Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Hayo ndio madhara ya kucheza na mashabiki jukwaan...belgium matoz sana
 
Moja ya post zangu nilisema Diables rouges wanaweza kuwa na possession lakini wakapigwa counter attack.

Kukosekana kwa Jan Vertonghen kwenye safu ya ulinzi kumeleta madhara makubwa kwa Belgium na dogo Jordan Lukaku na Jason Delayer si wazoefu sana wa kuwakabili watu kama Ramsey.

Romelu Lukaku amewekwa kapuni na Ashley Williams na Eden Hazard nae ametulizwa.
 
The world number 2 in FIFA Rankings Belgium leo wanachezeshwa kwata na vijana wa Wales.
 
Aaron Ramsey anapewa kadi ya tatu ya njano na atakosa mechi ya nusu fainali ikiwa Wales watavuka kufikia hapo.
 
Lakini mkuu, FIFA ndio wanaweka hivi viwango, hivyo kuna maana yake.
Ni kweli mkuu..Belgium wako vizuri sana,nnachosemea kwenye mashindano kama haya ranking haitumiki sana. Unaweza ukawa namba moja ukapigwa na namba 20+
 
Back
Top Bottom