Kuelekea 2025: Vyombo vya dola vitaruhusu kundi la mgombea Urais lililoamini katika utekaji, upotezaji,na kutupa watu baharini?

Kuelekea 2025: Vyombo vya dola vitaruhusu kundi la mgombea Urais lililoamini katika utekaji, upotezaji,na kutupa watu baharini?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Hili ni kundi ambalo halijatosheka na damu liliyokunywa, na tayari limeanza kujipanga kunywa damu zaidi ya watanzania, kutupa miili yao baharini, kupoteza raia kwa njia ya kuteka kwa magari aina ya Noah, kufukuza watumishi bila kufata taratibu, kuchukua kwa nguvu pesa za wafanyabiashara, mali zao, kutishia Kila mtu jukwaani. Je vyombo vya dola vitaruhusu hawa watu warudi tena? Naona wamemtanguliaza mpaza sauti wao mwenye mdomo mpana, na juzi kipaza sauti kaongea, na mgombea wao anatajwatajwa, mgombea wao naye ni mmoja ya watu makatili sana.

Bila shaka Kila namna itafanywa hawa watu waliotaka kulipasua taifa wasipate nafasi yoyote ya juu kwa mustakabali wa taifa.

Tunatatajia watafuatilialiwa kwa karibu ili mradi wao wa matrilioni waliyoiba ukwame.

Walianza kukodi na kulipa vituo vya Tv, nasikia msanii mmoja wa kiume wameshamnunua, na ndio ameelekezwa asijihusishe na SSH, kama sehemu ya malipo, mdomo mpana alipewa fursa ya kutukana serikali kupitia chombo Cha huyo msanii, na walimuahidi kumlinda.

Mdomo mpana anatembea na listi ya wabunge anaowataka 2025 na mawaziri ameshawapanga, na yeye kaahidiwa uwaziri mkuu, yaani atoke kubeba mabegi ya proposal za NGO akitapeli wazungu aje awe Waziri Mkuu ?
CCM wakiwapa nafasi, basi watalia na kusaga meno.

SSH2025
#KataaWauwaji
#kataaWatekaji
#kataaWatupawatu baharini
 
Kam ni kweli hawa watu wakutupiliwa mbali, nani huyo aliyepangwa mgombea wao,

Hatutaki mateso tena, kwa kuvishwa koti la wanyonge
 
Hili ni kundi ambalo halijatosheka na damu liliyokunywa, na tayari limeanza kujipanga kunywa damu zaidi ya watanzania, kutupa miili yao baharini, kupoteza raia kwa njia ya kuteka kwa magari aina ya Noah, kufukuza watumishi bila kufata taratibu, kuchukua kwa nguvu pesa za wafanyabiashara, mali zao, kutishia Kila mtu jukwaani. Je vyombo vya dola vitaruhusu hawa watu warudi tena? Naona wamemtanguliaza mpaza sauti wao mwenye mdomo mpana, na juzi kipaza sauti kaongea, na mgombea wao anatajwatajwa, mgombea wao naye ni mmoja ya watu makatili sana.

Bila shaka Kila namna itafanywa hawa watu waliotaka kulipasua taifa wasipate nafasi yoyote ya juu kwa mustakabali wa taifa.

Tunatatajia watafuatilialiwa kwa karibu ili mradi wao wa matrilioni waliyoiba ukwame.

Walianza kukodi na kulipa vituo vya Tv, nasikia msanii mmoja wa kiume wameshamnunua, na ndio ameelekezwa asijihusishe na SSH, kama sehemu ya malipo, mdomo mpana alipewa fursa ya kutukana serikali kupitia chombo Cha huyo msanii, na walimuahidi kumlinda.

Mdomo mpana anatembea na listi ya wabunge anaowataka 2025 na mawaziri ameshawapanga, na yeye kaahidiwa uwaziri mkuu, yaani atoke kubeba mabegi ya proposal za NGO akitapeli wazungu aje awe Waziri Mkuu ?
CCM wakiwapa nafasi, basi watalia na kusaga meno.

SSH2025
#KataaWauwaji
#kataaWatekaji
#kataaWatupawatu baharini
Mwanzoni nilikuwa naamini SSH atashika madaraka hadi 2030 japo yupo SLOW lakini siku zinavyoenda na wasiwasi hata CCM itamshinda ukiacha Nchi.
 
Unatumia anonymous ID, lakini bado hauwezi hata kuwataja! What a loser!
 
Kataa wahuni wafiayao!

Kasimu majaliwa

Humphrey polepole

Mc Bashiru Ally

Philip mpango

Nk.

Mama hawa wanaweza hata kukua mda wowote Mana hawajaridhika na wewe
 
Hili ni kundi ambalo halijatosheka na damu liliyokunywa, na tayari limeanza kujipanga kunywa damu zaidi ya watanzania, kutupa miili yao baharini, kupoteza raia kwa njia ya kuteka kwa magari aina ya Noah, kufukuza watumishi bila kufata taratibu, kuchukua kwa nguvu pesa za wafanyabiashara, mali zao, kutishia Kila mtu jukwaani. Je vyombo vya dola vitaruhusu hawa watu warudi tena? Naona wamemtanguliaza mpaza sauti wao mwenye mdomo mpana, na juzi kipaza sauti kaongea, na mgombea wao anatajwatajwa, mgombea wao naye ni mmoja ya watu makatili sana.

Bila shaka Kila namna itafanywa hawa watu waliotaka kulipasua taifa wasipate nafasi yoyote ya juu kwa mustakabali wa taifa.

Tunatatajia watafuatilialiwa kwa karibu ili mradi wao wa matrilioni waliyoiba ukwame.

Walianza kukodi na kulipa vituo vya Tv, nasikia msanii mmoja wa kiume wameshamnunua, na ndio ameelekezwa asijihusishe na SSH, kama sehemu ya malipo, mdomo mpana alipewa fursa ya kutukana serikali kupitia chombo Cha huyo msanii, na walimuahidi kumlinda.

Mdomo mpana anatembea na listi ya wabunge anaowataka 2025 na mawaziri ameshawapanga, na yeye kaahidiwa uwaziri mkuu, yaani atoke kubeba mabegi ya proposal za NGO akitapeli wazungu aje awe Waziri Mkuu ?
CCM wakiwapa nafasi, basi watalia na kusaga meno.

SSH2025
#KataaWauwaji
#kataaWatekaji
#kataaWatupawatu baharini

Hata sijui kwanini mods wanaruhusu uzi kama huu ambao hauna basis na umesheni mihemko. Haustahili kudumu hapa hata kwa robo saa!
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Kataa wahuni wafiayao!

Kasimu majaliwa

Humphrey polepole

Mc Bashiru Ally

Philip mpango

Nk.

Mama hawa wanaweza hata kukua mda wowote Mana hawajaridhika na wewe

Ukituhumu, thibitisha tuhuma zako. It’s that simple!
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Epa , Richmond

Kupeana tenda na ajira kishkaji.

Kuna watu wanapenda maisha ya aina hiyo.
 
Hili ni kundi ambalo halijatosheka na damu liliyokunywa, na tayari limeanza kujipanga kunywa damu zaidi ya watanzania, kutupa miili yao baharini, kupoteza raia kwa njia ya kuteka kwa magari aina ya Noah, kufukuza watumishi bila kufata taratibu, kuchukua kwa nguvu pesa za wafanyabiashara, mali zao, kutishia Kila mtu jukwaani. Je vyombo vya dola vitaruhusu hawa watu warudi tena? Naona wamemtanguliaza mpaza sauti wao mwenye mdomo mpana, na juzi kipaza sauti kaongea, na mgombea wao anatajwatajwa, mgombea wao naye ni mmoja ya watu makatili sana.

Bila shaka Kila namna itafanywa hawa watu waliotaka kulipasua taifa wasipate nafasi yoyote ya juu kwa mustakabali wa taifa.

Tunatatajia watafuatilialiwa kwa karibu ili mradi wao wa matrilioni waliyoiba ukwame.

Walianza kukodi na kulipa vituo vya Tv, nasikia msanii mmoja wa kiume wameshamnunua, na ndio ameelekezwa asijihusishe na SSH, kama sehemu ya malipo, mdomo mpana alipewa fursa ya kutukana serikali kupitia chombo Cha huyo msanii, na walimuahidi kumlinda.

Mdomo mpana anatembea na listi ya wabunge anaowataka 2025 na mawaziri ameshawapanga, na yeye kaahidiwa uwaziri mkuu, yaani atoke kubeba mabegi ya proposal za NGO akitapeli wazungu aje awe Waziri Mkuu ?
CCM wakiwapa nafasi, basi watalia na kusaga meno.

SSH2025
#KataaWauwaji
#kataaWatekaji
#kataaWatupawatu baharini
Si ina wenyewe? Au imetekwa tena...Nyie ndugu mna mambo nyie!

Huu mchezo haumuujui wala hakuna anayeweza kuupangua, just take your cool nchi hii haiwezi kurudisha mafisadi its a decree! Mnapigana na upepo hamjui unakotoka wala unapoelekea
 
Kataa wahuni wafiayao!

Kasimu majaliwa

Humphrey polepole

Mc Bashiru Ally

Philip mpango

Nk.

Mama hawa wanaweza hata kukua mda wowote Mana hawajaridhika na wewe
Acha uchonganishi, pambana na hali yako
 
Back
Top Bottom