Kuelekea Derby: Yanga yalaumiwa na Bodi ya Ligi

Kuelekea Derby: Yanga yalaumiwa na Bodi ya Ligi

Yanga wanakuwa poa ugenini, pressure kwa wachezaji inapungua.wanafanya vizuri .haina haja kwa washabiki wa Yanga kwenda kwa wingi kuwapunguzia pressure wachezaji wetu
 
Si waipromote wao sasa kama bodi ya ligi kama wanaona kuna haja ya kufanya hivyo

Derby lazima watu watajaa

ila hapo kwenye mgawanyo wa mapato kwa timu mwenyeji ndio mzozo unapoanzia

Yanga anaona akipiga promo kubwa [ni hela] halafu in return kwenye gate collection hupati kitu, so no need
 
Bodi ya ligi kuu Tanzania (TPLB) imesema haipendezwi na tabia ya timu mgeni kwenye Mchezo wa Kariakoo Derby kutoifanyia promo mechi ya derby na kuachia jukumu hilo kwa timu mwenyeji pekee.

Akizungumza na kituo cha Clouds fm radio msemaji wa bodi ya ligi, Karim Boimanda amesema mchezo huo si tu kwa ajili ya mapato ni Mchezo mkubwa Nchini na Afrika mashabiki hivyo vilabu vyote viwili (2) vinapaswa kuipromoti mechi hiyo.

"Hii inatokana na kanuni ya kuwa timu mwenyeji ndio atapata mapato yote ndio maana timu mgeni hafanyi promo, bodi ya ligi hatufurahishwi na jambo hilo tutalifanyia kazi suala hilo. Mechi hii sio tu kwa ajili ya mapato ni mechi ya hadhi ya Nchi" amesema hayo Karim Boimanda.

Viongozi wa TFF sometimes wanachekesha
 
Kwa wenzetu mwenyeji huwa anatoa idadi ya ticket, say 5000, kwa mashaibiki wa timu ngeni zinazobaki ni za wenyeji. Hapa ikoje? The last time nilingia uwanja wa taifa ilikuwa 1981 na sikupenda kabisa mipango yao. Ilkuwa mechi ya Yanga vs Simba. Naona bado ubabaishaji upo zaidi ya miaka 40 after. Pathetic.
Ili ufanye hivi jitahidi uwe na uwanja wako au uwe na uhakika siti zako mashabiki wako watazimaliza
 
Ili ufanye hivi jitahidi uwe na uwanja wako au uwe na uhakika siti zako mashabiki wako watazimaliza
Unataka kuniambia Simba au Yanga hawawezi kujaza uwanja wa Taifa unaoweza kuvhukua mashabiki 60000 tu. Bado wanajiita timu kongwe. Tatizo kubwa nashabiki wengi wa bongo ni wa mdomoni. Hawaemwezi kusapoti timu zao bali wanzitumia kubishamia keenyr vijiwe kama hivi.
Halafu utadikua watu wanalaalumu usajili mbovu wakati hata kutoa 50000 kwa msimu hawataki. Pathetic!
 
Back
Top Bottom