Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

inamaana uturuki naishabkia mwenyewe, mbona ina ligi bora kushinda ya ubeligiji. Na inaongoza kwa washabiki wenye mihemko kuliko wote ulaya hata england haifui dafu. NIPO UTURUKI THE OTTOMAN EMPIRE,kwao na Ozil
 
Timu ya Arsenal ni ya kupigania hilo kombe la UEFA sio kuwa wasindikizaji siku hizi hata hilo la England wamekuwa wasindikizaji,Mimi timu zangu ulaya ni Ujerumani na Italia
 
Timu ya Arsenal ni ya kupigania hilo kombe la UEFA sio kuwa wasindikizaji siku hizi hata hilo la England wamekuwa wasindikizaji,Mimi timu zangu ulaya ni Ujerumani na Italia
Kiongozi Msimu Huu England Wako Poa, Utanambia. Hata Arsenal Next Season Hutaamini
 
We Ngoja Utanikimbia Humu Mkuu Siku England Anafika Fainali
 
Nimeangalia England tangu 1996 miaka inavyozidi kwenda ndio timu inakuwa mbovu,sidhani kama watavuka robo fainali
Sawa Bana Mi Sitaki Tubishane Lakn Itakubali Tu Na Utanitafuta Unipe Zawadi.
 
Mechi za leo:
Uswizi Vs Albania saa 10 jioni
Wales Vs Slovakia saa 1 jioni
England Vs Russia saa 4 Usiku.
Anaye idharau A lbania HAJUI SOKA
Keeper ni Etrish Berisha wa Lazio ya Italy
Pembeni kama kawaida Elysed Elshaj(Napoli),Naser Halij(Basel),Loric Can(Nantes) na Frederic Vesel(Lugano)

Kati likely akaanza Taulant Xaka(Basel),Burim Kukeri(Zurich),Armir Abrash(Freisburg) na Ledjan Memushaj(Pescara).
Pale mbele akasimama kama kawaida Bekim Balaj na Shklezen Gosh wa Colorado

Albania is real deal!Team to watch!Tukutane saa moja inayofuatia na Uswis wasijidanganye kama watamfunga Albania easy!Utapigwa mwingi sana leo
 
 
Timu ya Arsenal ni ya kupigania hilo kombe la UEFA sio kuwa wasindikizaji siku hizi hata hilo la England wamekuwa wasindikizaji,Mimi timu zangu ulaya ni Ujerumani na Italia
True ila mie England na Italy miaka yote ila nakubaliana na England timu ya gazeti kama Taifa stars na England kama ilikuwa ishinde ni rnzi zile wana kina Scholes,Rio, SG kina Sol Xambel ila kipindi kile, England ile nzuri ila tatizo walikuwa hakuna umoja waliweka club zao mbele football kuelewana kwa pamoja, humu utawaona wenye timu 6 kila inayotolewa utasikia mie sasa hii hehehe so naganda na England na Italy na ndama zangu itakuwa Albania na Wales.
 
Kama hufahamu katika mechi hii kuna mtu na kaka yake Taulant Xhaka (mkubwa) na Granit Xhaka (mdogo).

Ni mara ya kwanza kuona ndugu wawili wakichezea mataifa tofauti.

Kwa asili wote wanatoka Albania lakini Granit ana uraia wa Switzerland ambao ameupata kupitia mke wake.

Granit Xhaka amesajiliwa na Arsenal kwa pauni milioni 35.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…