Leo tunashinda mapema sana japo nampenda Bale na Wales ila leo watanisamehe leo niko home Belgium
Saa 22:00Wadau Leo mechi ni saa ngapi?
Chuki,husda vitakumaliza taratiibu.timu ndogo labda za ukoo wenu.Unaota naona, Belgium yakulinganisha na Portugal? Mechi 4 na timu ndogo unashinda 1 kwa penalty Ndio uwaze kombe?
Team Nesi muendelee kuisoma nambasiwazimii kabisa Ureno.
tehteh DonDonald hataki hata kushangilia Wales sababu kashastukia why rubaman anashangilia Wales sababu ya UnaZi wake kama Piers Morgan.
Dah kumsikiliza Robbie Savage anatangaza mpira kama kumsikiliza Michael Owen pia akitangaza Mpira sijui wamepataje kazi ya Utangazaji.