Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
- Thread starter
-
- #361
Jerome Boateng ( Germany) Vs Kevin Prince Boateng ( Ghana ) world cup 2010Kama hufahamu katika mechi hii kuna mtu na kaka yake Taulant Xhaka (mkubwa) na Granit Xhaka (mdogo).
Ni mara ya kwanza kuona ndugu wawili wakichezea mataifa tofauti.
Kwa sili wote wanatoka Abani lakini Granit ana uraia wa Switzerland ambao ameupata kupitia mke wake.
Granit Xhaka amesajiliwa na Arsenal kwa pauni milioni 35.
Jerome Boateng ( Germany) Vs Kevin Prince Boateng ( Ghana ) world cup 2010
amazing..
Mtu na kaka yake Taulant na Granit Xhaka wakipambana uwanjani- Picha na Reuters.
Wazazi wa ndugu hao mama mwenye fulana nyeusi na baba mwenye shsti la blue na dada yao walitazama mtanange.
Jana ktn, ubc, Rwanda tv, Malawi tv na crtv walikuwa wanaonyesha kwenye azam tv. Jaribu hapo mie wamekata umemetujuzane wadau king'amuzi cha azm ni chanel gani wanaonyesha maana hiyo zbc2 hamna kitu?
We Ngoja Utanikimbia Humu Mkuu Siku England Anafika Fainali
Unanibishia Mi Mtoto Wa Shekh Yahaya We Vipi [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Mara ya mwisho England kufika fainali ilikuwa 96 enzo za kina Shearer. Ni miaka 20 sasa, haya tusubiri tuone mechi yao ya kwanza
Mara ya mwisho England kufika fainali ilikuwa 96 enzo za kina Shearer. Ni miaka 20 sasa, haya tusubiri tuone mechi yao ya kwanza