Kombe kwa France hili hakuna namna
Kwa tunayoifahamu les bleus na maajabu yake wala hata hatushangazwi na kipigo alichopewa ujerumani jana.
Ni hali ya kawaida sana france kuziangusha timu ambazo ni heavy favorites michuano inapofanyikia aridhi ya nyumbani, na tena mara nyingi anakuwaga wa kawaida sana yaani kma kuna star basi anakuwepo mmoja au wawili na hutoa matokeo ya kushangaza.
Ukirudi nyuma mwaka 1998 kwenye michuano ya kombe la dunia iliyofanyikia ufaransa, hatua za awali ufaransa walifanya vizuri sana ila kwenye mtoano hadi wanafika fainali.. 16 bora walipita kwa goli la dhaabu dhidi ya paraguay, hatua ya robo fainali walipita kwa matuta dhidi ya italy na hata nusu fainali walimtoa kwa mbinde crotia na ushindi wenyewe ilikuwa ni kwa kutoka nyuma hatimae kushinda 2-1.. hivyo basi unaweza kuona hata kufika kwao fainali ilikuwa ni kwa kusua sua tu.
Sasa game ya fainali ilienda kutengeneza maajabu yake ambayo hadi leo wabrazili bado hawajaamini 100% kilichotokea. Timu bingwa mtetezi iliyokuwa na wachezaji tishio kama Bebeto,Rivaldo,Carlos,Denlson,Ronaldo dhidi ya vijana wadogo wakiwa chini ya Aime jacque akina Pires,Petit,Marcel Desailly,Trezguet,Bixente Lizarazu,Your Djokeaff na mfalme Zizzou.
Hadi dakika 90 zimamalizika bingwa mtetezi alikufa 3-0 pamoja na dominance ya ball possession za kufa mtu na kucheza dhidi ya timu pungufu kwanzia dk ya 68 baada ya red card ya marcel dessailly. star wetu alikuwa ni mmoja tu kipindi hicho lakini aliichachafya timu nzima ya brazil kila aliposhika mpira YAZIDI.
Na hata mwaka 2000 kwenye michuano kma hii hii, game ya nusu fainal dhidi ys ureno pamoja na ureno kutangulia kupata bao lakini bado walipelekwa nje kwa goli la dhaabu.
Same situation happened in the final game against italy, up to 90" the whole world had already written france off, only last 13 seconds in the injury time were enough for Slyvio Woltord to send the tie into extra time ambapo David Trezguet kabla hata dakika nne hazijasha alipeleka msiba wa kihistoria kwa wataliano.
SASA UNAWEZA KUONA JINSI GANI UFARANSA ILIVYOKUWA NI TIMU YENYE BAHATI KWENYE MICHUANO MIKUBWA WANAPOFIKA HATUA ZA MWISHO JAPO NA UWEZO NAO UNACHANGIA, MWAKA PEKEE ULIYOKUWA NA GUNDU KWAO NI 2006.
PAMOJA NA HAYO KUELEKEA FINAL DHIDI YA PORTUGAL KWA UWEZO WA KITIMU NA SABABU ZA KIMAZINGIRA NAONA KAMA UFARANSA ANAENDA KUKAMILISHA TU RATIBA NA KUKABIDHIWA UBINGWA WAKE.
SITEGEMEI KUONA UPINZANI MKALI WOWOTE KUTOKA KWA PORTUGAL... SANA WATACHEZA MIPIRA YA KUVIZIA VIZIA TU HASA MIPIRA YA JUU..