MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Wakuu,
Game ya Casablanca ni ngumu mno! Lazima uwe na wachezaji waliofiti kifizikia na kiakili muda wote wa mchezo.
Supercoach Robertinho ni fundi ila natoa ushauri mdogo tu. Hiki ndio kikosi changu cha mauaji huko. Mwarabu hatoboi hapa [emoji851]
Aishi Manula
Quattara Inonga Onyango
Kapombe Mzamiru Kanoute Kibu D
Saido Chama
Baleke
Sub: Nyoni, Phiri, Tshabalala, Ally, Sakho, Sawadogo, Kennedy, Banda na Israel.
Mfumo ni 3:4:2:1
Hili ndio kikosi langu, unaweza kutabiri chako. Kila lakheri Lunyasi #nguvumoja
Game ya Casablanca ni ngumu mno! Lazima uwe na wachezaji waliofiti kifizikia na kiakili muda wote wa mchezo.
Supercoach Robertinho ni fundi ila natoa ushauri mdogo tu. Hiki ndio kikosi changu cha mauaji huko. Mwarabu hatoboi hapa [emoji851]
Aishi Manula
Quattara Inonga Onyango
Kapombe Mzamiru Kanoute Kibu D
Saido Chama
Baleke
Sub: Nyoni, Phiri, Tshabalala, Ally, Sakho, Sawadogo, Kennedy, Banda na Israel.
Mfumo ni 3:4:2:1
Hili ndio kikosi langu, unaweza kutabiri chako. Kila lakheri Lunyasi #nguvumoja