Wales ndo kaishia hapo alipofikaUnaona hapa. Semifinal, Portugal anapigwa na Wales. Game ya leo I don't care anyone can win. Kesho France wanatolewa na Iceland na kitakachofuatia kwenye semi nyingine Dunia itasimama.
Ingia google kisha download mobdro. Kisha install. Ukisha install utapata channel za mpira. Channel za mpira zipo nyingi sana kama vile espn, bein sports, canal+,na nyinginezoHaya hembu tupeni link yenye kuonyesha mechi ya leo
Haya hembu tupeni link yenye kuonyesha mechi ya leo
asante kaka,maana nipo mbali na TV nataka niibie kwenye pc yanguSubiri dakika kumi kabla ya game kuanza halafu click hii page. Kisha nenda chini, hapo wataweka links kama 30 au zaidi, utachagua lugha unayoielewa:
http://www.ronaldo7.net/video/bundesliga-live/bundesliga-live-stream.html
LOL nilikuwa nazungumzia Belgium. Kama Belgium wapo nusu fainali basi nilikosea. Ushauri: kabla ya ku-quote ungefuatilia stori ilipoanzia.Sasa Wako nusu fainali unasema hawafiki popote. SMDH.
LOL nilikuwa nazungumzia Belgium. Kama Belgium wapo nusu fainali basi nilikosea. Ushauri: kabla ya ku-quote ungefuatilia stori ilipoanzia.
Wanabana mbunye