Kuelekea derby ya Kariakoo, Tahadhari muhimu kwa Simba!

Kuelekea derby ya Kariakoo, Tahadhari muhimu kwa Simba!

Wakuu,

Kipute cha Kariakoo deby kimekaribia, mimi kama shabiki wa Lunyasi nina maoni yafuatayo kuelekea siku hiyo.

1) Ubora wa Yanga ni Nabi, Nabi amefanikiwa kusumbua makocha wengi kimbinu sababu akili zao huzama kwenye wachezaji hatari kama Mayele kuliko akili ya Nabi. Kwa muda mrefu Nabi anamaliza game kipindi cha pili na makocha wameshindwa kudhibiti hilo.

2) Ubora wa viungo wa Yanga, sehemu ngumu na muhimu Yanga ni kiungo. Plan zote zinaanzia hapo na kufia hapo. Lazima uwe na viungo wenye intensity ya kutosha dakika zote ikibidi sub ili kulinda utimamu wa timu.

3) Fiston Mayele ni mchezaji hatari akiachwa peke yake maeneo hatari. Huyu akiwa maeneo mengine apewe uhuru lakini akiwa kwenye 18 lazima awe na destructive player kama Putin. Akiwa peke yake mpira ukamfikia akiwa kwenye hatari mtaufuata nyavuni.

4) Kama nilivyosema Nabi game ngumu anashinda kipindi cha pili. Sub zake na mabadiliko ya positions uwanjani kipindi cha pili lazima haraka sana yafanyiwe home work na ku switch plan. Makocha wengi wa bongo wakiona 1st half wana droo au wanaongoza wanafikiri wamekamata game kumbe kipindi cha pili Nabi ndio anacheza baada ya kujua strength and weakness za mpinzani.

Hitimisho:

Kocha Robertinho ameifunga Yanga mara mbili na amefanikiwa kwa aina ya soka alilokuwa akitumia huko. Mara nyingi anacheza direct football na double striker! Huu mfumo ni complicated kueleweka kwa mashabiki hasa wa Simba!

Kocha wa Simba ni hatari timu yake ikiwa haina mpira kuliko ikiwa na mpira! Hili imechukua muda wachezaji kumuelewa na sasa wameingia kwenye mfumo.

Kama wachezaji wakifata maelekezo yake vizuri na pia kama kocha mwenyewe akimzidi ujanja Nabi hasa kipindi cha pili basi Simba atashinda goli nyingi.

#nguvumoja
Kocha wa Simba ni hatari timu yake ikiwa haina mpira kuliko ikiwa na mpira! Hili imechukua muda wachezaji kumuelewa na sasa wameingia kwenye mfumo. [emoji817][emoji818]
 
Kinacho amua Mechi za Simba na Yanga hakijulikani.


Simba amewahi kuwa na Quality players kagere, Miquesson ,Lwanga lakini kuifunga yanga ilikuwa ngumu mno.

Nimefundushwa kuwa na AKIBA ya Maneno.

YANGA WASIRUKE UKUTA
 
Kweli Yanga walikuwa wakitufunga kipindi cha pili kwasababu Mgunda alikuwa mzito kusoma mbinu za Nabi aliyeonekana mara nyingi kubadilika kipindi cha pili.

Ila kwa Robertinho nina imani na ushindi Jumapili.
 
Wakumbushe tu kwamba kila mechi Yanga tunafunga goli,sisi tunajua goli lipo ila hatujui tutashinda mangapi....... uhakika wa goli si tunao maana ni utamaduni wetu
 
Kinacho amua Mechi za Simba na Yanga hakijulikani.


Simba amewahi kuwa na Quality players kagere, Miquesson ,Lwanga lakini kuifunga yanga ilikuwa ngumu mno.

Nimefundushwa kuwa na AKIBA ya Maneno.

YANGA WASIRUKE UKUTA
Acha kuzungumzia miaka ya gizani huko........
 
Mwaka huu kazi ipooo.....tusubiri siku 3 zimebakiaa
 
Kweli Yanga walikuwa wakitufunga kipindi cha pili kwasababu Mgunda alikuwa mzito kusoma mbinu za Nabi aliyeonekana mara nyingi kubadilika kipindi cha pili.

Ila kwa Robertinho nina imani na ushindi Jumapili.
Yanga imeshinda kipindi Cha pili game 1 tu. Ile ya NGAO YA JAMII nyingine ni ipi unayoikumbuka wewe?
 
Huu nao uchambuzi? Kazi IPO, badala ya kugombea Simba angalau iambulie share unaongelea habari za Yanga hii kufungwa goli nyingi na Simba?

Hakuna cha kujadili hapa, maana umejitia upofu na umeikataa reality.
Kwani kwenye michuano yooote SIMBA NA YANGA NANI ANA MAGOLI MENGI?...nani ameweza kushinda MAGOLI Mengi kwenye mechi moja?...why ishindikne Kwa yanga?..ww ndo unajitia upofu bro, unaizungumzia timu iliyo robo klabu bingwa kama unaizungumzia Coast union!!!
 
Kweli Yanga walikuwa wakitufunga kipindi cha pili kwasababu Mgunda alikuwa mzito kusoma mbinu za Nabi aliyeonekana mara nyingi kubadilika kipindi cha pili.

Ila kwa Robertinho nina imani na ushindi Jumapili.
Nabi ni mchawi kipindi cha pili. Ukiweza kumchanganya kipindi cha pili huchanganyikiwa na kusubiri kudra. Mara nyingi sub za kipindi cha pili ndio huamua game.

Nabi atakuwa amefanya home work kubwa namna ya kuidhibiti Simba ikiwa haina mpira. Magoli ya hivi karibuni Simba imekuwa ikifunga kwa uharaka wanapopokonya mpira!

Shape ya Simba bila mpira ndio huamua counter! Refer goli la Baleke game ya Raja.
 
Kwani kwenye michuano yooote SIMBA NA YANGA NANI ANA MAGOLI MENGI?...nani ameweza kushinda MAGOLI Mengi kwenye mechi moja?...why ishindikne Kwa yanga?..ww ndo unajitia upofu bro, unaizungumzia timu iliyo robo klabu bingwa kama unaizungumzia Coast union!!!
Sasa timu yenyewe ndio inaongea hivi.
Screenshot_20230412_125919_Instagram.jpg
 
Hii game Simba anashinda japo kuna uwezekano wakulazimishwa iwe dro, nimemaliza hivyo.
 
Wakuu,

Kipute cha Kariakoo deby kimekaribia, mimi kama shabiki wa Lunyasi nina maoni yafuatayo kuelekea siku hiyo.

1) Ubora wa Yanga ni Nabi, Nabi amefanikiwa kusumbua makocha wengi kimbinu sababu akili zao huzama kwenye wachezaji hatari kama Mayele kuliko akili ya Nabi. Kwa muda mrefu Nabi anamaliza game kipindi cha pili na makocha wameshindwa kudhibiti hilo.

2) Ubora wa viungo wa Yanga, sehemu ngumu na muhimu Yanga ni kiungo. Plan zote zinaanzia hapo na kufia hapo. Lazima uwe na viungo wenye intensity ya kutosha dakika zote ikibidi sub ili kulinda utimamu wa timu.

3) Fiston Mayele ni mchezaji hatari akiachwa peke yake maeneo hatari. Huyu akiwa maeneo mengine apewe uhuru lakini akiwa kwenye 18 lazima awe na destructive player kama Putin. Akiwa peke yake mpira ukamfikia akiwa kwenye hatari mtaufuata nyavuni.

4) Kama nilivyosema Nabi game ngumu anashinda kipindi cha pili. Sub zake na mabadiliko ya positions uwanjani kipindi cha pili lazima haraka sana yafanyiwe home work na ku switch plan. Makocha wengi wa bongo wakiona 1st half wana droo au wanaongoza wanafikiri wamekamata game kumbe kipindi cha pili Nabi ndio anacheza baada ya kujua strength and weakness za mpinzani.

Hitimisho:
Kocha Robertinho ameifunga Yanga mara mbili na amefanikiwa kwa aina ya soka alilokuwa akitumia huko. Mara nyingi anacheza direct football na double striker! Huu mfumo ni complicated kueleweka kwa mashabiki hasa wa Simba!

Kocha wa Simba ni hatari timu yake ikiwa haina mpira kuliko ikiwa na mpira! Hili imechukua muda wachezaji kumuelewa na sasa wameingia kwenye mfumo.

Kama wachezaji wakifata maelekezo yake vizuri na pia kama kocha mwenyewe akimzidi ujanja Nabi hasa kipindi cha pili basi Simba atashinda goli nyingi.

#nguvumoja
football
 
nani atamwacha peke yake?
Magoli mengi anafunga akiwa free. Mabeki wetu wengi wa ligi yetu hawajui kukaba man to man kama enzi za akina Salum Kabunda au hata Boniphace Pawasa hivi karibuni. Deadly striker anapewa pasi na inamfikia ndani ya 18 alafu ndio una intercept? Lazima akuue! Hiyo attention inabidi viungo wawasaidie mabeki wa kati kum distract kabla pasi haijafika hasa kwenye 18.
 
Nafikiri mmeelewa sasa Robertinho ni kocha wa aina gani! Alijua Nabi hafai second half akamaliza game 1st half! Ilikuwa game ya benchi la ufundi!
 
Back
Top Bottom