Kuelekea Birthday yangu this weekend, nahitaji mchango wenu was mawazo kwa bajeti yangu.

Nishauri namna ya kufanya hivyo kulingana na bajeti yangu.
Nunua vitu vidogo vidogo kama mfuko wa sabuni ya unga, vifuko vya pipi, biskuti...

Wasilisha kwa nyumba ya watoto yatima kama zawadi ya sikukuu na sadaka kwako kuanza mwaka mwingine kiumri...

Utapata thawabu kwa Maulana kuliko ungeitumbua kwa ishu nyingine
 
Asante Sana mkuu hii imekaa vizuri.
 
Toa sadaka kwa wenye uhitaji.
Sawa mkuu,

Nitafanya hivyo, asante Sana kwa mchango wako,

Isingekuwa changamoto za I'D zetu ningekukaribisha tuunganike pamoja katika kulifanya hilo.
 
Nunua kitimoto 1kg (Kama watumia) na wine bariiidii, chenchi tumia nauli (Kama hauna usafiri).
 
Tafuta mtoto yatima mpatie hata 15000 Kama sadaka na uombe hitaji lako kwa Mungu, Kama Mungu kwa sadaka hii naomba unifanyie wepesi nijenge, hiyo inayobaki jifurahishe kwa chochote.
 
Tafuta mtoto yatima mpatie hata 15000 Kama sadaka na uombe hitaji lako kwa Mungu, Kama Mungu kwa sadaka hii naomba unifanyie wepesi nijenge, hiyo inayobaki jifurahishe kwa chochote.
Uko sahihi mkuu,
 
Nunua wanzuki na mmea, ita wana mburn house down. Mimi mambo ya bday yamenipita kushoto labda uwa sisahau kumfanyia mwanangu mimi ya kwangu uwa inanipita hata bila kufahamu isingekuwa Fb notifiation au watu wanaokumbuka kunitumia sms za bday wishes, ningekuwa sikumbuki kabisa.
 
Unafurahia kuliekea kaburi!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…