Kuelekea 2025: Kitu pekee kitakachokiangusha CCM ni Rushwa iliyokithiri

Wameingia mpaka kwenye Ardhi Dodoma yanaiba kweli kweli kupitia kivuli Cha uvamizi wa maeneo ya watu Nkuhungu Matuli Mbwanga yapo kuanzia Mabalozi, wenyeviti mtaa,Diwani inatisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…