Kuelekea dakika ya tisini: "Maoni ya wanachama yasiposikilizwa, CHADEMA njiani kulia na kusaga meno!"

Kuelekea dakika ya tisini: "Maoni ya wanachama yasiposikilizwa, CHADEMA njiani kulia na kusaga meno!"

Kumchagua TAL ,wa kushinda majukwaani akimtukana Saa100 ,matusi ya nguoni,ni Bora ,uchaguzi usambaratike. Ninaunga mkono hoja!

Ukweli mchungu:

GeqFYhVWsAAcU0W.jpeg
 
CHADEMA ikisambaratika CCM itapata ushindi mkubwa wenye kura chache kutokana na wanachi wengi kutoshiriki kupiga kura kwa kuwa hakutakuwa na mgombea mwenye mvuto wa upinzani atakayechuana na mgombea wa ccm. Ccm itazoa hizo hizo kura chache za wanachama wake watakaokwenda kumpigia mgombea wao
 
Vyama 14 hata vikiungana na kuwa na mgombea mmoja asiye na mvuto kwa wananchi ataishia kugeuzwa mbuzi wa hitma na kufanywa kitoweo na CCM iliyofanikiwa kuisambaratisha CHADEMA kimafia
 
Ukilijua lengo hasa la kuanzisha kwa vyama vya Upinzani hapa Tz mwaka 1992, utakuwa unajua wazi kabisa kwamba Mbowe hawezi kuacha kugombea Uenyekiti huko Chadema.
Viongozi wengi wa vyama vya upinzani ni Mapandikizi ya Tiss, ukianzia:- Augustine Lyatonga Mrema, Cheyo, Lipumba, Mabere Marando, na hata huyo FAM
sawa! Kwa hiyo ilikuwa ni kuzuga nchi wafadhili kuwa kuna vyama vingi?
 
Ukilijua lengo hasa la kuanzisha kwa vyama vya Upinzani hapa Tz mwaka 1992, utakuwa unajua wazi kabisa kwamba Mbowe hawezi kuacha kugombea Uenyekiti huko Chadema.
Viongozi wengi wa vyama vya upinzani ni Mapandikizi ya Tiss, ukianzia:- Augustine Lyatonga Mrema, Cheyo, Lipumba, Mabere Marando, na hata huyo FAM
hivi Lissu si TISS? Kama mbowe atang'ang'ania madaraka tutajua ni TISS kama hao wengine kina mrema, cheyo na lipumba. Nchi ni ya chama kimoja tu CCM, hivyo vingine vilivyoanzishwa ni magumashi tu. Tukapipe kura kwa hiyari tu kama kuna muda wa kuchezea kupanga foleni kwa zoezi hilo feki
 
Saa tano imefika, ajitokeze atoe tamko kama anagombea mitandao ifufurike mapovu na kama hatagombea apewe maua yake kwa kuimarisha demokrasia ndani ya chama
 
Ukilijua lengo hasa la kuanzisha kwa vyama vya Upinzani hapa Tz mwaka 1992, utakuwa unajua wazi kabisa kwamba Mbowe hawezi kuacha kugombea Uenyekiti huko Chadema.
Viongozi wengi wa vyama vya upinzani ni Mapandikizi ya Tiss, ukianzia:- Augustine Lyatonga Mrema, Cheyo, Lipumba, Mabere Marando, na hata huyo FAM

Kwani kuwa Tiss ni dhambi?

Au labda malaika wa kuikomboa hii nchi ungedhani ni kina nani au wanapatikana wapi?

Hadi tutakapoachana ni huu ulimbukeni wa kushukuiana wenye kuendekeza utengano uchwara, safari yetu bado sana.

Mbona kwingine Uganda au Kenya huko huu upumbafu haupo?

Au yale yale ya kuelekezana kwa kuhamia?

Tulishasema si nchi, si chama:

"Tutabanana hapa hapa!"
 
zingatia mawaidha yangu mujarabu sana gentleman hakuna haja ya kubabaika wala kuweweseka hata kidogo.

muhimu tu ni kwamba wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa chadema, wana hamu kubwa sana kurudisha mtu ulaya mikono mitupu ili ajawanyesha mabwenyenye zake 🐒
Huna hoja zaidi ya uchawa tu
 
Back
Top Bottom