Elections 2015 Kuelekea 2015: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...!

Elections 2015 Kuelekea 2015: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...!

ikifika 2015
Dresalaam itakuwa jiji jipya
lenye flying overs na mabasi yaendayo kasi
na daraja kigamboni

CCM watalitumia hili kama ahadi kwa majiji mengine
na Kikwete hatakuwa mgombea

CHADEMA wana mlima wa kupanda

Groan!
 
Tatizo la hawa wa upinzani wananunulika, wote ni njaa ndio imewapeleka kwenye siasa, hakuna hata mmoja asienunulika,wanavuta muda ili fungu liwe kubwa. Tanzania hakuna upinzani. Kuna wapigania matumbo tu.
 
2015 ndio mwisho wa CDM,Lakini msiwe na wasiwasi na babu yetu mzee slaa, 2015 lowasa atampa ka ukuu wa wilaya na yeye ajipatie kula.
 
Mkuu wangu shukran na umegusia haswa pale panapotuweka sote pamoja nyuma ya Chadema.. Je hii inatosha kweli kutegemea kuchoka kwa CCM ndio uwe mtaji wetu kisiasa?. Kwa mwenye kutazama ndani vizuri sana atafahamu support kubwa ya Chadema ni kuipiga mande CCM waondoke, mtaji huu hautoshi kisiasa maana wananchi hawa hawana tumaini la sisi kufanya nini baada ya ushindi.

Hii ni tahadhari tu kwa wapenzi wa Chama. Ikiwa watu wengi sana wameingia Chadema kwa sababu ya Uzalendo wao, UTU wao ili kumfukuza adui yao mkubwa CCM ina maana watu hawa hawategemei lolote kutoka kwetu wala hawana mapenzi ya dhati kwa chama isipokuwa hasira zao kwa CCM kama vile Simba mla watu kaingia kijijini wanakijiji wamepiga parapanda kumfanyia. Je, tukisha muondoa Simba huyu what next? hapo ndipo tunapogwaya maana salama tu haitoshi na malengo ya chama sio tu kumuondoa CCM isipokuwa kuingia Ikulu na kuongoza.

Ebu tujiulize tukiweza kuindoa CCM mwaka 2015 hawa watu waliokuja kutoa pande na harambee kumfukuza mnyama huyu wanategemea nini kutoka Chadema?

mkuu Mkandara, apo palipopigiwa mstari nadhani hasa panalenga sera mbadala ambazo CDM wanazo zinazoonyesha kwa wananchi ni kwa nini waichague CDM 2015. Sasa nguvu zielekezwe kuelimisha wananchi na kuwapa sera za ukweli za CDM ambazo zinalenga moja kwa moja kwa wananchi ambao ndo walengwa wakuu.
eg 1.CCM wameshindwa kutatua tatizo la ajira, je CHADEMA wanasera gani katika suala la ajira? akuangalia sahivi wajiri wengi wanashirikiana na uhamiaji katika kupokea rushwa na kutoa workpermit ili kupitisha watu kutoka nchi zingine na wengine hawana uwezo kabisa kiutendaji (refer vodacom saga) na kule kwenye hospitality industry. Unajikuta unaletewa makaburu ambaye unamfundisha kazi then after two week ndo anakuwa boss wako.

2. Sasa hivi nchi ipo katika kipindi cha ufisadi mkubwa ambao CCM na washirika wake amabo ndo wanaiongoza nchi hakuna wa kumfunga nyani kengere. JE CDM wanamikakati gani ili kupambana na ufisadi ambao ata ndani ya CDM kwa namna moja ama nyingine unaweza kuwemo?. Kumbuka sasa hivi CDM inajiandaa kupokea mamluki wengi tuu kutoka ccm na kila mmoja anakuja na akili yake na malengo yake, je wote wanakuja kwa ajili ya maslahi ya wananchi?

3 kuna suala la uwajibikaji na kiutendaji kutokana na kurithi mfumo mbovu wa kikoloni na application of DEVIDE AND RULE STRATEGIES (udini, ukanda,ukabira)ambazo zinapigiwa zumali sana na CCM juzi CUF nao naona waliingia mkenge. ni muda muafaka sasa kwa CDM kujipambanua kikamilifu hasa kwa wananchi sije ikawa ya ""IF U DONT CONVINCE THE CONFUSE THEM"" na mangineyo mengi ambayo yanabidi yazingatiwe kwa umakini zaidi.

VIONGOZI wazingatie sana kuwaeleza wananchi sera mbadala, we need changes!!!!!!!!!!







sisi sote ni ndugu tatizo ni ccm
 
Mkuu Pasco kwa muktadha huu tuhesabu Lowasa kesha dondokea pua?
Dah na zile 10m anazotoa bora asitishe tu aendelee kula na wajukuu.
Mkuu Fidel, just read me in between the lines, 2015, Chadema kuchukua nchi only if 1. Watabadilika 2. CCM haitamsimamisha mgombea wangu!.
 
Chadema ikichukua nchi nahama Tanzania naenda "Malawi"

Subiri 2015 kilio cha mamba, wanahangaika ili wapate ku-negoatiate na ccm kabla ya 2015 maana wanajua ndio kifo chao..

Wanataka kupata deal kama la CUF zanzibar mapema ndio maana maandamano usiku na mchana..bureeeeeeeee.

sasa hilo povu lolote mdoni la nini? Acha woga tulia wewe
 
Wanabodi,
Preamble: "Kwa opinion yangu, Uchaguzi wa 2015, Chadema Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...!"!

Trend za Upepo wa Kisiasa kuelekea 2015, zinavuma kwa Kasi ya Ajabu kuelekea Direction ya Mabadiliko (The Wind of Change, is Sweeping Across Tanzania) na kila dalili inaonyesha na kuelekeza Chadema is gaining momentum and there is to stop it kuchukua nchi mwaka 2015 iwapo...

  • Hakuna ubishi kuwa siku zote, CCM imekuwa ikishinda chaguzi mbalimbali "kihalali" na mtaji wao mkubwa wa ushindi ni "watu".
  • Hakuna ubishi kuwa CCM kama chama, kimechoka, dalili zote za chama kichovu kinachosubiri kifo, tayari, zimeisha jitokeza kwa CCM, kinachosubiriwa sasa its only a matter of time ni lini kitaangwa rasmi, hiyo 2015 naiona kama ni mbali sana!.
  • Hakuna ubishi kuwa wengi wa hao "watu", wamekuwa wakuichagua CCM sio kwa sababu wanaipenda sana!, (waipende kwa lipi?), la hasha!, "watu" wamekuwa wakiichagua CCM kwa mazoea tuu!.
  • Hakuna ubishi, kuwa wengi wa hao "watu" waliokuwa kuwa wakiichagua CCM kwa mazoea, sasa wameichoka, hivyo 2015, hawatachagua tena chama kwa mazoea, bali watachagua chama kwa "sababu"!.
  • Hakuna ubishi kuwa Chadema, ndicho chama kinachokubalika zaidi kwa sasa kuliko CCM, hivyo ule mtaji mkubwa wa CCM iliyoutegemea kwa miaka nenda miaka rudi, sasa umehamia Chadema!.
  • Kama ambavyo CCM imekuwa ikichaguliwa kwa mazoea tuu, na sasa CCM imechokwa, vivyo hivyo kwa sasa Chadema haina lolote la kukifanya kipendwe, bali kinapendwa kwa sababu "watu" wameichoka CCM!.
  • Kama utaguzi utaitishwa leo, Chadema itashinda kwa kishindo kikubwa cha ajabu, lakini ukiwauliza hao watakaokipa Chadema ushindi, ni sababu zipi za kuichagua Chadema, hawatakupa sababu yoyote zaidi ya kuichagua Chadema kwa sababu wameichoka CCM!.
  • ili Chadema iweze kupata ushindi wa Tsunami kwa uchaguzi wa 2015, lazima Chadema ikubali kubadilika, isiendelee kuutegemea huu umaarufu wa muda kwa kushangiliwa na umati wa watu walioichoka CCM, bali Chadema sasa lazima iwape Watanzania sababu za kuichagua Chadema.
  • So far so good, Chadema is doing a good job kwa sababu M4C is doing the right thing!. Doing the right thing alone, doesn't guarantee sweet clear victory for Chadema, it got to do things right!. Hii inamaanisha ili Chadema ishinde kwa kishindo kinachotakiwa, lazima ikubali kubadilika and start doing things right besides doing the right thing!.
  • Hivyo ndugu zangu viongozi wa Chadema najua 2015 mmedhamiria kwa dhati kuchukua nchi kwa ushindi wa kishindo!, lakini ili lengo hili litimie, ni lazima kwanza mkubali kusikiliza, pili mkubali kubadilika kwa kuzikiliza hoja zinazotolewa kuhusu Chadema na kuzifanyia kazi!.

Naomba kumalizia kwa nukuu kutoka kwa mmoja wa wanachama wetu humu jf.



Kwa wale wapenzi wa Chadema, for sure, Uchaguzi wa 2015, Chadema inaweza kabisa Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If "Itabadilika" and provided that CCM haitamsimamisha yule mgombea wangu!. Japo ni vema kuwa great expectations on Chadema kuchukua nchi 2015, only if Chadema itabadilika, vinginevyo keep hopping for the best na kama Chadema haitabadilika, you better get prepared for the worst kwa sababu 2015 itakuwa ni CCM Tena!.

NB. Msiniulize Chadema wabadilike nini, wahusika wameshaambiwa imebaki kusikiliza na kutekeleza!.

Naomba kuwasilisha.

Pasco.



Sio tu kuchukua Nchi, (Urais) kuna wabunge na Madiwani CHADEMA inatakiwa kuweka zaidi mkazo hapa kuhakikisha inapata over 60% of member of Bunge ili na madiwani wa kutosha ili kuunda almashauri nyingi na kuwa na uhakika na Waziri Mkuu pamoja na Spika, Urais ni simple, Tume huwa inasubiria matokeo ya majimbo wakishaona wamepata more ndio wanatangaza Urais
 
Pasco, naona umeamua kuwatekenya wafuasi wa Chadema, usiwapake mafuta kwa mgongo wa wa chupa waambie tu ukweli tatizo kubwa la Chadema ni.
a13.jpg


Mchungaji%20Israel%20Natse.JPG


293125_399618333421009_801864624_n.jpg
 
Last edited by a moderator:
majebere kwa nini uiongelei TLP na unaiongelea Chadema? hivi kuna binadamu mwenye akili timamu akatokwa na mipovu kama wewe kwa kitu ambacho siyo threat kwake!!?
 
Last edited by a moderator:
mkuu Mkandara, apo palipopigiwa mstari nadhani hasa panalenga sera mbadala ambazo CDM wanazo zinazoonyesha kwa wananchi ni kwa nini waichague CDM 2015. Sasa nguvu zielekezwe kuelimisha wananchi na kuwapa sera za ukweli za CDM ambazo zinalenga moja kwa moja kwa wananchi ambao ndo walengwa wakuu.
eg 1.CCM wameshindwa kutatua tatizo la ajira, je CHADEMA wanasera gani katika suala la ajira? akuangalia sahivi wajiri wengi wanashirikiana na uhamiaji katika kupokea rushwa na kutoa workpermit ili kupitisha watu kutoka nchi zingine na wengine hawana uwezo kabisa kiutendaji (refer vodacom saga) na kule kwenye hospitality industry. Unajikuta unaletewa makaburu ambaye unamfundisha kazi then after two week ndo anakuwa boss wako.

2. Sasa hivi nchi ipo katika kipindi cha ufisadi mkubwa ambao CCM na washirika wake amabo ndo wanaiongoza nchi hakuna wa kumfunga nyani kengere. JE CDM wanamikakati gani ili kupambana na ufisadi ambao ata ndani ya CDM kwa namna moja ama nyingine unaweza kuwemo?. Kumbuka sasa hivi CDM inajiandaa kupokea mamluki wengi tuu kutoka ccm na kila mmoja anakuja na akili yake na malengo yake, je wote wanakuja kwa ajili ya maslahi ya wananchi?

3 kuna suala la uwajibikaji na kiutendaji kutokana na kurithi mfumo mbovu wa kikoloni na application of DEVIDE AND RULE STRATEGIES (udini, ukanda,ukabira)ambazo zinapigiwa zumali sana na CCM juzi CUF nao naona waliingia mkenge. ni muda muafaka sasa kwa CDM kujipambanua kikamilifu hasa kwa wananchi sije ikawa ya ""IF U DONT CONVINCE THE CONFUSE THEM"" na mangineyo mengi ambayo yanabidi yazingatiwe kwa umakini zaidi.

VIONGOZI wazingatie sana kuwaeleza wananchi sera mbadala, we need changes!!!!!!!!!!

sisi sote ni ndugu tatizo ni ccm
Mkuu the One, nimeipenda sana objectivity yako, M4C imeshalijua hili kuwa target na focus ni "watu", zile hit single ya Mwembeyanga "list ya Mafisadi" imevuka platinum 5, na wimbo wa "CCM Haikufanya hiki na kile" ni sigtune, sasa Chadema need to do more kwa kujielekeza itafanya nini and how?!.
 
Mimi niliwashauri zamani na niliwauliza wana kipi cha kuwaahidi Waislaam? Nyuzi ikaishia kufutwa mbio mbio na moderator mwenye mapenzi na chadema, badala ya kujadili, mwenyewe akidhani anaitengenezea chadema kumbe anaiharibia.

Huo ndio ufinyu mkubwa wa hawa watu. "Hawasikii la muadhini wala mteka maji msikitini".

mkuu zomba wewe unataka kuaidiwa kama muislamu mtanzania JAMANI POMBE YA UDINI HAITAKUFIKISHA POPOTE DHAIDI YA KUJIHARIBIA
 
Mkuu the One, nimeipenda sana objectivity yako, M4C imeshalijua hili kuwa target na focus ni "watu", zile hit single ya Mwembeyanga "list ya Mafisadi" imevuka platinum 5, na wimbo wa "CCM Haikufanya hiki na kile" ni sigtune, sasa Chadema need to do more kwa kujielekeza itafanya nini and how?!.

Good kama haya yanatoka moyoni mwako inapendeza sana, my dought wewe ulishajipambanua sana hapa jamvini kwamba ni mfuasi wa lowassa.
:focus:
Inapendeza kama mpambanaji wa ukweli kuwa na mapungufu yake ambayo akiyazingatia yanamvusha mbele zaidi katika kupambana. Niliiona ratiba ya M4C kuna kipengele cha muda wa tathmini after battle, ni huo muda viongozi na makamanda inabidi waelezane ukweli bila kuangaliana usoni ili kuweza kurekebisha tofauti za ndani ya chama ambazo zipo na zitakuwepo na zitaendelea kuwepo because sisi banadamu hatupo kamili ( hujafa hujaumbika).

tukumbuke ccm hilo suala la kuelezana ukweli halipo but ni zidumu fikra za fulani!!!!!!!! tupige bao sasa.




sisi sote ni ndugu tatizo ni ccm
 
Akili yako ndogo kama piriton i.e. 1kB
Hivi chadema itashinda kwa kura za kina nani? wachagga? wako wangapi nchi hii?

sure kabisa, Sugu mchaga, Lissu mchaga, Slaa mchaga, Zitto mchaga, Wenje mchaga, Silinde mchaga, Mnyika mchaga, Opulukwa mchaga, Shibuda mchaga,Arfi mchaga.
 
hadi leohujajua sababu za watz kukichagua chadema? sababu ni hiz hapa
1.wananchi waliahidiwa maisha bora lakin imekuwa kinyume chake

2.ccm kimekua ni chama cha maficho ya majambaz wa kalam(ufisadi)

3.serikali ya ccm imeshindwa kuwakamata mafisad na imekaa kuwakumbatia

4.kwa miaka 50 tangutupate uhuru chama kukaa madarakan kimeshindwa kutatua kero mbalimbali za wananchi kama vile ujenzi wa shule,nyumba za watumishi,zahanati,upatiakanaji wa dawa na watumishi.
sababu hizo zinatosha kukipigia kura

Kaka hapa umeongea kile kile alichosema Pasco kuwa wananchi wataichagua chadema coz wameichoka ccm na sio kwamba chadema watakuwa wamewaambia wananchi watakachowafanyia!! Uko very right kuwa chadema itachaguliwa sababu ya ccm kutotekeleza ahadi zake, na watu wameichoka. Chadema wameshauriwa kuwa; pamoja na umaarufu unaoshika kasi, wajipambanue zaidi kuwa watatenda nini! Hapa watakuwa wamejiimarisha zaidi ili tusijekujuta kwa kuichagua.
Mungu ibariki Chadema, Mungu ibariki Tanzania!
 
Wimbi hili la mabadiliko M4C ni kubwa sana na kwa mtazamo huo lazima lizae ushindi wa kishindo.Kwa muda huu uliobaki kufikia 2015 CHADEMA ni lazima wajipange namna ya kuwapa kile ambacho Watanzania wanakitegemea.Mojawapo ni kuondoa hii tofauti kubwa iliopo ya kima cha chini cha mshahara na kile cha juu.Muonyeshe ninyi ni tofauti na CCM,mujitofautishe kwa kuwajali Watanzania katika kugawana sawa rasilimali zilizopo hapa nchini.
 
hatutaichagua chadema kwa kua tumechoshwa na ccm ila tutafanya hivyo kwa kua tumechoshwa na upuuzi unaofanywa na viongozi wa ccm.
kila kizuri wamejilimbikizia wao na kuwaachia wananchi ahadi zisizotekelezeka.wamefanya hivyo kwa miaka mingi kwa kua wananchi hawakua wanajua kilichokua kinaendelea kwenye sirikali ila kwa sasa sirikali imekua ukweli na uwazi na kuwaumbua bila kificho vigogo wa nchi hii.
all in all watu wanataka utendaji uliotukuka kama wa john mnyika,zito zuberi,tindu lisu,mbowe silaa na wengine wengi kama akina lema na ndesamburo.:flypig:
 
Kwa hiyo unachotaka ni kwamba CHADEMA waanze kutoa ahadi za kujenga madaja? barabara? masoko n.k? or else toa sample la suluhisho ambalo unategemea CHADEMA walifanye sasa japo kidogo tu.
Mkuu 2nataka sera mbadala ambazo CCM wameshindwa kw miaka 50 sio CHADEMA Kusema CCM IMESHINDWA HIKI NA KILE BILA KUSEMA CHADEMA KUTOA SULUHSHO MBADALA UKTAKA KUHAKIKI HILI NENDA VIJIJINI KW WANANCHI AMBAO HAWAJUI UFISAD WANATAKA SULUHISHO LA MATATIZO YAO
 
Back
Top Bottom