What a goalfrom Raja Naiggolang
Wanatangaza Pia mpira Btsports na BBC ukiacha kuwa Pundits.Mkuu Savage na Michael Owen sio watangazaji bali ni waelezeaji (Pundits) wakiwasaidia watangazaji wenyewe wa mpira- na wanalipwa kwa kila session kwenye kazi hiyo kwa mkataba maalum.
Wanatangaza Pia mpira Btsports na BBC ukiacha kuwa Pundits.
najua hilo ila Thanks kwa elimu nachosema mie kwa Michael Owen na Robie Savage wanauzi hawajui kitu martin Kewon na Jarmain Jenas wakiongea kuhusu mpira wanajua kuelezea sio Savage na Owen na Alan sherrer.Yes, wana mikataba na hizo media na wanafanya kozi fupi za kuhusu kufanya kazi kwenye TV.
Ni njia ambayo wenzetu wanatumia kuwaenzi wachezaji wa zamani katika kuleta entertainement zaidi katika Runinga.
Hivyo wote hao wakiongozwa na Garry Lineker, Alan Shearer na wengine wengi tu hasa vijana kama Jermain Jenas wamejifunza kuwa pundits baada ya kuacha kucheza mpira kutokana na kuumia kila mara.
Ukiwa unaufahamu mchezo wowote ule unaweza kuwa pundit provided uwe umefanya vikozi vifupi vya kuwa na nidhamu katika kujieleza kwenye TV.
Tatizo huwa anapenda kutemea kwenye sahaniThibaut Courtois leo anaweza kuokota mipira nyavuni more than once.
najua hilo ila Thanks kwa elimu nachosema mie kwa Michael Owen na Robie Savage wanauzi hawajui kitu martin Kewon na Jarmain Jenas wakiongea kuhusu mpira wanajua kuelezea sio Savage na Owen na Alan sherrer.