Kuelekea dakika ya tisini: "Maoni ya wanachama yasiposikilizwa, CHADEMA njiani kulia na kusaga meno!"

Kuelekea dakika ya tisini: "Maoni ya wanachama yasiposikilizwa, CHADEMA njiani kulia na kusaga meno!"

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Haya si maneno yangu:



Yaliwakuta NCCR ya Marando, yakawakuta CUF ya Lipumba na sasa siyo siri, bundi katua chama pendwa.

Kwamba ilihitaji kufunga kumwombea mwenyekiti hekima ya mfalme Suleiman aache kuvutaniana mtoto?

Looh!

Kwani yakitokea huko kwingine nani hakuyaona?

Kama ilivyo kwa usiku wa deni kumekucha, macho yetu kwa mwamba.

Ngoja tuone.
 
Haya si maneno yangu:

View attachment 3181390

Yaliwakuta NCCR ya Marando, yakawakuta CUF ya Lipumba na sasa siyo siri, bundi katua chama pendwa.

Kwamba ilihitaji kufunga kumwombea mwenyekiti hekima ya mfalme Suleiman aache kuvutaniana mtoto?

Looh!

Kwani yakitokea huko kwingine nani hakuyaona?

Kama ilivyo kwa usiku wa deni kumekucha, macho yetu kwa mwamba.

Ngoja tuone.
safi sana brazaj , hawa watu wa chama pendwa labda watakusikia... Tunako elekea, ipo siku wananchi wataweka ukomo wa madaraka pia kwenye katiba ili liwahusu pia vyama vya upinzani. Kungangania mara nyingi huwa ni kilio na maji siku zote hufuata mkondo. Binadamu kwa hulka yako huwa wanataka mabadiliko, sio static, ukweli huu ndio unapaswa kutambuliwa na viongozi wote wa vyama vya upinzani. Wananchi huwa wanakimbilia sehemu ambako huwa wanaona hope ya madariko. Na hilo bado viongozi hawajalitambua.
 
safi sana brazaj , hawa watu wa chama pendwa labda watakusikia... Tunako elekea, ipo siku wananchi wataweka ukomo wa madaraka pia kwenye katiba ili liwahusu pia vyama vya upinzani. Kungangania mara nyingi huwa ni kilio na maji siku zote hufuata mkondo. Binadamu kwa hulka yako huwa wanataka mabadiliko, sio static, ukweli huu ndio unapaswa kutambuliwa na viongozi wote wa vyama vya upinzani. Wananchi huwa wanakimbilia sehemu ambako huwa wanaona hope ya madariko. Na hilo bado viongozi hawajalitambua.

Tulianza kusema muda mrefu bila kujali kulikuwa na unyanyapaa tokea kwa kina JokaKuu, Allen Kilewella, imhotep, Retired, Pascal Mayalla, Tlaatlaah, Lucas Mwashambwa, Erythrocyte, na wenzao; na bila kujali vyama.

Tukidhani tukiwa kama watanzania tulistahili kilicho bora zaidi.

Kumbe miongoni mwetu kuna walio wajasilia siasa, wa aina za kina Wenje na mashabiki zao wa aina za akina Yoda yoda.

Ngoja hii ngoma ikamilike dakika 90 na mwamba kuamua kusuka au kunyoa.

Tutakuwepo hapa kukumbushana.
 
Tulianza kusema muda mrefu bila kujali kulikuwa na unyanyapaa tokea kwa kina JokaKuu, Allen Kilewella, imhotep, Retired, Pascal Mayalla, Tlaatlaah, Lucas Mwashambwa, Erythrocyte, na wenzao; na bila kujali vyama.

Tukidhani tukiwa kama watanzania tulistahili kilicho bora zaidi.

Kumbe miongoni mwetu kuna walio wajasilia siasa, wa aina za kina Wenje na mashabiki zao wa aina za akina Yoda yoda.

Ngoja hii ngoma ikamilike dakika 90 na mwamba kuamua kusuka au kunyoa.

Tutakuwepo hapa kukumbushana.
maoni na maamuzi ya wajumbe wa mkutano mkuu wa Taifa wa Chadema ambayo ndiyo haswaa maaoni ya wanachadema na waTanzania kwa ujumla,

ni muhimu mno yasikilizwe na kwakweli yaheshimiwe bila kuyahusiha huo ushirikina, utopolo na makolo ya mitandaoni.

Wajumbe wakishaamua,
ndiyo imeisha hiyo na si viginevyo 🐒
 
Haya si maneno yangu:

View attachment 3181390

Yaliwakuta NCCR ya Marando, yakawakuta CUF ya Lipumba na sasa siyo siri, bundi katua chama pendwa.

Kwamba ilihitaji kufunga kumwombea mwenyekiti hekima ya mfalme Suleiman aache kuvutaniana mtoto?

Looh!

Kwani yakitokea huko kwingine nani hakuyaona?

Kama ilivyo kwa usiku wa deni kumekucha, macho yetu kwa mwamba.

Ngoja tuone.
maoni na maamuzi ya wajumbe wa mkutano mkuu wa Taifa wa Chadema, kwa niaba ya wanainchi ni muhimu sana yakaheshimiwa na kila mwanachadema, hiyo ndiyo sauti ya Mungu 🐒
 
maoni na maamuzi ya wajumbe wa mkutano mkuu wa Taifa wa Chadema ambayo ndiyo haswaa maaoni ya wanachadema na waTanzania kwa ujumla,

ni muhimu mno yasikilizwe na kwakweli yaheshimiwe bila kuyahusiha huo ushirikina, utopolo na makolo ya mitandaoni.

Wajumbe wakishaamua,
ndiyo imeisha hiyo na si viginevyo 🐒

Bila shaka ukimaanisha hawa hapa:

GeqFYhVWsAAcU0W.jpeg


Haipo shaka mnamhutaji sana!
 
maoni na maamuzi ya wajumbe wa mkutano mkuu wa Taifa wa Chadema, kwa niaba ya wanainchi ni muhimu sana yakaheshimiwa na kila mwanachadema, hiyo ndiyo sauti ya Mungu 🐒

"Hivi huyu Abduli ana cheo gani kwenye serikali ya CCM?"

Samahani lakini kukuuliza nje ya mada.
 
Tulianza kusema muda mrefu bila kujali kulikuwa na unyanyapaa tokea kwa kina JokaKuu, Allen Kilewella, imhotep, Retired, Pascal Mayalla, Tlaatlaah, Lucas Mwashambwa, Erythrocyte, na wenzao; na bila kujali vyama.

Tukidhani tukiwa kama watanzania tulistahili kilicho bora zaidi.

Kumbe miongoni mwetu kuna walio wajasilia siasa, wa aina za kina Wenje na mashabiki zao wa aina za akina Yoda yoda.

Ngoja hii ngoma ikamilike dakika 90 na mwamba kuamua kusuka au kunyoa.

Tutakuwepo hapa kukumbushana.
Bado unaamini Mbowe kugombea?

Yaani Lissu achukue fomu upite wiki arejeshe, Kisha Mbowe ndipo aanze kwenda kuchukua fomu J3?

Leo ni kutaelewesha wenzie dhamira ya kutogombea na kuhakikisha chama kinabaki kimoja
 
Bado unaamini Mbowe kugombea?

Yaani Lissu achukue fomu upite wiki arejeshe, Kisha Mbowe ndipo aanze kwenda kuchukua fomu J3?

Leo ni kutaelewesha wenzie dhamira ya kutogombea na kuhakikisha chama kinabaki kimoja

Kwani kama nia ilikuwa njema kulikoni kuacha hadi hali ya hewa kuchafuka chamani kiasi hiki?
 
Haya si maneno yangu:

View attachment 3181390

Yaliwakuta NCCR ya Marando, yakawakuta CUF ya Lipumba na sasa siyo siri, bundi katua chama pendwa.

Kwamba ilihitaji kufunga kumwombea mwenyekiti hekima ya mfalme Suleiman aache kuvutaniana mtoto?

Looh!

Kwani yakitokea huko kwingine nani hakuyaona?

Kama ilivyo kwa usiku wa deni kumekucha, macho yetu kwa mwamba.

Ngoja tuone.
Tumempa Mwamba wakati mgumu.
Nyama iko mdomoni tunamwambia ateme, ateme ateme tena hahaha.
Mwamba Mwamba Mwamba temaaa🤣
 
brazaj wengine hatuuchukulii uchaguzi wa CHADEMA mwaka huu kama tu ni ishara ya demokrasia ndani ya chama, bali kama ni kipimo pia Cha uimara wetu.

Hofu ya watanzania kuhusu "kusambaratika" kwa chama kama Mbowe na Lissu wote wakigombea nafasi ya Uenyekiti Taifa, ni ishara ya ndani kabisa ya kuzoea utawala wa kisultani.

Kipimo kimojawapo cha demokrasia, ni kuheshimu Katiba ya taasisi husika. Mkutano Mkuu wa CHADEMA ndicho chombo cha juu kabisa cha maamuzi ndani ya chama.

Mwaka 2006 mkutano Mkuu wa CHADEMA uliamua kuondoa ukomo wa uongozi ndani ya nafasi zote za kiuongozi ndani ya CHADEMA.

Maana yake ni kuwa wenyewe CHADEMA waliamua mtu yeyote anayetaka nafasi yoyote ndani ya CHADEMA, anaweza kugombea mara nyingi awezavyo, bila ya kizuizi.

Mkutano Mkuu ukaweka ukomo wa kugombea kwenye mikono ya wanachama wa CHADEMA. Yaani kikomo cha mtu kuwa kiongozi ni wapiga kura ndani ya CHADEMA kumkataa akigombea.

Na hili si jambo la ajabu Sana. Uongozi ndani ya chama si kama uongozi wa dola, lakini hata dola kuna nchi hazina ukomo wa mtu kuwa kiongozi wa nchi hizo.

Ujerumani ni mojawapo wa nchi hizo, Helmut Kohl na Angela Merkel waliongoza Kwa zaidi ya miaka 15 mpaka walipoondoka madarakani.

Ninachomaanisha ni nini. Wapiga kura wa CHADEMA wasifanywe hawana uwezo wa kufikiri jambo lipi ni bora kwa chama chao. Hata Sasa kuna minyukano ya hoja ndani ya chama kati ya wafuasi wa Mbowe na wafuasi wa Lissu.

Kitu pekee watu wanatakiwa kuhimiza, ni uchaguzi uwe wa wazi, huru na unaofuata misingi yote ya kidemokrasia ya CHADEMA.

Hoja ya nani agombee au nani asigombee ni hoja ya kipropaganda iliyoanzia CCM. Wajumbe wa CHADEMA wana akili timamu waachiwe wafanye maamuzi kwa niaba ya wanachama wenzao ambao si wapiga kura.
 
Tumempa Mwamba wakati mgumu.
Nyama iko mdomoni tunamwambia ateme, ateme ateme tena hahaha.
Mwamba Mwamba Mwamba temaaa🤣

Anayo option moja tu ambayo wala haikuhitaji kuisubiria leo.
 
Kwani kama nia ilikuwa njema kulikoni kuacha hadi hali ya hewa kuchafuka chamani kiasi hiki?
Njia ya propaganda ni njema na ya haraka kufufuka CHADEMA iliyorudishwa nyuma na Magu Hasa kipindi hiki kuelekea uchaguzi

Sasa CHADEMA unazidi kuwa maarufu haijalishi inaongelewa Kwa mema au mabaya, muhimu ni kutawala kwenye vinywa vya wananchi
 
brazaj wengine hatuuchukulii uchaguzi wa CHADEMA mwaka huu kama tu ni ishara ya demokrasia ndani ya chama, bali kama ni kipimo pia Cha uimara wetu.

Hofu ya watanzania kuhusu "kusambaratika" kwa chama kama Mbowe na Lissu wote wakigombea nafasi ya Uenyekiti Taifa, ni ishara ya ndani kabisa ya kuzoea utawala wa kisultani.

Kipimo kimojawapo cha demokrasia, ni kuheshimu Katiba ya taasisi husika. Mkutano Mkuu wa CHADEMA ndicho chombo cha juu kabisa cha maamuzi ndani ya chama.

Mwaka 2006 mkutano Mkuu wa CHADEMA uliamua kuondoa ukomo wa uongozi ndani ya nafasi zote za kiuongozi ndani ya CHADEMA.

Maana yake ni kuwa wenyewe CHADEMA waliamua mtu yeyote anayetaka nafasi yoyote ndani ya CHADEMA, anaweza kugombea mara nyingi awezavyo, bila ya kizuizi.

Mkutano Mkuu ukawekwa ukomo wa kugombea kwenye mikono ya wanachama wa CHADEMA. Yaani kikomo cha mtu kuwa kiongozi ni wapiga kura ndani ya CHADEMA kumkataa akigombea.

Na hili si jambo la ajabu Sana. Uongozi ndani ya chama si kama uongozi wa dola, lakini hata dola kuna nchi hazina ukomo wa mtu kuwa kiongozi wa nchi hizo.

Ujerumani ni mojawapo wa nchi hizo, Helmut Kohl na Angela Merkel waliongoza Kwa zaidi ya miaka 15 mpaka walipoondoka madarakani.

Ninachomaanisha ni nini. Wapiga kura wa CHADEMA wasifanywe hawana uwezo wa kufikiri jambo lipi ni bora kwa chama chao. Hata Sasa kuna minyukano ya hoja ndani ya chama kati ya wafuasi wa Mbowe na wafuasi wa Lissu.

Kitu pekee watu wanatakiwa kuhimiza, ni uchaguzi uwe wa wazi, huru na unaofuata misingi yote ya kidemokrasia ya CHADEMA.

Hoja ya nani agombee au nani asigombee ni hoja ya kipropaganda iliyoanzia CCM. Wajumbe wa CHADEMA wana akili timamu waachiwe wafanye maamuzi kwa niaba ya wanachama wenzao ambao si wapiga kura.

Hakuna popote nilipoongelea nani agombee au nani asigombee.

Hakuna popote nilipowahusisha CCM na Chadema.

Ngoma ya Chadema kuwahusisha CCM ni kutaka kuchanganya madawa yasiyohusika.

Bottom line wasibezwe wanachama. Chama ni cha wanachama siyo cha viongozi.

Na hayo ndiyo maneno mazito ya baba wa taifa (apumzike kwa amani) wasiyotaka kuyasikia chawa chapa nyau.

Hili ni la wanachama, si viongozi!
 
Njia ya propaganda ni njema na ya haraka kufufuka CHADEMA iliyorudishwa nyuma na Magu Hasa kipindi hiki kuelekea uchaguzi

Sasa CHADEMA unazidi kuwa maarufu haijalishi inaongelewa Kwa mema au mabaya, muhimu ni kutawala kwenye vinywa vya wananchi

Haitoshi kuongelewa midomoni tu:

GfJHa73XEAAaMcf.jpeg


Tunahitaji jembe, ndani ya bullet proof.

Au nasema uongo ndugu yangu?
 
Hakuna popote nilipoongelea nani agombee au nani asigombee.

Hakuna popote nilipowahusisha CCM na Chadema.

Ngoma ya Chadema kuwahusisha CCM ni kutaka kuchanganya madawa yasiyohusika.

Bottom line wasibezwe wanachama. Chama ni cha wanachama siyo cha viongozi.

Na hayo ndiyo maneno mazito ya baba wa taifa (apumzike kwa amani) wasiyotaka kuyasikia chawa chapa nyau.

Hili ni la wanachama, si viongozi!
Sijakuelewa kabisa kama umeelewa nilichoandika ama ni Mimi nimejibu usichoandika.

Ndiyo nasema mambo ya kusubiri dakika 90 na kusema wengine tulikubishia. Yanahusu nini hasa?
 
"Hivi huyu Abduli ana cheo gani kwenye serikali ya CCM?"

Samahani lakini kukuuliza nje ya mada.
ni muhimu sana ukaandika uzi mahususi kwa faida ya wadau wa JF, na kwakweli itapendeza zaidi gentleman,

kwani kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi anasemaje juu ya hilo?🐒
 
Back
Top Bottom