Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

wanaume wako hoi. usicheze na one twenty
 
nani ataamua gemu
CmY909LWcAA9rX9.jpg
 
Mjerumani hajawahi kumfunga Mtaliano dk 90 ila Penalt hawajawahi kukutana ila Mjerumani History ya Penalt wanaongoza tuombe leo washindwe Penalt! Mjerumani ni Mfalme wa Penalt.
 
Nafikiri Italy watapita na Buffon ataokoa angalau penalty moja au mbili.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Buffon anaweza kuibuka shujaa wa Italy kwa kuokoa penalty mbili.
 
namwona buffon anapga sala ya malaika mlinzi hahaha.
 
I wish Italy to win the game. Wajerumani wana WC hawa.
 
Back
Top Bottom