Elections 2015 Kuelekea 2015: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...!

huu wimbo wa kidini utakusaidia nini wakati hauuziki? usingetawaliwa na wazungu na waarabu leo kauli yako ungesemaje?

Utaujua hiyo 2015 kama umeuzika au umedoda ... suiri uone, tuombe uhai na uzima mkuu,
 
Mkuu Pasco kwa muktadha huu tuhesabu Lowasa kesha dondokea pua?
Dah na zile 10m anazotoa bora asitishe tu aendelee kula na wajukuu.
 
Chadema sio rahisi kushinda, kwa sababu imeonesha dhahiri kuwa ni chama cha kanisa, sisi waislamu hatuwapi kura zetu , hilo lazima walijue, sasa watashinda kwa kura za kina nani?

Usiseme sisis waislam.kwanza faham waislam wengi tupo CDM na tunamapenz nacho sasa we utanikataza mim nisipigie kura? kwanza we sio muislam dini yenyew inakataza wiz mbona ssm wanatuibia halaf nijiunge na wez? sitothubutu kuwa CCM au mwana CCM emungu nisaidie.
 

Uko sahihi kiasi fulani lakini tathmini yako imekosa nyama za kutosha. Katika mfumo mgumu kama wetu, mfumo ulioegemea chama kimoja kwa miongo mingi huja muda kikachokwa. Lakini sikubaliani nawe kuwa wapiga kura watakaokichagua CDM hawatakuwa na sababu ya kukichagua. Wanakichagua kwa kuwa CCM imeshindwa kukidhi matarajio yao, na hapa kuna chama mbadala kinacholeta matumaini mapya. Je hiyo siyo sababu kubwa? Ndiyo vyama viko vingi na vyema sera nzuri tu, lakini watu wamekichagua CDM kuongoza ukombozi wa nchi hii, si kwa kubahatisha la hasha, isipokuwa kwa kuwa uongozi umeonyesha dira, kule ambapo watanzania wanatamni tuwe.

Unaposema CDM kibadilike unatakiwa usifiche kitu, ama usituache hewani, kama kweli wewe ni mwenzetu sema unachoona kina shida ili kibadilishwe sio kuweka mafumbo mafumbo na kutuacha sisi tukibashiri
 
 
Chadema ikichukua nchi nahama Tanzania naenda "Malawi"

Subiri 2015 kilio cha mamba, wanahangaika ili wapate ku-negoatiate na ccm kabla ya 2015 maana wanajua ndio kifo chao..

Wanataka kupata deal kama la CUF zanzibar mapema ndio maana maandamano usiku na mchana..bureeeeeeeee.
 
Mwaka 2005 walikuwa wachache mwaka 2010 wakaongezeka mwaka 2015 unatarajia nini ?.

Kwani hao walikuwa wapi mwaka 2005 na 2010? mbona Mbowe aligaragazwa vibaya sana, uchaguzi uliofatia akaona huyu Jakaya Mrisho Kikwete si size yake akamuomba Slaa amsaidie, nae akagaragazwa vibaya sana na hao vibaraka wenu si walikuwepo au umesahau?
 
mkuu Pasco

nimekuelewa hivi "" wanachadema pamoja na viongozi wao huu ndo wakati wa kumwaga sera za chama na kuzinadi kwa sana kadiri ya uwezo wao ili wananchi waelewe ni kwa nini muda ukifika wa uchaguzi wataamua kuichagua chadema.""" inadidi hili vuguvugu la mabadiliko liendane na kuitofautisha CCM na CHADEMA kisela na kiutendaji ili baadaye wapiga kura wote wawe wanajua kwa nini wataichagua chadema. BRAVO BRO,PASCO MKANDARA NA WENGINEO WOTE AMBAO MNAENDELEA KUFICHUA MAPUNGUFU ILI YAFANYIWE MAREKEBISHO NA HUU NDO MUDA MUAFAKA.



SISI SOTE NI NDUGU TATIZO NI CCM
 
Nasikitika kuona umetumia muda wako mwingi kuandika hivi. Binafsi nimehudhuria mikutano ya Chadema. Wanaeleza sera zao na watu wanajua kwanini waichague CDM na si CCM. Binafsi najua sijui mwenzangu umeandika tu bila utafiti?
 
Kwani hao walikuwa wapi mwaka 2005 na 2010? mbona Mbowe aligaragazwa vibaya sana, uchaguzi uliofatia akaona huyu Jakaya Mrisho Kikwete si size yake akamuomba Slaa amsaidie, nae akagaragazwa vibaya sana na hao vibaraka wenu si walikuwepo au umesahau?


zomba, ule sio ushindi ambao jk anaweza kujivunia 60% ya kuchakachua then linganisha na idadi ya waliojiandikisha na waliopiga kura alafu angalia na population ya watanzania wote. BE ANALYTICAL!!!!!
 
Tujirekebishe kwa nini? Hizi ni thread za kijuha na kizuzu kweli.
 

Ha ha ha unanifanya nicheke, nadhani unajifurahisha sana!
 
Tujirekebishe kwa nini? Hizi ni thread za kijuha na kizuzu kweli.

Nimegundua humu jamvini chadema mipewa ushauri mnakuja juu, hata kama una manufaa na chama chenu kwanini? nashindwa kuelewa! ni mtu gani asotaka kushauri? hii ni ishara ya chama kibaya, mnataka kujifanya nyie kama nyerere alokataa ushauri na kujifanya kutawala kwa akili zake yeye tu ! hivi mtafika kweli?
 
Kwani hao walikuwa wapi mwaka 2005 na 2010? mbona Mbowe aligaragazwa vibaya sana, uchaguzi uliofatia akaona huyu Jakaya Mrisho Kikwete si size yake akamuomba Slaa amsaidie, nae akagaragazwa vibaya sana na hao vibaraka wenu si walikuwepo au umesahau?

nani asie fahamu kama slaa alishinda uchaguz wa mwaka2010,ila magamba mliiba kura. kiti ni chakupokezana unataka twende kama CUF ambapo kila uchaguz lipumba na wameshamjua kama anatafuta RUZUku& kumgawia mme wake kura.
 
nani asie fahamu kama slaa alishinda uchaguz wa mwaka2010,ila magamba mliiba kura. kiti ni chakupokezana unataka twende kama CUF ambapo kila uchaguz lipumba na wameshamjua kama anatafuta RUZUku& kumgawia mme wake kura.

Aaaaah! wewe umepata wapi hiyo? slaa ashinde? na ndio maana amehalalisha ndoa kujua atagombea 2015 na kwamba mnajidanganya mtashinda? ha ha ha ha mnachekesha kweli !
 
Moderators pamoja na kwamba Zomba ni Comedian wetu hapa JF kwa kutuchekesha chekesha, lakini hizi Regional & tribe hatred alizonazo nyinyi mnazifurahia? I value to differ lakini si chuki dhidi ya makabila mengine, au hapa kabila la Wakwere peke yake ndilo linalindwa?

Nakala kwa Invisible Paw Roulette Cookie
 
Last edited by a moderator:
pumpikin head! Una uwezo wa kuhamia nchi gani watakayokupokea juha kama wewe mwenye mawazo ya kipunguani ya namna hii!

Nitaenda hata somalia kusiko na serikali kama 2015 chadema watashinda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…