DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
Mimi natabiri hakuna kutingisha kifua siku hiyo, ila kuna jini linaitwa Jean Baleke Othos litaongeza hat trick katika bank yake.
Matokeo ya jumla;
Simba sc 6 vs Yanga sc 1
Wafungaji kwa upande wa Simba ni;
Baleke 4
Chama 1
Saido 1
Mfungaji pekee upande wa Yanga ni;
Job. 1 goli la utata sana maana itakuwa ni offside ya wazi.
Matokeo ya jumla;
Simba sc 6 vs Yanga sc 1
Wafungaji kwa upande wa Simba ni;
Baleke 4
Chama 1
Saido 1
Mfungaji pekee upande wa Yanga ni;
Job. 1 goli la utata sana maana itakuwa ni offside ya wazi.