Kuna Wilaya viongozi wa CCM ngazi za kata na vijiji ndio mafisadi wanaohujumu miradi ya serikali. Na wanaaminika sana na wamewekwa katika kamati za ujenzi wa miradi (Madarasa na Vituo vya afya). Ni hatari, na hiyo wilaya imekaa kisiasa sana, mtumishi ukizingua unaazimiwa