Kweli Yanga walikuwa wakitufunga kipindi cha pili kwasababu Mgunda alikuwa mzito kusoma mbinu za Nabi aliyeonekana mara nyingi kubadilika kipindi cha pili.
Ila kwa Robertinho nina imani na ushindi Jumapili.
Wakumbushe tu kwamba kila mechi Yanga tunafunga goli,sisi tunajua goli lipo ila hatujui tutashinda mangapi....... uhakika wa goli si tunao maana ni utamaduni wetu
Wakumbushe tu kwamba kila mechi Yanga tunafunga goli,sisi tunajua goli lipo ila hatujui tutashinda mangapi....... uhakika wa goli si tunao maana ni utamaduni wetu