Majighu2015
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,937
- 3,959
Lazima wafurahi..Ndo mara ya kwanza kuingia nusu fainali ya uero. Hawakutegemea kufika hukoNatizama TV Mashabiki wa Wales kwenye viwanja vya nchini kwao Watu wanarushiana Maji Maji ya Beer juu ila sio mtu Kurusha simu yake tehtehteh! mtu anaweza kushangilia akaachia Glass ila sio Smartphone.