Elections 2015 Kuelekea 2015: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...!

Elections 2015 Kuelekea 2015: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...!

Pasco.Kila mtu ataona juhudi yako ya kutoa ushauri na kujadili sana hoja.Ila hili hapa mimi nabisha.Na nina bisha neno "kihalali" na neno "watu".

Kwa jinsi chaguzo zimeendeshwa ni wazi neno halali si valid kama lilivyo zoezi zima la uchaguzi.Sheria inarushuru tume kutangaza mshindi.Jua kutangaza mshindi si kuchunga ushindi wa mshindi.

Uchaguzi ni process ni process inayoanzi mbali,kuanzia uteuzi, tume kuridhis wateule, kampaeni, kupiga kura, na matokeo.Bila kote kufanyika kwa kiwango kinachokubalika kisheria na uadilifu matokeo yanaweza yasilingane na uhalisia na hivyo kufanya yasiwe "halali au valid" nadhani umeshalewa ninapoelekea.Hakuna ubishi kuwa tume haipo huru na hivyo haina "uhalali" kuleta matokeo "halali".

Tofauti ya CCM na watu wengine ni kwamba CCM kama ilivyo TBS yao huwa wanaangalia matokeo katk zoezi lenye stage nyingi.TBS wanaangali ubora wa Ufungaji wa asali ila hawana uangalizi wala viwango kwa uzalishaji wa asali huko kwa wafugaji wa nyuki,na hivyo kutoguarantee(kutohakikisha au halalisha),ubora wa asali kwa mtumiaji.Ndio maana si TBS walioona kuwa asali ya Tabora ina sumu iliyotokana na sumu iliyipigwa katika tumbaku.Tupo pamoja mkuu wangu?

Kuhusu watu huwezi sema kuwa CCM ilikuwa na mtaji watu halafu ukaenda halalisha kuwa ndio maana CCM kushinda utakuwa unarahisisha sana mambo.This is politics n apolitics mtaji wa kila chama cha kisiasa ni watu,so huwezi sema watu walikuwa mtaji kwa CCM na wasiwe kwa CDM.Nadhani umeshaanza ona how Logically flawed is your concept?

Mtaji watu ni too Obvious and against CCM,tofauti zita base on "how many" people would vote.Na hawa si lazima wawe wanachama.Records zinaonyesha raia walio wanachama kwa ujumla wake ni wachache kuliko wasio wanachama.Kwa hiyo wanachama wa CCM hawana influence sana.CDM walikuwa na impressive records ya kuwa na wahudhuriaji wengi na wao ndio wamechangia kutokeza kwa wapiga kura wengi ingawa pia watu wanegi walikosa kwa kutokuwa na vitambulisho au kuhama n ahivyo kushindwa piga kura.


Hii hoja ni mfu na wametumia sana mkandara na mchambuzi na occasionally Pasco.Tofauti ni lugha tuu katik ya mchambuzi na Mkandara

Na kusisitiza kuwa chadema lazima wabadilike bila kuwa na solution wabadilike katik nini ni kufanya ushauri mfu kama si kuita upinzani.CDM wapo dyanimic na M4C imekuja na concepts za mageuzi na mabadiliko kila idara,kuanzia agenda,propaganda, kuongeza wanachama, etc.Kwa hiyo kitu "kubadilika" si kuwa wewe ndio unawafundisha ila wana ki practice sasa hivi kwa kasi ya ajabu ndio maana CCM wapo katika mawazo yaleyale na propaganda zilezile ila failures zilezile wakati CDM igunga hawakuwa na hata mgombea ila sasa kura walizozipata n astronomical", arumeru hawakuwa na mbunge leo wana mbunge waliyempata kwa kumbana CCM na tume katik kila angle kama hewa inavyobanwa ndani ya tube.


Ushauri si amri kwa hiyo si lazima kuufuata kama unaona hauna manufaa, n aushauri hautolewi kwa mtu kwa kumwambia sokoni kwa kutumia Microphones.

So far wapo successful inaonyesha kuwa wamesikiliza ushauri wa watu wengi,na kuuafanyia kazi,pia wamesikia ushauri wenye malengo ya kipumbavu sana tena mara nyingi sana na hawakuufanyia kazi.mfano upo kwenye ushauri wa WanaCCM ambao hata kushauri chama chao hawajaweza ni vipi wataweza mshauri mpinzani ambaye kila siku anwashida kwa hoja,mbinu na kila kitu.Na its illogical kufikiri kuwa mtu mwenye akili timamu akimshauri adui jinsi ya kushinda vita.Hizi postings ushauri wa wengi ni kama ushauri wa mtu anayetaka fanya "suicide".

Its funny kuwa Mwanakijiji namheshimu na anaheshimika sana katika tasnia ya habari, na hii quote niliona katika thread husika.Ingawa sikuweza ipatia tafsiri sahihi hivyo nikaipotezea na sikuona haja ya kutaka kueleweshwa sana.Ila nakumbuka wapo watu walikuwa wakisuggest sana CDM imjukuishe katik safu ya uongozi.Na mmojawapo ya wachangiaji waliowahi shauri hilo si mwingine ni Mkandara.Its no coincidence huyu controversial mkandara alikwenda mbalia sana kushauri vijana aliowaona kuwa wasomi mmojawapo ni Michuzi. Nadhani unaweza ona mambo jambo issues za wachangiaji humu ndani.Nimekupa hii highlight ili uwezo kuona kwamba kuwa, mbali na wewe kuipa credibility hii posting kwa vile unadhani inasupport nortion zako,pia hatuna hakika kuwa mwanakijiji hakuathirika na mawazo ya akina Mkandara.Na pengine majaribio yake hayakuleta matokeo aliyoyategemea na hivyo hakuwa katika position ya kukubali procedures za kuingia CDM na ku climb ladders.Hii inaweza pia kuelezea kilichoandikwa.

Kwanini watu wasione ugumu wa CDM kushaurika nndio power yao badala yake watu wanakimbilia kuita udhaifu wao?Kwa jinsi nimeona washauri wengi tuu,tena wengine wana wafuasi kibao na katika media wana mawazo ya kukurupuka sana.Pia si best options in a long term.

NIMEONA GAZETI MOJA LINA ARTICLE KAMA WARAKA WA MKANDARA KWA CDM.Sisemi uongo lile gazeti nimeliweka katik list ya vimeo,nimelichanachana palepale.Its funny huyu mkandara anaye fumble kuelezea hiyo "big theory yake ya doing right thing in a right way" hapa JF ndio kapata hiyo coverage nyepesi.Hili ni anguko la utashi na wepesi wa wachambuzi wa taifa.taifa hili limekuwa na magazeti kama takataka tuu,hakuna gazeti mtu anaweza liweka ktik shelf n akulisoma siku unataka angalia concepts na approaches za watu wengine.


Pasco unajua mnakuwa wepesi sana kama wale watu walikuwa wakipigwa na kuwapiga wengine pasi enzi zile kunyoosha na kutibu maumivu ya mgongo.

CDM wala hawahitaji wazo la kubadilika na hata jinsi ya kubadilika,wana njia zao za kupata data na wanafanya choices zao si kwa porojo za vijiweni ina based on conreate facts.

Kuhusu mgombea wako sipendi pinga kuwa ni influencial ila lazima atengue kitendaliwi hiki.(Yeye asiwe Mzigo kwa CCM, na CCM isiwe mziko kwake),pia aweze washawishi wazee wote pale CCM ambao hawapo tayari tena kusubiri miaka inayoweza kuwa 10 au zaidi.Aweze washawishi kwa kiasi cha kuwafanya wakubali kushindwa na kubaki bila hasira na tamaa itakayofanya wamchafue zaidi huku wengine wakijidai kuwa wanamsapport.

NADHANI HAPA NDIPO PANAHITAJI USHAURI WAKO KULIKO CDM.Chadema wanauwezo wa kumbomoa yeyote katik CCM pamoja na CCM yenyewe.ILa watafaidi sana CCM ikijivunja yenyewe.Uchaguzi ujao CDM ikiwepo yeyote atakayesimama anashinda kama hakuna big and samart move upande wa CCM."Big sacrifice".

Muda si mrefu msajili wa vyama anakuwa useless kw ahivyo hawezi futa CDM tena, majeshi tayari kuna vijana kibao si wana CCM achilia mbali wazee.

"Naomba msinione kuwa mnoko n ampiga sumu katika kila mazalia yenu"


Mkuu ukitaka kupunguza pressure jifunze kuchukulia mambo in a positive way.
Umemjibu pasco kwa busara but kuna chuki ndani yake, mimi ni mwanachama wa chadema so ikitokea mtu kakunyoshea kidole jiulize tuu kwanini? then unaangalia kama lina manufaa ama la kama halina unalitupilia mbali, kumbuka sio kila ushauri una madhara kwako unaweza utupilia mbali. Viongozi wote ni binadamu kama sisi tukubali kukosolewa then watch our back!!!.




sisi sote ni ndugu tatizo ni ccm
 
Nimegundua humu jamvini chadema mipewa ushauri mnakuja juu, hata kama una manufaa na chama chenu kwanini? nashindwa kuelewa! ni mtu gani asotaka kushauri? hii ni ishara ya chama kibaya, mnataka kujifanya nyie kama nyerere alokataa ushauri na kujifanya kutawala kwa akili zake yeye tu ! hivi mtafika kweli?

hivi nikikuuliza useme ni ushauri gani uliotolewa unaweza kujibu, kama ndivyo basi na mimi nakushauri wewe ujirekebishe na ubadilike la sivyo hutapata maendeleo
 
Hivi chadema itashinda kwa kura za kina nani? wachagga? wako wangapi nchi hii?


Jumlisha wachaga wote wa Mbeya, Mwanza, ubungo, Kawe, Arusha, Arumeru, na kwingine kote ambako Chadema wamekula majimbo yaliyokuwa ya CCM utapata jibu... sawa?
 
Wanabodi,
.......
.Kasi ya Ajabu kuelekea Direction ya Mabadiliko (The Wind of Change, is Sweeping Across Tanzania) na kila dalili inaonyesha na kuelekeza Chadema is gaining momentum and there is to stop it kuchukua nchi mwaka 2015.....
Mkuu Pasco , inshort, hiyo statement hapo Juu ungeiita M4C ungeeleweka zaidi.
 
Mkuu Pasco , Here under are my Comments
Wanabodi,
  • Hakuna ubishi kuwa siku zote, CCM imekuwa ikishinda chaguzi mbalimbali "kihalali" na mtaji wao mkubwa wa ushindi ni"watu". Mkuu Hapa sio Kweli, Hawa Jamaa ni wezi na wacheza rafu wakubwa wakibebwa na Polisi na NEC, reffer Igunga, Sumbawanga na hata Uchaguzi wa Rais
  • Hakuna ubishi kuwa CCM kama chama, kimechoka, dalili zote za chama kichovu kinachosubiri kifo, tayari, zimeisha jitokeza kwa CCM, kinachosubiriwa sasa its only a matter of time ni lini kitaangwa rasmi, hiyo 2015 naiona kama ni mbali sana! Hapa Naungana na wewe, mie hata kesho naiona mbali kusubiri kifo cha CCM
  • Hakuna ubishi kuwa wengi wa hao "watu", wamekuwa wakuichagua CCM sio kwa sababu wanaipenda sana!, (waipende kwa lipi?), la hasha!, "watu" wamekuwa wakiichagua CCM kwa mazoea tuu!., Hapa pia naenda kinyume na wewe though 50 50,kuna ambao wanaichagua CCM baada ya kuhongwa t-shirt, Vitumbua, Ubwabwa n.k
  • Hakuna ubishi, kuwa wengi wa hao "watu" waliokuwa kuwa wakiichagua CCM kwa mazoea, sasa wameichoka, hivyo 2015, hawatachagua tena chama kwa mazoea, bali watachagua chama kwa "sababu"!. Hapa naungana na wwewe
  • Hakuna ubishi kuwa Chadema, ndicho chama kinachokubalika zaidi kwa sasa kuliko CCM, hivyo ule mtaji mkubwa wa CCM iliyoutegemea kwa miaka nenda miaka rudi, sasa umehamia Chadema!. Ni kweli kabisa
  • Kama ambavyo CCM imekuwa ikichaguliwa kwa mazoea tuu, na sasa CCM imechokwa, vivyo hivyo kwa sasa Chadema haina lolote la kukifanya kipendwe, bali kinapendwa kwa sababu "watu" wameichoka CCM!. Mkuu hapa unapotosha, if thats the case , Kwanini hawa jamaa wasiichague CUF, NCCR na waka preffer CHADEMA, still kuna kitu very special na CHADEMA kinachwavutia Wa Tanzania ambacho may be wewe kama Pasco hauja ki note bado
  • Kama utaguzi utaitishwa leo, Chadema itashinda kwa kishindo kikubwa cha ajabu, lakini ukiwauliza hao watakaokipa Chadema ushindi, ni sababu zipi za kuichagua Chadema, hawatakupa sababu yoyote zaidi ya kuichagua Chadema kwa sababu wameichoka CCM!., Mkuu hapa pia sio kweli, Kwanini wasiiichague CUF, TLP, NCCR etc ete??????????why CHADEMA??????????Kuna kitu
  • ili Chadema iweze kupata ushindi wa Tsunami kwa uchaguzi wa 2015, lazima Chadema ikubali kubadilika, isiendelee kuutegemea huu umaarufu wa muda kwa kushangiliwa na umati wa watu walioichoka CCM, bali Chadema sasa lazima iwape Watanzania sababu za kuichagua Chadema. Ni kweli kabisa Mkuu
  • So far so good, Chadema is doing a good job kwa sababu M4C is doing the right thing!. Doing the right thing alone, doesn't guarantee sweet clear victory for Chadema, it got to do things right!. Hii inamaanisha ili Chadema ishinde kwa kishindo kinachotakiwa, lazima ikubali kubadilika and start doing things right besides doing the right thing!. You are absolutely rightPasco
  • Hivyo ndugu zangu viongozi wa Chadema najua 2015 mmedhamiria kwa dhati kuchukua nchi kwa ushindi wa kishindo!, lakini ili lengo hili litimie, ni lazima kwanza mkubali kusikiliza, pili mkubali kubadilika kwa kuzikiliza hoja zinazotolewa kuhusu Chadema na kuzifanyia kazi!. Wamekusoma Mkuu Pasco

 
Mkuu BAK, determinant factor ya ushindi wowote kupitia ballot box ni idadi ya kura halali!. Matokeo yakishatoka, "the end justify the means", kama mshindi alihonga ili apigiwe kura au alichakachua, kura batili zika its way into ballot box, mshindi ni aliyeshinda no matter what!. Hao wanahongwa pilau, t-shirt na kofia na kupiga kura zao in favour ya CCM, kura zao ni halali kwa sababu hiyo ndiyo ridhaa yao!.

Mhe. Pasco,

Thread yako ni sahihi kabisa ingawa katika maelezo yako umejichakachua mwenyewe!

Maelezo yako yananipa shaka kuwa ulichokisema kuhusu CHADEMA kicchukua nchi hakitoki moyoni kwa vile tayari wewe ni mkereketwa,mfurukutwa na mwanachama wa Chama Twawala-CCM. Tayari unadai kuwa ndani ya CCM tayari una mgombea wako ambaye kama hatapendekezwa kugombea Urahisi ndiyo CDM watashinda.....Only If.!!!!

Kwa maana hiyo Pasco wewe tayari una mgombea wako wa CCM akipendekezwa unahakika chama chako Twawala CCM-kitapeta GE 2015. Haya ni mawazo muflisi na mfu kabisa yenye mwelekeo wa ki-Magamba. Kwamba wewe na CCM ni damu damu. Hii inadhihirisha kuwa iwapo CDM watachukua nchi kwako itakuwa ni huzuni kubwa sana na kwa maana hiyo nina hakika utakuwa tayari kufanya Kampeni za chinichini ili kuihujumu CDM hata kama mgombea wako hatakuwepo! Kwako bwana wewe kuchagua kwako unaangalia MTU FULANI binafsi badala ya kuangalia SERA za chama.Huu ni mtazamo potofu!

Kwa watu makini siku zote watachagua SERA na siyo MTU!Let'e me tell you my friend Pasco wewe hata kama MTU wako atapewa nafasi ya kugombea Urahisi kwa tiketi ya Magamba he won't bring any changes to this country provided that the aspirant shall be from within the ruling Party Chamacha-CCM. Mtu au kiongozi binafsi hata kama angekuwa bora kuliko malaika HATAWEZA KUFANYA CHOCHOTE KWA TIKETI YA CCM KWA MAANA KWAMBA HATAWEZA KUANZISHA SERA ZAKE MWENYEWE NJE YA ZILE ZA CCM AMBAZO NDIZO ZITAMWELEKEZA KUTAWALA/KUONGOZA NCHI!Full stop!

Pengine nimalize kwa kusema kwamba CHADEMA wana hakika ya kushinda Uchaguzi 2015 kama Tanzania by 2014 kabla ya GE-2015 tutakuwa tayari tunatumia Katiba Mpya yenye Tume Huru ya Uchaguzi (NEC)! Kumbuka kwamba CHADEMA kwenye Uchaguzi Mkuu 2010 walishinda kwa kishindo lakini NEC chini ya uongozi wa Jaji Lewis Makame wakishirikiana na TISS(UWT)waliamua kuchakachua matokeo ili kuinyima CDM na kuwapa Mabwana zao CCM!!!

Kwa sasa ni dhahiri inaonyesha kuwa Watanzania wana kazi ya ziada ya kufanya kabla ya 2015. Kwanza kuhakikisha kuwa tunapata Katiba Mpya before 2014, lakini la pili ambalo ni la msingi sana ni kwa CHADEMA kuhakikisha kuwa inabadilisha MINDSET za Watanzania wote ili kujiandaa na kukubali mabadiliko baada ya kuchoshwa na uongozi/ mfumo uleule tangu 1960s. Mfumo na uongozi (TANU/CCM)ambao kwa hakika umeshindwa kuwasaidia mamilioni ya Watanzania. Huu ni ukweli ingawa unauma.

Kinachotakiwa kwa sasa ni CCM kujiandaa kisaikolojia kuwa chama cha Upinzani. Tunajua CCM hawataki hilo litokee na wanafanya kila linalowezekana kukwamisha juhudi za CDM kuwakomboa watanzania kutoka kwenye mikono ya Ufisadi na Udikteta. Juhudi za CCM kuikwamisha CDM ziko dhahiri na wazi kabisa hasa ukiangalia matukio ya hivi karibuni ukinzia kwenye Chaguzi ndogo,kwenye Bunge na namna Mikutano ya CDM inavyohujumiwa kwa Jeshi la Polisi kwenda kuua raia wasio na hatia kwenye mikutano na maandamano ya CDM ili kutaka kuhalalisha kuwa CDM ni chama chenye vurugu na hivo kifutwe kutoka kwa Msajili wa Vyama vya siasa bila shaka umeshasikia matamshi ya John Tendwa,Steven Wassira na wengineo. Kwa sasa naishia hapa.
 
Mkuu 2nataka sera mbadala ambazo CCM wameshindwa kw miaka 50 sio CHADEMA Kusema CCM IMESHINDWA HIKI NA KILE BILA KUSEMA CHADEMA KUTOA SULUHSHO MBADALA UKTAKA KUHAKIKI HILI NENDA VIJIJINI KW WANANCHI AMBAO HAWAJUI UFISAD WANATAKA SULUHISHO LA MATATIZO YAO

sema unataka kusikia wanasema nini ili tuone kama ni relevant na kweli hawajawahi kusema.
 
Mimi niliwashauri zamani na niliwauliza wana kipi cha kuwaahidi Waislaam? Nyuzi ikaishia kufutwa mbio mbio na moderator mwenye mapenzi na chadema, badala ya kujadili, mwenyewe akidhani anaitengenezea chadema kumbe anaiharibia.

Huo ndio ufinyu mkubwa wa hawa watu. "Hawasikii la muadhini wala mteka maji msikitini".

Nachokijua mimi ni kwamba CHADEMA wanakubaliana na Waislamu kuwa na Mahakama ya Kadhi na ni matarajio yangu kwamba watawasupport katika kuhakikisha kwamba Kadhi anaoperate effectively

Kitu kingine nakitambua ni kwamba CHADEMA wanashare sentiments na waislamu wengi juu ya uwepo wa BAKWATA, Lakini pia najua hawakubaliani na kuiingiza Tanzania kwenye Jumuiya ya nchi za Kidini ikiwemo OIC. inawezekana yakawapo mambo mengi sana ambayo waislamu wanahitaji direct support ya Serikali ama Idara za Kiserikali na ninauhakika kwamba serikali chini ya CHADEMA haitokuwa nzito kwenye kutoa ushirikiano huo na pia nina uhakika mkubwa sana kwamba kuna baadhi ya mambo watawaambia waislamu kwamba haya hayawezekani.

Ushauri wangu kwa waislamu ama Jumuiya za Kiislamu ni kujiandaa kuwa na viongozi wenye upeo wa kusimamia maslahi yao reasonably ama sivyo SERIKALI ITAENDELEA KUWA SERIKALI
 
Pasco

Wewe kuchagua kwako unaangalia MTU FULANI (LOWASA), badala ya kuangalia SERA za chama. Huu ni mtazamo potofu!
Kwa watu makini siku zote watachagua SERA na siyo MTU, bila ya kumung'unya maneno nasema wewe ni mwandishi kanj'anj'a na wala usitarajie Kiongozi yeyote makini wa CHADEMA atafata ushauri wako.

Hivi unafahamu maana na dhumuni ya kuanzishwa M4C?
Hivi unafahamu CHADEMA bila ya kusikiliza maoni ya wadau na wananchi ingefika hapa ilipo?

Huu ushauri wako ungekuwa na maana kama ungemshauri mgombea wako LOWASA na chama chake cha CCM.

Kamanda Mbowe, Dr Slaa go go go go go go hakuna kulala mpaka kinaeleweka.
 
Last edited by a moderator:
Pasco mbona umetumia maneno mengi sana. Ngoja nikusaidie kusummarize unachotaka kusema. Lets call a spade a spade...
"CCM itashinda iwapo itamsimamisha Edward Lowassa, CHADEMA itashinda iwapo itamsimamisha Zitto Kabwe". Hichi ndicho unachosema na ambacho umekuwa ukisema kila siku.

Kwa jinsi ninavyoifahamu siasa ya Tanzania ninakwambia kuwa swala la uchaguzi 2015 haliwezi kuamuliwa kirahisi namna hiyo. Lets wait and see...
 
Mkuu ukitaka kupunguza pressure jifunze kuchukulia mambo in a positive way.
Umemjibu pasco kwa busara but kuna chuki ndani yake, mimi ni mwanachama wa chadema so ikitokea mtu kakunyoshea kidole jiulize tuu kwanini? then unaangalia kama lina manufaa ama la kama halina unalitupilia mbali, kumbuka sio kila ushauri una madhara kwako unaweza utupilia mbali. Viongozi wote ni binadamu kama sisi tukubali kukosolewa then watch our back!!!.




sisi sote ni ndugu tatizo ni ccm
Sidhani kama nimechukulia negatively .Mwandishi ndio yupo negative kwa hiyo ukimpatia jibu la kweli basi huonekna kuwa negative.My the way mtu haitaji kujitambulisha kuwa mwanachama wa chama au dini fulani ndipo aanze shauri au kushambulia.kwani hiyo haiondoi ukweli, nia au uongo uliondani yake.

Kwanza hajaweka solution ,wala kuonyesha wapi CDM hawafanyi vitu ipasavyo na hiyo hapaonekani hayo mawazo anayopiga kelele humu ndani akiwa na wengine kama si ID nyingine.

Sioni mahali kakosoa viongozi.
 
Pasco mbona umetumia maneno mengi sana. Ngoja nikusaidie kusummarize unachotaka kusema. Lets call a spade a spade...
"CCM itashinda iwapo itamsimamisha Edward Lowassa, CHADEMA itashinda iwapo itamsimamisha Zitto Kabwe". Hichi ndicho unachosema na ambacho umekuwa ukisema kila siku.

Kwa jinsi ninavyoifahamu siasa ya Tanzania ninakwambia kuwa swala la uchaguzi 2015 haliwezi kuamuliwa kirahisi namna hiyo. Lets wait and see...
Mkuu wangu labda niwafahamishe kile Pasco amekuwa akizungumzia sana hapa JF muda mrefu ila watu wameshindwa kumwelewa..
Kwa jinsi nilivyomfahamu mimi anasema ya kwamba CCM inakufa inapoteza umaarufu wake vibaya sana kutokana na viongozi wake wenyewe. Sio sera wala upinzani wa Chadema isipokuwa adui mkubwa wa CCM ni CCM wenyewe..

Na katika kifo hiki yupo mhusika mkubwa anaitwa Lowassa ambaye anajiandaa kuingia magogoni kwa hali na mali.. Kwa jinsi anavyomtazama yeye kama Lowassa ameweza kukiua chama kizima, kuvunja nguvu ya wazee wote, vingozi wote anaweza kuwapelekesha CCM hadi anakosa mshindani basi hakuna mtu mbora zaidi yake CCM, hivyo bila shaka EL atachukua nchi. He is the only one working hard kuingia Ikulu. Kwa hiyo maneno ya mwalimu aliposema mtu yeyote anayetaka kuingia IKULU, mwogopeni kama ukoma yatatimia tena... Lakini inaonyesha hakuna woga huo na safari ya EL kuelekea magogoni inaonekana wazi na nyeupe pasipo upinzani - he deserve to win.

Na kuhusu Chadema kama chama cha Upinzani kuna sehemu ambazo inatakiwa tuziangalie ili chama kichukue ushindi uchaguzi wa 2015 na sii kutegemea kifo cha CCM maana kule ana hakika EL ni mshindi. Kwa maana ya kwamba Chadema kama chama kinalenga IKULU na mshindani wao mkubwa ni EL sio CCM. Hivyo kumtaja kwake EL ni kutokana na karata zilizopo mkononi. Ndio maaana hawataji CUF wala TLP ktk ushindani huu isipokuwa Chadema, hivyo kwa mwana CUF anaweza kusema Pasco ni Chadema vile vile..Pasco hachambui bali anatupa mpunga ulosagwa, mpunga ulojaa pumba na mchele hivyo ni kazi yetu sisi kuchekecha na kucchukua tunachokihitaji sio kazi yake yeye wala amesema kile yeye anachokihitaji.

Tutazungumza mengi sana hapa JF, iwe kwa kubishana, kusodoana, uzushi na hata wengine kudiriki kusema uongo juu ya Mkandara wasiyemjua. Sijui nina ID nyingi, niliishauri Chadema wampe Mwanakijiji nafasi ya Uongozi na sijui Michuzi yaani kuna vitu hata kuvitafuna nashindwa. Ila yanibidi nikubali kuwa binadamu wote sio sawa, wengine ushauri kwao ni tusi, ushauri ni dharau ya kuwaona wao wajinga kiasi gani hadi uwape ushauri maana chama hiki ni chao wao, wewe mtu wa kuja inakuuma nini?.

La muhimu ni kutazama ujumbe japokuwa Pasco hasemi wazi kabisa ila anatupa hint yaani mchele wenye pumba tuuchekeche sisi wenyewe na kutoa Pumba tusitake sana kutafuniwa kila kitu.. CCM inajimaliza yenyewe na EL yupo ktk maandalizi ya kuelekea IKULU, Je sisi tumejiandaa vipi kupambana na sura mpya inayojiandaa kuingia IKULU otherwise yeye ndiye atakuwa mshindi na halali kabisa kupitia ballot box..
 
Mkuu Pasco,
nimeheshimu bandiko lako kwani umechambua kadri ulivyoona utushirikishe fikra yako. Lakini mkuu wakati unachambua, umetutega kwa fikra yako yenye SHARTI kwa mabadiliko.

Umekiri kuwa ccm imechokwa, lakini wingi wa maelezo yako unapapasa papasa tu bila kueleza kinagaubaga "nini kimewachosha" hawa wananchi. Lakini kama ilivyo ada, ukichoka, pumziko ndio hamu yako, pumziko mkuu pasco halina shart, tulichoshwa na ufisadi, tutapumzika kufisadiwa, tulichoshwa na wizi, tutapumzika kuibiwa, tumechoshwa na rushwa, tutapumzika kuhonga, tumechoka kudanganywa, tutapumzika kwa kuambiwa ukweli.

Listi ni ndefu, lakini kitendawili cha uzi wako kinateguliwa na uelewa wa pamoja ama mmoja mmoja ya kuwa nguvu ya wananchi inaweza kuhoji kama si kuzuia yale yaliyosababisha uchovu chini ya ccm. "KAMA" imeharibu you good and constructive analysis.
 
Last edited by a moderator:
Mimi niliwashauri zamani na niliwauliza wana kipi cha kuwaahidi Waislaam? Nyuzi ikaishia kufutwa mbio mbio na moderator mwenye mapenzi na chadema, badala ya kujadili, mwenyewe akidhani anaitengenezea chadema kumbe anaiharibia.

Huo ndio ufinyu mkubwa wa hawa watu. "Hawasikii la muadhini wala mteka maji msikitini".

Nimesoma pia comment za wana JF wengine ktk uzi huu unaoendelea kuhusiana na hili. Sio mambo ya udini, lakini Waislam wana kero zao ambazo wanazidai au wanataka zitatuliwe na serikali iliyopo madarakani au itakayokuja. kwa vile labda CCM imeshindwa kutatua kero hizi, wanatakiwa wageukie CDM kujua watatatuaje kero za Waislam ili waandae kura zao badala ya CUF au CCM au NCCR Mageuzi au chama kingine. Tukumbuke wapigakura wanachagua pia Sera zitakazo wawezesha kutekeleza Ibada zao kama raia bila kuathiri wengine. CDM sera zenu zinasemaje?
 
Mkuu wangu labda niwafahamishe kile Pasco amekuwa akizungumzia sana hapa JF muda mrefu ila watu wameshindwa kumwelewa..
Kwa jinsi nilivyomfahamu mimi anasema ya kwamba CCM inakufa inapoteza umaarufu wake vibaya sana kutokana na viongozi wake wenyewe. Sio sera wala upinzani wa Chadema isipokuwa adui mkubwa wa CCM ni CCM wenyewe..

Na katika kifo hiki yupo mhusika mkubwa anaitwa Lowassa ambaye anajiandaa kuingia magogoni kwa hali na mali.. Kwa jinsi anavyomtazama yeye kama Lowassa ameweza kukiua chama kizima, kuvunja nguvu ya wazee wote, vingozi wote anaweza kuwapelekesha CCM hadi anakosa mshindani basi hakuna mtu mbora zaidi yake CCM, hivyo bila shaka EL atachukua nchi. He is the only one working hard kuingia Ikulu. Kwa hiyo maneno ya mwalimu aliposema mtu yeyote anayetaka kuingia IKULU, mwogopeni kama ukoma yatatimia tena... Lakini inaonyesha hakuna woga huo na safari ya EL kuelekea magogoni inaonekana wazi na nyeupe pasipo upinzani - he deserve to win.

Na kuhusu Chadema kama chama cha Upinzani kuna sehemu ambazo inatakiwa tuziangalie ili chama kichukue ushindi uchaguzi wa 2015 na sii kutegemea kifo cha CCM maana kule ana hakika EL ni mshindi. Kwa maana ya kwamba Chadema kama chama kinalenga IKULU na mshindani wao mkubwa ni EL sio CCM. Hivyo kumtaja kwake EL ni kutokana na karata zilizopo mkononi. Ndio maaana hawataji CUF wala TLP ktk ushindani huu isipokuwa Chadema, hivyo kwa mwana CUF anaweza kusema Pasco ni Chadema vile vile..Pasco hachambui bali anatupa mpunga ulosagwa, mpunga ulojaa pumba na mchele hivyo ni kazi yetu sisi kuchekecha na kucchukua tunachokihitaji sio kazi yake yeye wala amesema kile yeye anachokihitaji.

Tutazungumza mengi sana hapa JF, iwe kwa kubishana, kusodoana, uzushi na hata wengine kudiriki kusema uongo juu ya Mkandara wasiyemjua. Sijui nina ID nyingi, niliishauri Chadema wampe Mwanakijiji nafasi ya Uongozi na sijui Michuzi yaani kuna vitu hata kuvitafuna nashindwa. Ila yanibidi nikubali kuwa binadamu wote sio sawa, wengine ushauri kwao ni tusi, ushauri ni dharau ya kuwaona wao wajinga kiasi gani hadi uwape ushauri maana chama hiki ni chao wao, wewe mtu wa kuja inakuuma nini?.

La muhimu ni kutazama ujumbe japokuwa Pasco hasemi wazi kabisa ila anatupa hint yaani mchele wenye pumba tuuchekeche sisi wenyewe na kutoa Pumba tusitake sana kutafuniwa kila kitu.. CCM inajimaliza yenyewe na EL yupo ktk maandalizi ya kuelekea IKULU, Je sisi tumejiandaa vipi kupambana na sura mpya inayojiandaa kuingia IKULU otherwise yeye ndiye atakuwa mshindi na halali kabisa kupitia ballot box..

Mkandara na Pasco naomba Mjaze Jedwari hili alafu tuendelee
[TABLE="width: 715"]
[TR]
[TD="colspan: 6"]Mnyambulisho wa Usikivu wa CHADEMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] [/TD]
[TD]USHAURI[/TD]
[TD]MANTIKI[/TD]
[TD]MAPOKEO YA USHAURI[/TD]
[TD]UTEKELEZAJI[/TD]
[TD]MATOKEO[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]1[/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]2[/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]3[/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]4[/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]5[/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]6[/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]7[/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]8[/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[TD] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 3"]Ushauri- Aina ya ushauri uliotolewa kwa CHADEMA[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 3"]Mapokeo - Chama kiliupokea ushauri au hapana [/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 3"]Utekelezaji - Chama kiliufanyia kazi ushauri au hapana[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 4"]MATOKEO - Matokeo ya kuufanyanyia au kutokuufanyia kazi ushauri[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]Mantiki ya kutoa ushauri ni nini?[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Ama sivyo mkae kimya mpaka siku ya vifo vyenu.
 
Mkuu wangu labda niwafahamishe kile Pasco amekuwa akizungumzia sana hapa JF muda mrefu ila watu wameshindwa kumwelewa..
Kwa jinsi nilivyomfahamu mimi anasema ya kwamba CCM inakufa inapoteza umaarufu wake vibaya sana kutokana na viongozi wake wenyewe. Sio sera wala upinzani wa Chadema isipokuwa adui mkubwa wa CCM ni CCM wenyewe..
Mkandara hila na uongo kitu kigumu kikilinda haswa uongo ukiwa ni plan ya muda mrefu.mambo mengi yanmeongelewa humu ndani na kila ulipobanwa hujachomoka.Na kwa vile una buy time tena halafu urudi kwa kuanzia tena moja kam ilivyo kawaida yenu,basi tegemea kukuta upinzani mkali sana.Kama ungekuwa makini usingefanya haya majaribio tena.

Unazidi thibitisha ulivyokosa concistency na ujasiri wa kukubali kuchemsha.Ulisema CCM kama sisiemi inakubaliaka na kupendwa.Ni mgombea sahihi tuu anahitajika.Ila ulichoandika kwa mbwembwe hapo juu ni wazi kuwa "CCM inakufa na inateza umaarufu wake vibaya sana", ni lugha nyingine ya kusema kinyume na zile propaganda za mwanzo.

Kwanini unadhani kuwa si upinzani wa CDM?basi tupe maelezo kwanini basi iswe CUF au chama kingine?
Na katika kifo hiki yupo mhusika mkubwa anaitwa Lowassa ambaye anajiandaa kuingia magogoni kwa hali na mali.. Kwa jinsi anavyomtazama yeye kama Lowassa ameweza kukiua chama kizima, kuvunja nguvu ya wazee wote, vingozi wote anaweza kuwapelekesha CCM hadi anakosa mshindani basi hakuna mtu mbora zaidi yake CCM, hivyo bila shaka EL atachukua nchi. He is the only one working hard kuingia Ikulu. Kwa hiyo maneno ya mwalimu aliposema mtu yeyote anayetaka kuingia IKULU, mwogopeni kama ukoma yatatimia tena... Lakini inaonyesha hakuna woga huo na safari ya EL kuelekea magogoni inaonekana wazi na nyeupe pasipo upinzani - he deserve to win.

Na kuhusu Chadema kama chama cha Upinzani kuna sehemu ambazo inatakiwa tuziangalie ili chama kichukue ushindi uchaguzi wa 2015 na sii kutegemea kifo cha CCM maana kule ana hakika EL ni mshindi. Kwa maana ya kwamba Chadema kama chama kinalenga IKULU na mshindani wao mkubwa ni EL sio CCM. Hivyo kumtaja kwake EL ni kutokana na karata zilizopo mkononi. Ndio maaana hawataji CUF wala TLP ktk ushindani huu isipokuwa Chadema, hivyo kwa mwana CUF anaweza kusema Pasco ni Chadema vile vile..Pasco hachambui bali anatupa mpunga ulosagwa, mpunga ulojaa pumba na mchele hivyo ni kazi yetu sisi kuchekecha na kucchukua tunachokihitaji sio kazi yake yeye wala amesema kile yeye anachokihitaji.

Nashindwa elewa kwanini umekuwa na lame excuse na explainations muda wote huu na bado hukubanwa vyema.Hapa kwa lugha nyingine ni kusema kuwa umekacha ile idea yako kuwa CCM inakubalika na hivyo ndiye mpinzani wa CDM, sasa unasema EL ndie mpinzani wa CDM.Sijui unaelewa usemacho au ndio kukosa consisstency kama ilivyo kawaida yako.Sijui unasema nin hapa.

hapa hiyo habari ya pumba sijui na mchele haina maana,kwani chadema alipofikia ni kwamba yupo tayari kupambana na yoyote.Kuanzia chama chochote hadi mgombea yoyote.Sasa kama CCM watakuja kama kundi na jemedari wao EL ama watakuja wakiwa mafungu mafungu hiyo haimaanishi CDM atwaacha.By the way wote manrudi kwenye kile kitendawili cha nilichokiwekea thread yake(Ama mgombea awe mzigo ama CCM iwe mzigo ama wote wawe mzigo mmoja mkubwa na si vinginevyo).Nimeweka wazi kabisa kuwa atakeyeshinda wenzie basi ama afe na CCM ama afike katik uchaguzi mkuu akiwa dhaifu sana kiasi kuweza ishinda cdm yenye mgombea yoyote.Sasa mnaelekea niliposema ktk thread yangu ya EL na hitajiko la Big sacrifice.
Tutazungumza mengi sana hapa JF, iwe kwa kubishana, kusodoana, uzushi na hata wengine kudiriki kusema uongo juu ya Mkandara wasiyemjua. Sijui nina ID nyingi, niliishauri Chadema wampe Mwanakijiji nafasi ya Uongozi na sijui Michuzi yaani kuna vitu hata kuvitafuna nashindwa. Ila yanibidi nikubali kuwa binadamu wote sio sawa, wengine ushauri kwao ni tusi, ushauri ni dharau ya kuwaona wao wajinga kiasi gani hadi uwape ushauri maaa chama hiki chao wao, wewe inakuuma nini?.
Acha kuzunguka mbuyu sema ni mimi ndiye niliyesema na thread zipo kibao.Pengine ni wewe useme kwa kiasi gani huo ushauri haukuwa affect uliwa propose?Michuzi tayari michango ya watu inaonyesha kuwa yupo tayari ficha ukweli ili afurahishe utawala uliopo.Hii ni proof kuwa CDM walikuwa sahihi na wewe kwa mara nyingine tena umeonyesha jinsi ulivyo ktk njia potofu.

Mukandara watu wana akili timamu na ushari is shuruti, wako umekuwa wa hovyo kama si wa hila na umeamua kuufanya wa hila.Pengine nikupe ushauri wa hiari, kama umebeba unga usipite palipo na canine especially "dogs".utaumbuka hata kama siku hiyo hukupena ondoa "udhu".

Mtapiga sana mtungo hizi propaganda zenu(zako), mkirudiarudia na kupean support bila mwisho ila ktk kila eneo rational minds hazitakubaliana nanyi.Mara kibao umelichukia jukwaa la siasa kwa vile huingii akilini.
La muhimu kwetu ni kutazama ujumbe japokuwa Pasco hasemi wazi kabisa ila anatupa hint yaani mchele wenye pumba tuuchekeche sisi wenyewe na kutoa Pumba tusitake sana kutafuniwa ila kitu.. CCM inajimaliza yenyewe na EL yupo ktk maandalizi ya kuelekea IKULU, Je sisi tumejiandaa vipi kupambana na sura mpya inayojiandaa kuingia IKULU otherwise yeye ndiye atakuwa mshindi na halali kabisa kupitia ballot box..

Mkandara sasa unaboa, wewe kila kitu kimethibitisha kuwa wewe si mwana CDM na kam ni mwana CDM basi yule msaliti kibaraka wa CCM.Hujaweza jinasua katika hilo.wewe hata katik thread zako za nyuma JJ Mnyika alishawahi kusema kuwa wewe si mwana CDM na hukuweza pinga hilo.Na postings zako mojawapo nimweka katik "waraka" wako ukashindwa jinasua.Nini tena kinakuwasha mpaka ujinasibu kama mwana CDM.?Sisi wewe na nani?katika CDM ipi?
 
Pasco,

Umenena vema,ni rahisi sana kukosoa na kurekebisha makosa.au niseme ni rahisi sana kutazama boriti lililo ndani ya jicho la mwenzako,LAKINI nivigumu sana kuwa sehemu ya hayo mazuri unayoyafikiria.

Jamani serikali ya CCM haiwachoshi tu bibi,shangazi,na watoto wa wanachama wa chadema.Sote tumepigika,sote Tunaumia,sote tunateseka.NI lini!!!!!!!! kauli hizi za kunyooshea vidole wengine kwamba wafanye hivi wafanye vile zitakomeshwa.

Huu ni mda wa kufanya maamuzi na kusimama upande mmoja.kama uko CCM zungumza kama mwanaCCM na kama ni mpambanaji simama ujibainishe na kuwa sehemu ya mabadiliko.

Tuachane na uvuguvugu ndio unaochelewesha safari yetu ya ukombozi,nchi hii bwana,

walimu vuguvugu
madaktari vuguvugu
waandishi vuguvugu
wanasiasa vuguvugu

Tatizo liko hapo.!!!!!!!!

EVERYBODY HAS TO CHANGE .

Uko sahihi sana,

Mimi nataka kufahamu hawa wanaongea sana wao mchango wao ni upi???, au ndiyo waliotusababishia haya matatizo.

Inashangaza sana kuona watu hawa wamekuwa wakiirekebisha CDM kuliko hata CCM ambayo kimsingi ndiyo imetupoteza kwa hii miaka 50+,

Sishangai kuona watu hawa ndiyo watakuja kujitangaza washindi na wenye mchango mkubwa kwenye mafanikio ya CDM katika ukombozi wa waTZ.
 
Jumlisha wachaga wote wa Mbeya, Mwanza, ubungo, Kawe, Arusha, Arumeru, na kwingine kote ambako Chadema wamekula majimbo yaliyokuwa ya CCM utapata jibu... sawa?

teh teh...jumlisha waliopo "malawi, china, dubai ,etc" .Kuongezea uthibitisho wa failures za serikali.Nao watambiwa wanadhoofisha juhudi za serikali kupata ushidni katik suala la ziwa nyasa , "china" wataambiwa wanajaribu ichonganisha serikali na comrade wa kichina,"Dubai" pengine wanaipigia deal zenj.
 
Mkandara hila na uongo kitu kigumu kikilinda haswa uongo ukiwa ni plan ya muda mrefu.mambo mengi yanmeongelewa humu ndani na kila ulipobanwa hujachomoka.Na kwa vile una buy time tena halafu urudi kwa kuanzia tena moja kam ilivyo kawaida yenu,basi tegemea kukuta upinzani mkali sana.Kama ungekuwa makini usingefanya haya majaribio tena.

Unazidi thibitisha ulivyokosa concistency na ujasiri wa kukubali kuchemsha.Ulisema CCM kama sisiemi inakubaliaka na kupendwa.Ni mgombea sahihi tuu anahitajika.Ila ulichoandika kwa mbwembwe hapo juu ni wazi kuwa "CCM inakufa na inateza umaarufu wake vibaya sana", ni lugha nyingine ya kusema kinyume na zile propaganda za mwanzo.

Kwanini unadhani kuwa si upinzani wa CDM?basi tupe maelezo kwanini basi iswe CUF au chama kingine?


Nashindwa elewa kwanini umekuwa na lame excuse na explainations muda wote huu na bado hukubanwa vyema.Hapa kwa lugha nyingine ni kusema kuwa umekacha ile idea yako kuwa CCM inakubalika na hivyo ndiye mpinzani wa CDM, sasa unasema EL ndie mpinzani wa CDM.Sijui unaelewa usemacho au ndio kukosa consisstency kama ilivyo kawaida yako.Sijui unasema nin hapa.

hapa hiyo habari ya pumba sijui na mchele haina maana,kwani chadema alipofikia ni kwamba yupo tayari kupambana na yoyote.Kuanzia chama chochote hadi mgombea yoyote.Sasa kama CCM watakuja kama kundi na jemedari wao EL ama watakuja wakiwa mafungu mafungu hiyo haimaanishi CDM atwaacha.By the way wote manrudi kwenye kile kitendawili cha nilichokiwekea thread yake(Ama mgombea awe mzigo ama CCM iwe mzigo ama wote wawe mzigo mmoja mkubwa na si vinginevyo).Nimeweka wazi kabisa kuwa atakeyeshinda wenzie basi ama afe na CCM ama afike katik uchaguzi mkuu akiwa dhaifu sana kiasi kuweza ishinda cdm yenye mgombea yoyote.Sasa mnaelekea niliposema ktk thread yangu ya EL na hitajiko la Big sacrifice.

Acha kuzunguka mbuyu sema ni mimi ndiye niliyesema na thread zipo kibao.Pengine ni wewe useme kwa kiasi gani huo ushauri haukuwa affect uliwa propose?Michuzi tayari michango ya watu inaonyesha kuwa yupo tayari ficha ukweli ili afurahishe utawala uliopo.Hii ni proof kuwa CDM walikuwa sahihi na wewe kwa mara nyingine tena umeonyesha jinsi ulivyo ktk njia potofu.

Mukandara watu wana akili timamu na ushari is shuruti, wako umekuwa wa hovyo kama si wa hila na umeamua kuufanya wa hila.Pengine nikupe ushauri wa hiari, kama umebeba unga usipite palipo na canine especially "dogs".utaumbuka hata kama siku hiyo hukupena ondoa "udhu".

Mtapiga sana mtungo hizi propaganda zenu(zako), mkirudiarudia na kupean support bila mwisho ila ktk kila eneo rational minds hazitakubaliana nanyi.Mara kibao umelichukia jukwaa la siasa kwa vile huingii akilini.


Mkandara sasa unaboa, wewe kila kitu kimethibitisha kuwa wewe si mwana CDM na kam ni mwana CDM basi yule msaliti kibaraka wa CCM.Hujaweza jinasua katika hilo.wewe hata katik thread zako za nyuma JJ Mnyika alishawahi kusema kuwa wewe si mwana CDM na hukuweza pinga hilo.Na postings zako mojawapo nimweka katik "waraka" wako ukashindwa jinasua.Nini tena kinakuwasha mpaka ujinasibu kama mwana CDM.?Sisi wewe na nani?katika CDM ipi?

Hii ni LIVE bila chenga, nakala kwa Pasco na Mkandara

Hapo ktk red ni maneno ya Pasco hayo, Itabadilika nini na kivipi? kwani chadema leo imefika hapo ilipo kwa sababu gani? Eti kama ccm haitamsimamisha yule mgombea wangu!! hivi wewe Pasco una kichaa nini? Lowasa ndio nani ktk nguvu ya umma? Kwa taharifa yako mimi naishi jirani na Monduli huyo Lowasa anaweza kupoteza jimbo 2015 sembuse nchi.
"Kwa wale wapenzi wa Chadema, for sure, Uchaguzi wa 2015, Chadema inaweza kabisa Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If "Itabadilika" and provided that CCM haitamsimamisha yule mgombea wangu!. Japo ni vema kuwa great expectations on Chadema kuchukua nchi 2015, only if Chadema itabadilika".
 
Last edited by a moderator:
Mkandara na Pasco naomba Mjaze Jedwari hili alafu tuendelee
[TABLE="width: 715"]
[TR]
[TD="colspan: 6"]Mnyambulisho wa Usikivu wa CHADEMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD]USHAURI[/TD]
[TD]MANTIKI[/TD]
[TD]MAPOKEO YA USHAURI[/TD]
[TD]UTEKELEZAJI[/TD]
[TD]MATOKEO[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]1[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]2[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]3[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]4[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]5[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]6[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]7[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: right"]8[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 3"]Ushauri- Aina ya ushauri uliotolewa kwa CHADEMA[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 3"]Mapokeo - Chama kiliupokea ushauri au hapana[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 3"]Utekelezaji - Chama kiliufanyia kazi ushauri au hapana[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 4"]MATOKEO - Matokeo ya kuufanyanyia au kutokuufanyia kazi ushauri[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"]Mantiki ya kutoa ushauri ni nini?[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Ama sivyo mkae kimya mpaka siku ya vifo vyenu.

well said mkuu..hawa wachawi wana mumunya maneno si waseme tu watakalo.Niliwahi mwambia mtu humu ndani kwamba katik ku-practice ushirikina wake ana option ya kusema wazi "tumwitwe mganga" ajifiche kuyafanya sirini tumwite "mchawi".
 
Back
Top Bottom