Labda ya mchanganHuu Ni Msimu Wa England Kuchukua Ndoo
amesahaulika nadhaniMkuu ya Girroud wapi na midevu yake
Karata yangu leo kwa Ufaransa.Leo saa 4:00 Usiku
Ufaransa Vs Romania ( Mechi ya Ufunguzi ).
Copa America inaonekana haina mvuto (kibiashara).Yaan badala wawepo kwny copa america wapo euro
Itakuwa live kweli au ni kama za startimes!?azam tv
[emoji3] [emoji3] [emoji3] Utakaa Kimya Tu Ndugu Yangu, Ngoja Tuchukue Ndoo Ubadilishe Akaunti Humu.Labda ya mchangan
nawapa nafasi wenyeji!!Karata yangu leo kwa Ufaransa.
Live mechi zote kupitia ZBC 2 ndani ya Azam TvItakuwa live kweli au ni kama za startimes!?
Na je, itakuwa mechi zote!?
Hata makundi hawatoboi...team 3 lions
mwaka huu tunachukua ndoo
Hata makundi hawatoboi...
Live mechi zote kupitia ZBC 2 ndani ya Azam Tv
France XI. Lloris, Sagna, Koscielny, Rami, Evra; Kante, Pogba, Matuidi; Payet, Griezmann, Giroud