli hizi za kunyooshea vidole wengine kwamba wafanye hivi wafanye vile zitakomeshwa.
Huu ni mda wa kufanya maamuzi na kusimama upande mmoja.kama uko CCM zungumza kama mwanaCCM na kama ni mpambanaji simama ujibainishe na kuwa sehemu ya mabadiliko.
Tuachane na uvuguvugu ndio unaochelewesha safari yetu ya ukombozi,nchi hii bwana,
walimu vuguvugu
madaktari vuguvugu
waandishi vuguvugu
wanasiasa vuguvugu
Tatizo liko hapo.!!!!!!!!
EVERYBODY HAS TO CHANGE .
Chadema sio rahisi kushinda, kwa sababu imeonesha dhahiri kuwa ni chama cha kanisa, sisi waislamu hatuwapi kura zetu , hilo lazima walijue, sasa watashinda kwa kura za kina nani?
Kweli wapo watu wana vichwa vigumu kama wewe, hivi mpaka leo, bado unafikiria hiyo propaganda ya ukabila utaendelea kuwalisha wa-TZ? Hivi huko Morogoro na Iringa, ambako magamba waliomba support ya polisi,baada ya kuona maji ya shingo, kutokana na hicho kimbunga cha M4C, hadi wakauawa kina Mwangosi na Ally Zona, huko nako wanaishi wachaga??!!Hivi chadema itashinda kwa kura za kina nani? wachagga? wako wangapi nchi hii?
Kwa wale wapenzi wa Chadema, for sure, Uchaguzi wa 2015, Chadema inaweza kabisa Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If "Itabadilika" and provided that CCM haitamsimamisha yule mgombea wangu!. Japo ni vema kuwa great expectations on Chadema kuchukua nchi 2015, only if Chadema itabadilika, vinginevyo keep hopping for the best na kama Chadema haitabadilika, you better get prepared for the worst kwa sababu 2015 itakuwa ni CCM Tena!.
NB. Msiniulize Chadema wabadilike nini, wahusika wameshaambiwa imebaki kusikiliza na kutekeleza!.
Naomba kuwasilisha.
Pasco.
Hata wewe umepigika? Hii ni kali. Hivi unajua kama Tanzania kuna washabiki wa vyama vingine mbali na ccm na cdm?Pasco,
Umenena vema,ni rahisi sana kukosoa na kurekebisha makosa.au niseme ni rahisi sana kutazama boriti lililo ndani ya jicho la mwenzako,LAKINI nivigumu sana kuwa sehemu ya hayo mazuri unayoyafikiria.
Jamani serikali ya CCM haiwachoshi tu bibi,shangazi,na watoto wa wanachama wa chadema.Sote tumepigika,sote Tunaumia,sote tunateseka.NI lini!!!!!!!! kauli hizi za kunyooshea vidole wengine kwamba wafanye hivi wafanye vile zitakomeshwa.
Huu ni mda wa kufanya maamuzi na kusimama upande mmoja.kama uko CCM zungumza kama mwanaCCM na kama ni mpambanaji simama ujibainishe na kuwa sehemu ya mabadiliko.
Tuachane na uvuguvugu ndio unaochelewesha safari yetu ya ukombozi,nchi hii bwana,
walimu vuguvugu
madaktari vuguvugu
waandishi vuguvugu
wanasiasa vuguvugu
Tatizo liko hapo.!!!!!!!!
EVERYBODY HAS TO CHANGE .
You and Pasco like this.
Sijaelewa Pasco amekupa like kwa misingi gani?