Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

kesho ndo mwanzo wa michuano ya kombe la #EURO taifa lipi lina kikosi bora ambacho kinaweza beba #kombe???
 
Hii ni tough game. Pamoja na kuwa na wachezaji wasiokuwa na majina Romania wapo vizuri. Ni moja ya timu zenye ngome imara. Nategemea upinzani mkubwa sana.
 
Back
Top Bottom