Tafuta members wenzio wa Lumumba wanne, mpe kila mmoja ujira wake wa siku (7000*4) inayobaki 2,000 kakaeni bustani ya mnazi mmoja mpate mihogo na maji ya kandoro.Happy New year ndugu zangu,
Mwaka ndio umeanza kwa kasi namna hii na wengine ndio kama hivi weekend hii tunasheherekea birthday π zetu.
Bajeti yangu ni elfu 30 tu nataka mawazo yenu nifanye nini ili angalau hiyo 30 ifanye siku yangu iwe ya kukumbukwa na iliyojaa furaha tele.
Natanguliza shukrani.
Hiyo Hela ipeleke pale Lumumba, CCM watajua kuipangia bajeti.Happy New year ndugu zangu,
Mwaka ndio umeanza kwa kasi namna hii na wengine ndio kama hivi weekend hii tunasheherekea birthday [emoji512] zetu.
Bajeti yangu ni elfu 30 tu nataka mawazo yenu nifanye nini ili angalau hiyo 30 ifanye siku yangu iwe ya kukumbukwa na iliyojaa furaha tele.
Natanguliza shukrani.
Ngoja nikajadiliane kwanza na John the Baptist , Etwege, mama D na Chagu wa Malunde.Tafuta members wenzio wa Lumumba wanne, mpe kila mmoja ujira wake wa siku (7000*4) inayobaki 2,000 kakaeni bustani ya mnazi mmoja mpate mihogo na maji ya kandoro.