xaverypeter
Member
- Nov 2, 2011
- 45
- 18
Kama kweli jamaa alikuwa msafi na anauchungu na wa TZ angewataja wa husika wa richmond ili wamuamini ni mtendaji na mtetezi. Bt jamaa kiukweli bila kuficha hafai tena hafai coz hakuona shida kuwasulubu wezi bali akabeba msalaba huo ambao hatautua kutoka mioyo ya watu up to the death. Namshauri ndoto hizo za mchana asiote tena. Wa TZ si maiti tena.
Kwanza kabisa majimbo ya Jiji la Arusha na Meru yamepotea kwa upinzani kwa sababu CCM imewasimamisha watu waliopandizwa nae. Sasa tunaomba aturudishie majimbo yetu kwanza. Leo Arusha imekuwa kama Syria. La hasha. Soma alama za nyakati. Akisimaishwa basi upinzani unachukua kilaini.